Akasankara
JF-Expert Member
- Feb 28, 2015
- 4,210
- 5,752
Unatetea CCM chama Cha ufisadi? Uko tayari kuitetea CCM kuliko nchi? Hilo bunge ni la chama kimoja tu ccmMkuu Akasankara , tujifunze kujadili hoja iliyopo mezani, kwa kujifunza kutenganisha CCM na Bunge, letu au CCM na serikali yetu, hata kama serikali ni serikali ya CCM na Bunge ni Bunge la CCM predominantly.
Japo CCM ndicho chama tawala, kinachoendesha serikali, CCM sio serikali!.
Japo CCM ndio chama tawala kinacholimiliki Bunge letu kwa kuwa na wabunge wengi, lakini CCM sio Bunge!.
Hapa tumelizungumzia Bunge letu Tukufu, hatuzungumzii CCM!.
P
Waliosaini huo mkataba ni makada wa CCM tu tena wenye kadi halali kabisa za CCM.Mkuu Akasankara , tujifunze kujadili hoja iliyopo mezani, kwa kujifunza kutenganisha CCM na Bunge, letu au CCM na serikali yetu, hata kama serikali ni serikali ya CCM na Bunge ni Bunge la CCM predominantly.
Japo CCM ndicho chama tawala, kinachoendesha serikali, CCM sio serikali!.
Japo CCM ndio chama tawala kinacholimiliki Bunge letu kwa kuwa na wabunge wengi, lakini CCM sio Bunge!.
Hapa tumelizungumzia Bunge letu Tukufu, hatuzungumzii CCM!.
P
Bunge lililosheheni makada wa CCM waliopitishwa kwa mtutu wa bunduki?Mkuu Utingo , huku kuuliza kama tuna Bunge ni kuuliza gani wakati ni ukweli tuna Bunge?, lipo, tunaliona, linakutana, unapouliza kama tuna Bunge, unamaanisha nini?
P
Huu mjadala ni kuhusu Bunge, CCM unailetaje?. Tujifunze kutofautisha CCM na Bunge, kama una hoja kuhusu CCM, ifungulie thread yake, hapa tunajadili Bunge la JMT na sio CCM!.Unatetea CCM chama Cha ufisadi? Uko tayari kuitetea CCM kuliko nchi? Hilo bunge ni la chama kimoja tu ccm
naunga mkono hoja mia kwa miaCCM ndio Dhaifu sana. DP world wapewe CCM waiendeshe kwa manufaa ya wanaccm wenyewe ila sio bandari zetu
Sawa waliosaini huo mkataba wanaweza kuwa wote ni wana CCM kweli, lakini huo mkataba sio mkataba wa CCM ni mkataba wa nchi!. Jifunze kutenganisha CCM, serikali na Bunge!.Waliosaini huo mkataba ni makada wa CCM tu tena wenye kadi halali kabisa za CCM.
Unatofautishaje bunge na CCM? Bunge la chama cha mapinduzi tu. Mule ndani ni makada TUPU wa CCM ndio waliopitisha mkataba wa hovyo hata shetani anashangaaHuu mjadala ni kuhusu Bunge, CCM unailetaje?. Tujifunze kutofautisha CCM na Bunge, kama una hoja kuhusu CCM, ifungulie thread yake, hapa tunajadili Bunge la JMT.
P
Sio mkataba wa nchi bali ni mkataba wa CCM kuuza nchiSawa waliosaini huo mkataba wanaweza kuwa wote ni wana CCM kweli, lakini huo mkataba sio mkataba wa CCM ni mkataba wa nchi!. Jifunze kutenganisha CCM, serikali na Bunge!.
p
Ni dhaifu kweli, wanawezaje kujadili mkataba uliosainiwa tayari kabla ya wao kuupitisha?Kwenye mjadala huo, Bunge letu tukufu, limeelezwa kuwa ni Bunge dhaifu, na Bunge kibogoyo!. Hoja hiyo imetolewa na Mwanahabari ghuli, Jenerali Ulimwengu katika mjadala huu,
Mkuu Faana , wewe na Watanzania wengi mnahitaji elimu ya mikataba, mnahitaji kuelimishwa kuhusu mikataba ya kitaifa, na ya kimataifa ya nchi na nchi, International treaties, bilateral treaties na multilateral treaties, na kuelimishwa ni wakati gani itapelekwa Bungeni, na huko Bungeni kama ni kujadiliwa au kufanyiwa ratification.Ni dhaifu kweli, wanawezaje kujadili mkataba uliosainiwa tayari kabla ya wao kuupitisha?
Mkuu Yohana Mbatizaji, johnthebaptist , Nchi yetu ni nchi ya vyama vingi, na Bunge letu ni Bunge la vyama vingi, hata kama ni Bunge la CCM predominantly na mpinzani hata kama ni mbunge mmoja, ni Bunge la JMT na sio Bunge la CCM!.Ni Bunge la Chama kimoja
Mwenyekiti wa CCM ndio boss wa wote waliomo bungeni kasoro Covid 19 ππ
Duh...!.Nakubaliana na Jenerali Ulimwengu kwa 100% Bunge ni dhaifu na kibogoyo
No Bunge letu kama Bunge, halikuwahi kuning'ata bali ni yule kichaa!.Wewe bunge si lilikung'ata au unataka kukumbushwa ?π
I think this is not fair commentwaislamu ni dhaifu iko hivyo yani mambo yao ni mdembwedo tu bora liende ndio mana awamu zao zinakuwa hazieleweki
Hiyo Taasisi Njaa tupu hao hao wameandika kitabu cha kumkashifu Magufuli.Wanabodi
Niko hapa ukumbi wa hoteli ya Serena, jinini Dar es Salaam, kwenye mjadala wa kujadilli ubinafshaji wa Bandari, kwa kampuni ya DPW ya mwarabu wa Dubai, ulioandaliwa na taasisi mpya kabisa ya habari inayoitwa MB (Media Brains), inayoundwa na Manguli wabobezi na wabobevu wa habari nchini Tanzania, Jesse Kwayu, Absalom Kibanda, Dennis Msaki na Neville Meena.
Kwenye mjadala huo, Bunge letu tukufu, limeelezwa kuwa ni Bunge dhaifu, na Bunge kibogoyo!. Hoja hiyo imetolewa na Mwanahabari ghuli, Jenerali Ulimwengu katika mjadala huu,Na kwa vile mjadala huu ulikuwa live online, unaweza kuufuatilia hapa
Natumaini unaweza kumsikia wewe mwenyewe, kwanini Jenerali Ulimwengu ameliita hivi hili Bunge letu tukufu kuwa ni dhaifu na kibogoyo, swali langu ninalo uliza hapa ni Je ni kweli Bunge letu ni dhaifu na Bunge kibogoyo?. Hoja za Jenerali Ulimwengu zina ukweli wowote?.
Jenerali Ulimwengu alimalizia kwa kumpongeza Rais Samia kwa mambo mazuri anayoyafanya na kusisitiza, Rais Samia akifanya vizuri tumpogeze, akikosea tumkosoe, ila pia amempa angalizo Rais Samia, akemee wanaojiita chawa wa Mama, haipendezi Rais Wetu kuwa na chawa!.
Paskali
Kwani tunabunge ?Wanabodi
Niko hapa ukumbi wa hoteli ya Serena, jinini Dar es Salaam, kwenye mjadala wa kujadilli ubinafshaji wa Bandari, kwa kampuni ya DPW ya mwarabu wa Dubai, ulioandaliwa na taasisi mpya kabisa ya habari inayoitwa MB (Media Brains), inayoundwa na Manguli wabobezi na wabobevu wa habari nchini Tanzania, Jesse Kwayu, Absalom Kibanda, Dennis Msaki na Neville Meena.
Kwenye mjadala huo, Bunge letu tukufu, limeelezwa kuwa ni Bunge dhaifu, na Bunge kibogoyo!. Hoja hiyo imetolewa na Mwanahabari ghuli, Jenerali Ulimwengu katika mjadala huu,Na kwa vile mjadala huu ulikuwa live online, unaweza kuufuatilia hapa
Natumaini unaweza kumsikia wewe mwenyewe, kwanini Jenerali Ulimwengu ameliita hivi hili Bunge letu tukufu kuwa ni dhaifu na kibogoyo, swali langu ninalo uliza hapa ni Je ni kweli Bunge letu ni dhaifu na Bunge kibogoyo?. Hoja za Jenerali Ulimwengu zina ukweli wowote?.
Jenerali Ulimwengu alimalizia kwa kumpongeza Rais Samia kwa mambo mazuri anayoyafanya na kusisitiza, Rais Samia akifanya vizuri tumpogeze, akikosea tumkosoe, ila pia amempa angalizo Rais Samia, akemee wanaojiita chawa wa Mama, haipendezi Rais Wetu kuwa na chawa!.
Paskali