Je, ni kweli hii inapunguza gharama za ujenzi?

Je, ni kweli hii inapunguza gharama za ujenzi?

Utaokoa gharama kwa kiasi kikubwa, mashine unakodi Bei 5000 kwa siku. Maji unanunua kwa wenye magari makubwa makubwa, tofali 20000 kwa kununua Bei ya chini ni Kama 800 jumla milioni 16 Ila hautapata tofali Bora.
Asante kwa kunitia moyo mkuu.

Maji ninayo nilichimba kisima.
Machine nitanunua.

Tofali naamini zitakua bora kama nitafuata ushauri wa wataalam.
 
Ikiwa uko Dar. Tofali za inch 5 bei ni 1,100/=

UKINUNUA
Tofali inch 5 pc 20,000 @1,100 = 22,000,000/=

UKIFYATUA MWENYEWE
Kwa tofali 20,000 za inch 5 ratio ya 35 utahitaji mifuko 600 ya cement, mfuko mmoja ni 16,000
●600×16,000: 9,600,000

●Vibrator na mixer: 6,000,000/=

●Mafundi mifuko 600 @4000: 2,400,000/=

Hadi hapo tayari 18,000,000/=

Sijapiga hesabu ya mchanga, umeme, maji, vibao vya kufyatulia tofali, wapanga tofali (nguzo)

Kwa kifupi hamna utakachookoa.

Iko hivi wengi wanaamua kupiga tofali zao ili wapate ile ratio bora kabisa wanayoitaka kama ni hivyo fyatua mwenyewe. Ila kama ni hizi ratio za kawaida za viwanda vya tofali bora ukanunue
Vibrator na mixer inabaki kuwa mali yake. Kihasibu gharama za hizi assest haziingizwi kama zilivyo.
 
Habari waheshimiwa.

Nina kaproject kanakohitaji kama tofali 20,000 hivi kakamilike.

So far nina tofali 3000 ila nimepiga hesabu nikaona zikizobakia nikifyatua mwenyewe nitaokoa kama 40% ya pesa ya kununulia ila mafundi wananikatisha tamaa kuwa nitapata hasara tu ni bora kununua.

Naomba kujua kama yupo aliyefanya hii kitu matokeo yalikuaje.

Natanguliza shhkrani🙏🙏
Kwa kuongezea, fyatua "Hollow Block", uta save sana. Zaidi ya hiyo 40%.
cinder-blocks-1001924-64_1000.jpg
 
Kwa kuongezea, fyatua "Hollow Block", uta save sana. Zaidi ya hiyo 40%.
View attachment 2880430
"Hole block " inaweza kuwa imara au dhaifu kutegemea na technology iliyolizalisha, wakati inajengwa tofari hili ukiamua kujenga kitaalam kabisa, huko katikat huwa inapitishwa nondo ili kutengeneza uimarra,lakini NAMI nasema unaweza pia weka muhanzi(bamboo tree kwani unasifa Bora kuliko nondo) , kwa mantiki hiyo kama solid block na hole block utajenga kwa kufuata utaratib uliobora, hole block

inabana matumiz, ya cement,mchanga, pia inapunguza uharibifu wa mazingira.(Prof Rein, Upsala university -Sweden). kwakuwa DUNIA inapambana na namna itapunguza hewa ya ukaa, huko mbeleni Tofar la cement litapotea, TUTARUD kwenye bricks, zile za udongo,au jivu.
Lakini pia tofari linapimwa.kwa mgandamizo kwa milimita za mraba, hivyo Bora hole block kuliko solid. Na bei lazima iwe chini kwani kama 50kg za cement zitaweza kuzalisha tofar za solidi 20, basi hole zaweza kuwa 25. Hivyo na bei itashuka.
 
Habari waheshimiwa.

Nina kaproject kanakohitaji kama tofali 20,000 hivi kakamilike.

So far nina tofali 3000 ila nimepiga hesabu nikaona zikizobakia nikifyatua mwenyewe nitaokoa kama 40% ya pesa ya kununulia ila mafundi wananikatisha tamaa kuwa nitapata hasara tu ni bora kununua.

Naomba kujua kama yupo aliyefanya hii kitu matokeo yalikuaje.

Natanguliza shhkrani[emoji120][emoji120]

Acha unahili,itakuja kuvunja nyumba Au kugombana na mafundi buree
 
Habari waheshimiwa.

Nina kaproject kanakohitaji kama tofali 20,000 hivi kakamilike.

So far nina tofali 3000 ila nimepiga hesabu nikaona zikizobakia nikifyatua mwenyewe nitaokoa kama 40% ya pesa ya kununulia ila mafundi wananikatisha tamaa kuwa nitapata hasara tu ni bora kununua.

Naomba kujua kama yupo aliyefanya hii kitu matokeo yalikuaje.

Natanguliza shhkrani🙏🙏
Mfuko moja wa cement Kwa mifuko mitatu ya mchanga
 
Ikiwa uko Dar. Tofali za inch 5 bei ni 1,100/=

UKINUNUA
Tofali inch 5 pc 20,000 @1,100 = 22,000,000/=

UKIFYATUA MWENYEWE
Kwa tofali 20,000 za inch 5 ratio ya 35 utahitaji mifuko 600 ya cement, mfuko mmoja ni 16,000
●600×16,000: 9,600,000

●Vibrator na mixer: 6,000,000/=

●Mafundi mifuko 600 @4000: 2,400,000/=

Hadi hapo tayari 18,000,000/=

Sijapiga hesabu ya mchanga, umeme, maji, vibao vya kufyatulia tofali, wapanga tofali (nguzo)

Kwa kifupi hamna utakachookoa.

Iko hivi wengi wanaamua kupiga tofali zao ili wapate ile ratio bora kabisa wanayoitaka kama ni hivyo fyatua mwenyewe. Ila kama ni hizi ratio za kawaida za viwanda vya tofali bora ukanunue
Hapa kuna gharama zinazo Baki ya hizo machine 6millioni
 
"Hole block " inaweza kuwa imara au dhaifu kutegemea na technology iliyolizalisha, wakati inajengwa tofari hili ukiamua kujenga kitaalam kabisa, huko katikat huwa inapitishwa nondo ili kutengeneza uimarra,lakini NAMI nasema unaweza pia weka muhanzi(bamboo tree kwani unasifa Bora kuliko nondo) , kwa mantiki hiyo kama solid block na hole block utajenga kwa kufuata utaratib uliobora, hole block

inabana matumiz, ya cement,mchanga, pia inapunguza uharibifu wa mazingira.(Prof Rein, Upsala university -Sweden). kwakuwa DUNIA inapambana na namna itapunguza hewa ya ukaa, huko mbeleni Tofar la cement litapotea, TUTARUD kwenye bricks, zile za udongo,au jivu.
Lakini pia tofari linapimwa.kwa mgandamizo kwa milimita za mraba, hivyo Bora hole block kuliko solid. Na bei lazima iwe chini kwani kama 50kg za cement zitaweza kuzalisha tofar za solidi 20, basi hole zaweza kuwa 25. Hivyo na bei itashuka.
Je upatikanaji wa bamboo kwetu Bongo upoje na umbali wa kuweka bamboo au nondo upoje.
Na kwa nini matofali haya hayatumiki Sana bongo. Tukaona kwa vitendo.
 
Back
Top Bottom