Dah mwisho wa siku Kenya akatupiga bao....bila ile vita sisi ndo tungeongoza East afrika kiuchumi..Alivamia ardhi ya Tanganyika.
..kuna jamaa mmoja aliniambia Nyerere hakutaka vita ile.
..anadai kulikuwa na makamanda wa Jwtz ambao ambao walikuwa na hasira na walisisitiza lazima Amin afundishwe adabu.
Hakuivamia. Sio kweliNi nini kilimtuma Idd Amini kuivamia Tanzania?
Lakini hizi za Kiafrika ni pale unapotetea haki au unapokosoa Mamlaka.Serikali gani duniani haina kutekana
Serikali nyingi zina mfumo huo
Ova
Hana namna ya kuikwepa adhabu yakeMzee kikwete kuna tuhuma zako huko, hivi kwanza ulimboka yuko wapi
Uhuni wake ulikuwa ni upi?Msimchafue Hayati MwlJ. K. Nyerere, akili yake ilikuwa ni stand alone ilikuwa inajitegemea na kujitosheleza kwa kila kitu, Idd Amin hakuwa shujaa kwa namna yoyote, ila alikuwa mhuni kama wahuni wengine tu
Huna tofauti na mtu aliyejipiga kibaoUkweli ni kwamba Idd Amini alikuwa na kukosi chake maalum walikuwa wakivaa nguo za vitenge. Uganda waliwaita ichitenge, walikuwa kama watu wasiojulikana, wakikufuata hurudi. Hata Kikwete alikuwa na watu hawa wakiongozwa na Ramadhani Igwondu aliyemteka na kumtoa kucha na meno Dr. Ulimboka.
Pia magufuli alikuwa na watu wa aina hii. magufuli ni Mtakatifu wa kina Kulwa Jilala na Sukuma gang wote.
Bunge lililopitisha mkataba wa DP World ni matokeo ya utawala mbovu wa kifashisti wa magufuli
Alichofanya Mwalimu ndicho anachofanya Zelesky pale Ukraine, mwanamme rijali huwez kudharauliwa na kuonewa kindezi hivyo pambana hata kama unayepambana naye ana nguvu kukuzidi., Akikupiga bomu unamtungua kwa manati.Nyerere alitumiwa na Wazungu kumchafua Iddi?
Mengine yote ungeweza kudanganya kwa nia ya kumpamba. Ila hilo la mgongano wake na Mwalimu ungeacha.
Iddi Amini alikuwa na maneno ya hovyo na vitisho. Mwalimu alijitahidi sana kutomzingatia. Mpaka pale Iddi alipojitoa ufahamu kutaka kung'ang'ania eneo la nchi yetu kuwa eneo la Uganda.
Uvumilivu huo usingeuvumilia hata wewe.
Kama ni Wazungu walimtuma Mwalimu kumchafua Iddi, basi hata wakati wa Vita wangempa msaada wa kivita ili kumchakaza Iddi Amini. Badala yake, Iddi Amini ndiyo alipata msaada kutoka nchi wahisani wa Kiislamu (Libya).
Nitumie hiyo documents ya CIAIddi amini lipindua inch, yeye akawa raisi,
sasa lkn kabla ya hapo kanisa la roma walikuwa wamejenga kanisa kubwa sasa uganda ili litumike kama kituo kikuu cha makanisa yote ya ukanda wa nchi za mashariki,
baada ya amini kuingia madarakani akachukua kanisa na kulifanya msikiti,
Kitendo kile kilikwenda kuharibu sana utaratibu wa roma,
wakaamua kuandaa mipango ya kumtoa amini madarakani,
Baada ya miaka 50 toka ile vita itokee shirika la ujasusi la marekani litaweka wazi sababu za vita vile
Shirika la ujasusi la marekani huweka hadharani mambo yao kila baada ya miaka 50 toka wafanye jambo,
Kuna mambo meengi sana yapo nyuma ya pazia yamefanywa na marekani kuanzia nani atawale wapi na nani afanye nn
SawaHuna tofauti na mtu aliyejipiga kibao
Unajua Muungano uliwezeshwa na CIA? Soma vyanzo mbalimbali ili uachane na hii historia tuliyofundishwa ambayo mambo mengi yamefichwaNYERERE HAKUWA RAFIK WA ULAYA JINGA WW😡
True chumvi zilikuwa nyingi sanaAcheni ujinga
Shetani namba moja ni MohammadNyerere ni shetani namba moja duniani na mzandiki, mdini na ........