Je, ni kweli Idd Amini alikuwa shujaa wa Afrika, Nyerere alitumiwa na wazungu kumchafua?

Habari ya uchafu na usafi imeingiaje hapa.
Kwanza nyie wafuga nguruwe hamjui kuwa nguruwe ndo mnyama mchafu duniani??
Nyie ni wafuga uchafu.
Angalia miji inayokaliwa na jamii yenu ilivyo michafu, hewa nzito kama una roho nyepesi unakufa kwa kutapika.
 
Mzee kikwete kuna tuhuma zako huko, hivi kwanza ulimboka yuko wapi
 
Nyerere na ibada zake za kichawi za mwenge ndio kalifikisha taifa kwenye huu msiba mzito, mambo hayaendi, mali na utajiri wetu unaliwa na wageni. Sababu ya laana ya mwenge.

Nyerere alijenga misingi ya ovyo sana ya taifa hili
Iddia amini alikuwa mwema..lazima nimsifu muislam mwenzangu.
Nyerere alikuwa kibaraka wa wazungu mkatoliki yule
 
Boss, should we discuss issues of this kind miaka hii kweli? Alikuwa shujaa, hakuwa, alitumika na wazungu hakutumika, inasaidia nini leo hii?! Hata tukipata majibu Leo yatatatua nini?
Tuendelee kujadili bandari na ishauzwa? Mjadala wa bandari and the like utasaidia nini, mali ya Waarabu? Bora buji ametuletea changamsha genge
 
Nyerere ni shetani namba moja duniani na mzandiki, mdini na ........
 
Nitaenda butiama kupiga fimbo kaburi la nyerere huko butiama
 
Mwalimu alipokea msaada wa intelligence kutoka Israel na UK na ndio akamudu kuiteka ndege ya Libya ikatua Tz badala ya Uganda.
 
Kwani nani alieanza kumchokozs mwenzie?

..Idi Amin ndiye aliyevamia na kukalia eneo la Tanzania.

..kipindi hicho tulikuwa tumesaini makubaliano ya amani ya Mogadishu na kila upande ulipaswa kumheshimu mwenzake.

..pia Iddi Amin alikataa kuondoka nchini kwetu kwa amani na kukanusha madai kuwa eneo la Kagera ni mali ya Uganda.

..mazingira hayo ndiyo yaliyopelekea Mwalimu Nyerere kutuma Jwtz kumuondoa kinguvu toka ktk ardhi.

..Kwa hiyo akatumwa Brigedia Tumainieli Kiwelu kuandaa vikosi na kuongoza mapigano ya kurudisha ardhi yetu. Chini yake alikuwepo Kanali Ahmed Takadiri Kitete ambaye alikuwa operations commander.
 
sasa kiongozi umeongea vizuri kabisa ila hii DP world na Magufuli mbona mnatuonea 🤣.
 
Kwahyo Iddi amini ni kama Russia Tanzania ni kama Ukraine?
 
Msimchafue Hayati MwlJ. K. Nyerere, akili yake ilikuwa ni stand alone ilikuwa inajitegemea na kujitosheleza kwa kila kitu, Idd Amin hakuwa shujaa kwa namna yoyote, ila alikuwa mhuni kama wahuni wengine tu
 
Kwahyo Iddi amini ni kama Russia Tanzania ni kama Ukraine?

..Alivamia ardhi ya Tanganyika.

..kuna jamaa mmoja aliniambia Nyerere hakutaka vita ile.

..anadai kulikuwa na makamanda wa Jwtz ambao ambao walikuwa na hasira na walisisitiza lazima Amin afundishwe adabu.
 
Wanywa SUNGURA mnajua kuiita majina mazuri, eti grants

Ilikuwa ni adhabu ya kujidai kuzisaidia nchi za kusini mwa Sahara zijikoboe. Ua uchumi wa Tanzania tuone huo ukombozi utaufanya vipi
😂😂😂 dah karibu mrembo chupa ya pili hii
 

Attachments

  • ABFB68E6-139B-4DBB-96FB-EE29EE0DA1B3.jpeg
    78.4 KB · Views: 10
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…