Ikiwa uko Dar. Tofali za inch 5 bei ni 1,100/=
UKINUNUA
Tofali inch 5 pc 20,000 @1,100 = 22,000,000/=
UKIFYATUA MWENYEWE
Kwa tofali 20,000 za inch 5 ratio ya 35 utahitaji mifuko 600 ya cement, mfuko mmoja ni 18,000
●600×18,000: 10,800,000
●Vibrator na mixer: 6,000,000/=
●Mafundi mifuko 600 @4000: 2,400,000/=
Hadi hapo tayari 19,200,000/=
Sijapiga hesabu ya mchanga, umeme, maji, vibao vya kufyatulia tofali, wapanga tofali (nguzo)
Kwa kifupi hamna utakachookoa.
Iko hivi wengi wanaamua kupiga tofali zao ili wapate ile ratio bora kabisa wanayoitaka kama ni hivyo fyatua mwenyewe. Ila kama ni hizi ratio za kawaida za viwanda vya tofali bora ukanunue