Je, ni kweli hii inapunguza gharama za ujenzi?

Je, ni kweli hii inapunguza gharama za ujenzi?

father-xmas

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2010
Posts
971
Reaction score
1,117
Habari waheshimiwa.

Nina kaproject kanakohitaji kama tofali 20,000 hivi kakamilike.

So far nina tofali 3000 ila nimepiga hesabu nikaona zikizobakia nikifyatua mwenyewe nitaokoa kama 40% ya pesa ya kununulia ila mafundi wananikatisha tamaa kuwa nitapata hasara tu ni bora kununua.

Naomba kujua kama yupo aliyefanya hii kitu matokeo yalikuaje.

Natanguliza shhkrani🙏🙏
 
Habari waheshimiwa.

Nina kaproject kanakohitaji kama tofali 20,000 hivi kakamilike.

So far nina tofali 3000 ila nimepiga hesabu nikaona zikizobakia nikifyatua mwenyewe nitaokoa kama 40% ya pesa ya kununulia ila mafundi wananikatisha tamaa kuwa nitapata hasara tu ni bora kununua.

Naomba kujua kama yupo aliyefanya hii kitu matokeo yalikuaje.

Natanguliza shhkrani🙏🙏
Hapo utaikoa ubora wa tofali.ila uwe na muda wa kusimamia hilo zoezi la ufyatuaji.ukiacha mafundi pekee yake wafyatue ila kama huna muda wa kusimamia ufyatuaji ni bora ukanunua.

Unajenga shule au Hotel,tofali 20,000 ni nyingi .kama ni zile tofali za cement siyo vile vya udogo
 
Hapo utaikoa ubora wa tofali.ila uwe na muda wa kusimamia hilo zoezi la ufyatuaji.ukiacha mafundi pekee yake wafyatue ila kama huna muda wa kusimamia ufyatuaji ni bora ukanunua.

Unajenga shule au Hotel,tofali 20,000 ni nyingi .kama ni zile tofali za cement siyo vile vya udogo
Nimekupata mkuu.
Lengo lilikua kupata ubora na kuokoa pesa kidogo.

Kusimamia nilipanga niwepo mwanzo mwisho huwa siaminigi mafundi
 
Hapo utaikoa ubora wa tofali.ila uwe na muda wa kusimamia hilo zoezi la ufyatuaji.ukiacha mafundi pekee yake wafyatue ila kama huna muda wa kusimamia ufyatuaji ni bora ukanunua.

Unajenga shule au Hotel,tofali 20,000 ni nyingi .kama ni zile tofali za cement siyo vile vya udogo
Ni tofali za kawaida sio vile vidogo mkuu
 
Kama siokoi pesa bora ninunue tu niokoe muda wa kusimamia
SIKILIZA NIKUAMBIE KITU...amini nakwambia huwezi pata hili kirahisi...wafanya biashara wa tofali huweka ratio ndogo kwa idadi ya tofali ili wapate faida....wasipokupunja kwenye inches za tofali watakupunja kwenye uwiano wa cement na mchanga au ubora wa mchanga....Faida utakayoipata
1.kama unajua mambo ya ujenzi na ubora wa mchanga unaootaka kutumia ukisimamia kuupata huo umepata faida ya kwanza
2.tofali hizo ni nyingi sana kama una mda wa kusimamia na kufanya manunuzi mwenyewe unaweza kupata ile free delivery ya cement or discount
3.kama unaweza kusimamia vizuri tenga muda hasaa maana hutakuwa na mashine ya kuchanganya...usikubali mafundi wakuambie tunapiga mifuko kadhaa kwa siku..maana jinsi mda unavyokwenda ndivyo wanavyochoka kuchanganya kunauwezekano wa kulipua kazi na kupata tofali za hovyo kabisa(cha kufanya tafuta mafundi wengi wape wastani wa tofali kwa siku na baada ya siku tatu wape mapumziko waje wakiwa fresh tena na maji uwe nayo ya kutosha)
4.faida nyingine utajua vitu vingi kama una jicho la tatu la kujiongeza
5.kama hela ni ya kuungaunga ni njia nzuri ya kufanikisha kwa urahisi.
 
Una machine ya tofali?
Mchanga?
Cement za kutosha?
Umeme?
Maji yapo au ni ya kununua?
Mafundi unawalipaje?
Wabebaji je?
Ukijumlisha hizo gharama unakuta gharama inakuja pale pale bora ununue uokoe muda na gharama zako
 
Kwa idadi hiyo ni kweli utaokoa gharama kubwa ya fedha, utapata ubora unaoutaka wa tofali. Mtaani watu wanafyatua hadi tofali 55-60 kwa mfuko mmoja. Ila wewe utaamua unatakaje, hata tofali 30 kwa mfuko, ni maamuzi yako na ubora unaotaka.
 
Una machine ya tofali?
Mchanga?
Cement za kutosha?
Umeme?
Maji yapo au ni ya kununua?
Mafundi unawalipaje?
Wabebaji je?
Ukijumlisha hizo gharama unakuta gharama inakuja pale pale bora ununue uokoe muda na gharama zako
Faida kubwa ni ubora wa tofali lakini pia kwa vile idadi ni kubwa ataokoa gharama kiasi, haya tunayonunua ukweli hamna kitu kabisa. Gharama ni maji, cement, umeme(kama atatumia machine za umeme) na makubaliano ya kufyatua.
 
Back
Top Bottom