Je, ni kweli Idd Amini alikuwa shujaa wa Afrika, Nyerere alitumiwa na wazungu kumchafua?

Ni kweli kabisa Idi Amin alikuwa shujaa wa Afrika.

Hata Magu alikuwa shujaa wa Afrika na dunia, lakini mabeberu wakamuonea wivu, wakawatumia vibaraka wa ndani kumuwahisha ahera.

Uzuri wa Mangu ni kwamba kule mbinguni, Mungu amempa cheo cha mkuu wa malaika. Na analipwa bonge la mshahara, mara 10 ya mshahara wa Prof. Nabi kule kwa Madiba.
 
Wahindi namba nyingine mzee kuna kitabu cha Andy Chande kiliwekwa humu.Mzee wake alitoka kwao mwaka 1922 au 1925 kuja kufanya biashara huku bongo tena Bukene,Tabora -Tanzania na akamake .Huyo Chande alioa kwa tajiri namba moja ( muhindi) huko UG .Huyo tajiri Idd alichukua mali zake zote baadae akarudi akamake tena .Huyo Chande utajiri ambao mzee wake aliuhangaikia kwa miaka zaidi ya 35 ndani ya saa mbili tu ulitaifishwa na Nyerere lakini hakufa kinyonge.Wahindi,🙌🙌🙌
 
Duh
 
..Alivamia ardhi ya Tanganyika.

..kuna jamaa mmoja aliniambia Nyerere hakutaka vita ile.

..anadai kulikuwa na makamanda wa Jwtz ambao ambao walikuwa na hasira na walisisitiza lazima Amin afundishwe adabu.

Hao wanaojifanya watu wakale wengi ni waongo sana, usipende kabisa kuwaamini
 

wahindi ni wapambanaji kinoma mkuu, Sisi kinachotutesa ni choyo tu.
 
Reactions: EEX
Naomba ni mtag ndugu yetu hapa pengine ana lakuchangia kwenye uhuru ulioutumia wakujieleza. Karibu ndugu Pascal Mayalla useme neno hapa

Asante msikilizaji
 
Huu ni ukweli ambao makada wa CCM hawataki kuusikia. Nyerere alizingua
 
Uganda ipi wewe? Amini hajawahi kua mtu wa maana
 
Mbaya halisi hata wema hakosi... Nyerere na Amini wote wako hivyo.
 
Uganda ipi wewe? Amini hajawahi kua mtu wa maana

Waambie Waganda vizazi vya leo ambao wananyanyaswa na viwanda na maduka ya wahindi, uone kama hautatolewa nduki.....
Nyerere alikosea sana kumchokonoa Amin.
 
Mtu aliyeivamia nchi yetu na kuwaua ndugu zetu wasio na hatia hawezi kuwa mtu mzuri! Labda kama alijutia makosa yake na kuomba msamaha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…