Je, ni kweli January Makamba na Maharage Chande waliamuru maji yafunguliwe na kumwagika kwenye bwawa la Mtera?

Je, ni kweli January Makamba na Maharage Chande waliamuru maji yafunguliwe na kumwagika kwenye bwawa la Mtera?

Mwakaa huu nyanda za juu kusin kulikuwa na mvua za kutksha saaana ndo mana mpunga ulikubali ,mahind yalikubali, na mikoa yote ilipata mvua na kulikuwa mavuno mazur na wat wamejivunia kuwa wakulima na maji yalikuwa mengi saaan hivyo mqji hayo ndo yanayo jaza mto ruaha.

Sasa kama mvua zilikuwa nyingi maji lienda wapi na mwaka huu zilikuwa nyingi

Ukweli ni kuwa maji yalifunguliwa ilanushahid ndo huwez kuupata.
Hakuja wahi kuwa na ukame wa kukausha mabwana Tanzania ila ni uhuni mkongwe
 
Salaam wapendwa,

Nadhani wote tunaumia kwa kukosa Mwanga ambao ni hitaji letu la msingi la kila siku.

Sasa unataka kujua sababu?. Hii ndiyo sababu;

Mwezi Machi 2023, Mh. Waziri wa Nishati January Makamba akishirikiana na Mkurugenzi wa TANESCO Ndugu Maharage Chande waliamuru maji katika bwawa la Mtera (Catchment area; 68,000 km² (26,000 sq mi) yafunguliwe na kumwagika nje.

Hoja yao ni kwamba maji yangelijaa sana na hivyo Bwawa la Mtera lingepasuka na kuleta adhari kubwa sana. Wahandisi na wataalam kutoka katika bwawa la Mtera walipinga jambo hilo kitaalam.

Wakaeleza kuwa hifadhi ya maji (reservoirs) kwenye Rock-fill dam hutumika kwa shughuli nyingi siyo Hydropower tu.

Hifadhi ya maji (reservoirs) kwenye Rock-fill dam (kama Mtera) hutumika hata katika kilimo cha Umwagiliaji, matumizi ya binadamu, usafirishaji wa majini n.k.

Mh. January Makamba kwa kushirikiana na Maharage Chande waliagiza kuwa ni lazima maji yafunguliwe katika bwawa la Mtera.

Kutokana na nguvu ya Wanasiasa siasa ikafuata mkondo na taaluma ikawekwa pembeni, maji yakafunguliwa.

Maji hayakujaa tena katika bwawa la Mtera, kwa sababu mvua zilipotea.

Sasa nchi yetu inapitia kwenye changamoto kubwa ya upatikanaji wa huduma hiyo ya umeme.

Sababu zinazo tolewa sasa;

1. Kuna Matengenezo ya Mitambo.

2. Ukame

Lakini hili la Mh. January na Maharage halizungumzwi.

Kwa hili Mh Raisi amezidiwa Maarifa na Mh. January Makamba.




Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Maharage tumekutoa TANESCO na nikachukulia uzoefu wako wa DSTV nikaona sekta ya TTCL ingekufaa zaidi. Sasa baadae nikagundua una biashara ndani ya TTCL na kwa sababu kampuni ile inafanya vizuri na ndio maana imemuwezesha kijana yule nae kufanya vizuri nikasema hapana, usiende mahali ambapo una biashara, itakuwa conflict of interest. Nikaona sasa nikupe u postamasta mkuu "Alisema Rais Samia".
Inafikirisha sana.
 
KIPARA na Maharage mwezi Machi 2023, waliagiza na kuamuru maji katika bwawa la Mtera (Catchment area; 68,000 km² (26,000 sq mi)) yafunguliwe na kumwagika nje
JF imekua kichaka cha propaganda, ni kweli January na Maharagande wame under perform but why mnalazimisha ni Wahujumu Uchumi?

Mfano umeme wa gesi ni 70% why January na Maharagande wasihujumu mabomba ya gesi au vituko vya kuchakata umeme wa gesi waje kuhujumu Bwawa linalochangia a mere 10% ya umeme wote Tanzania?
 
JF imekua kichaka cha propaganda, ni kweli January na Maharagande wame under perform but why mnalazimisha ni Wahujumu Uchumi?

Mfano umeme wa gesi ni 70% why January na Maharagande wasihujumu mabomba ya gesi au vituko vya kuchakata umeme wa gesi waje kuhujumu Bwawa linalochangia a mere 10% ya umeme wote Tanzania?
Sasa kama gesi ni70 iyo gesi imeisha uko au
 
Sasa kama gesi ni70 iyo gesi imeisha uko au
Na ndio maana huwa napinga mgao ni sababu ya Maji, Rais mwenyewe kakiri kuwa mgao ni sababu VIFAA vimechoka!!

Ila kusema Maji ndio yanaleta mgao ni delusional maana gesi ndio Kila kitu. Na hata hao wanaodai January anahujumu mabwawa ni delusional pia maana hayana impact kwenye umeme wetu.
 
Labda tujiulize uwezo wa Mtera na kihansi dam ni kuhifadhi maji meter cubic ngapi na uzalishaji unatumia meter cubic ngapi za maji kila siku ?
 
Ukisikia Tanzania kupatwa ndiyo huko huyo jamaa akiwa rais wa nchi hii nahama kabisa
IMG_20211228_160309.jpg
 
Salaam wapendwa,

Nadhani wote tunaumia kwa kukosa Mwanga ambao ni hitaji letu la msingi la kila siku.

Sasa unataka kujua sababu?. Hii ndiyo sababu;

Mwezi Machi 2023, Mh. Waziri wa Nishati January Makamba akishirikiana na Mkurugenzi wa TANESCO Ndugu Maharage Chande waliamuru maji katika bwawa la Mtera (Catchment area; 68,000 km² (26,000 sq mi) yafunguliwe na kumwagika nje.

Hoja yao ni kwamba maji yangelijaa sana na hivyo Bwawa la Mtera lingepasuka na kuleta adhari kubwa sana. Wahandisi na wataalam kutoka katika bwawa la Mtera walipinga jambo hilo kitaalam.

Wakaeleza kuwa hifadhi ya maji (reservoirs) kwenye Rock-fill dam hutumika kwa shughuli nyingi siyo Hydropower tu.

Hifadhi ya maji (reservoirs) kwenye Rock-fill dam (kama Mtera) hutumika hata katika kilimo cha Umwagiliaji, matumizi ya binadamu, usafirishaji wa majini n.k.

Mh. January Makamba kwa kushirikiana na Maharage Chande waliagiza kuwa ni lazima maji yafunguliwe katika bwawa la Mtera.

Kutokana na nguvu ya Wanasiasa siasa ikafuata mkondo na taaluma ikawekwa pembeni, maji yakafunguliwa.

Maji hayakujaa tena katika bwawa la Mtera, kwa sababu mvua zilipotea.

Sasa nchi yetu inapitia kwenye changamoto kubwa ya upatikanaji wa huduma hiyo ya umeme.

Sababu zinazo tolewa sasa;

1. Kuna Matengenezo ya Mitambo.

2. Ukame

Lakini hili la Mh. January na Maharage halizungumzwi.

Kwa hili Mh Raisi amezidiwa Maarifa na Mh. January Makamba.




Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Wahusika wakamtwe leo na kufunguliwa mashitaka ya kuhujumu uchumi nakufungwa maisha leoleo.
 
MTALIA KILA KILIO.

TATIZO KUBWA LA HI NCHI NI CCM.

CCM IMEJAWA NA VIONGOZI ,


Wezi.
Wapumbafu.
Wajinga.
Mazwazwa.
Ma lofa.
Mafisadi.
WASIO na akili.
WASIO na Maono.
VICHAA nk.

HAIWEZEKANI DUNIA YA LEO KUTEGEMEA UMEME WA MAJI.
Nimeshagundua ili Tanzania iwe na mabadiliko tunatakiwa tubadilishe mfumo wa uongozi.
 
Back
Top Bottom