Iddi amini lipindua inch, yeye akawa raisi,
sasa lkn kabla ya hapo kanisa la roma walikuwa wamejenga kanisa kubwa sasa uganda ili litumike kama kituo kikuu cha makanisa yote ya ukanda wa nchi za mashariki,
baada ya amini kuingia madarakani akachukua kanisa na kulifanya msikiti,
Kitendo kile kilikwenda kuharibu sana utaratibu wa roma,
wakaamua kuandaa mipango ya kumtoa amini madarakani,
Baada ya miaka 50 toka ile vita itokee shirika la ujasusi la marekani litaweka wazi sababu za vita vile
Shirika la ujasusi la marekani huweka hadharani mambo yao kila baada ya miaka 50 toka wafanye jambo,
Kuna mambo meengi sana yapo nyuma ya pazia yamefanywa na marekani kuanzia nani atawale wapi na nani afanye nn