Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Ukisikia Tanzania kupatwa ndiyo huko huyo jamaa akiwa rais wa nchi hii nahama kabisaKama yupo hivyo na anazo tabia Kama hizi, Urais anausaka kwa lipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukisikia Tanzania kupatwa ndiyo huko huyo jamaa akiwa rais wa nchi hii nahama kabisaKama yupo hivyo na anazo tabia Kama hizi, Urais anausaka kwa lipi?
Alipo teuliwa nilijihisi homa kabisa maana jamaa ni pigajiKwa nchi kama China! Kipara ni wa kutundika mtini kwa kamba!
Wacha bwana!!!!Ni kweli mpk kwenye tovuti ya wizara hiyo ipo
Hata huyo MANDONDO naye alitakiwa kuwa kekoKipara anatakiwa awe gerezani
Itoshe tuwaite wahujumu uchumiMwakaa huu nyanda za juu kusin kulikuwa na mvua za kutksha saaana ndo mana mpunga ulikubali ,mahind yalikubali, na mikoa yote ilipata mvua na kulikuwa mavuno mazur na wat wamejivunia kuwa wakulima na maji yalikuwa mengi saaan hivyo mqji hayo ndo yanayo jaza mto ruaha.
Sasa kama mvua zilikuwa nyingi maji lienda wapi na mwaka huu zilikuwa nyingi
Ukweli ni kuwa maji yalifunguliwa ilanushahid ndo huwez kuupata.
Kwahiyo unamaanisha ni yeye ali accelarate kifo cha deo?!Inasemekeana alivuruga safari ya chopa mitaa ya Selous miaka ya 2015
Upo sahihi kabisaSio kila kinachoandikwa hapa JF ni nadharia, Wafanyakazi wa Tanesco nao pia ni member humu.
Hayo yakwako sijasema hivyoKwahiyo unamaanisha ni yeye ali accelarate kifo cha deo?!
Ulimaanisha nini?Hayo yakwako sijasema hivyo
Ya wenye vipara hajayasikia?samia kasema mpelekeeni madudu ya wateuzi wake.
Yeye ni binadamu hajakamilika.
Ni kweli mpk kwenye tovuti ya wizara hiyo ipo
Ushahidi huu Ukiwa wazi, tutaunganisha na issue ya nyufa kwenye Bwawa tupate pa kuanzia.
Kwanini hao wahandisi wanaosimamia hayo mabwawa walikubali?Je, kuna kweli wowote juu ya huu mgao wa sasa kusababishwa na amri ya aliyekuwa waziri wa nishati (Makamba) na Mkurugenzi wa Tanesco (Chande) kuamuru kinyume na ushauri wa wataalam kwamba maji ya bwa la Mtera yafunguliwe na kumwagika bure?! Uhaini huu inasemekana waliufanya mwezi Machi 2023.
Eti lengo ni kuongeza mauzo ya gesi ya kuzalisha umeme, je kuna ukweli wowote?
Hamna ukweli...Je, kuna kweli wowote juu ya huu mgao wa sasa kusababishwa na amri ya aliyekuwa waziri wa nishati (Makamba) na Mkurugenzi wa Tanesco (Chande) kuamuru kinyume na ushauri wa wataalam kwamba maji ya bwa la Mtera yafunguliwe na kumwagika bure?! Uhaini huu inasemekana waliufanya mwezi Machi 2023.
Eti lengo ni kuongeza mauzo ya gesi ya kuzalisha umeme, je kuna ukweli wowote?
Ikiwa ndivyo UKWELI ulivyo, ni kheri.Issue ya nyufa ni kweli, maana nina rafiki yangu wa damu yuko Rufiji kwenye hiyo project ijapokuwa kaniambia sehemu zilipo nyufa si rahisi maji kufika
Kuwa megawatt 80 za mtera ndio zinaleta mgao ,bado tunahitaji kuwekeza zaidi kwenye uzalishaji wa umeme bado tunazalisha kidogo hakuna plant ya uzalishaji yenye uwezo wa kutoa megawatt 500 au 1000 independently hapa nchini wakati ukienda misri kituo kimoja cha gesi kimejengwa 1979 kinazalisha megawatt 1200 rejea uzaloshaji wetu nchi nzima kusanya vyote ni 1600+ megawatt ,sasa ukiangalia vituo vya kisasa vya misri viliyojengwa 2018 vinazalisha megawatt 4800 na vipo 5 pale kwao yaani kimoja tu kinazalisha mara tatu yetu sasa kama proved reserve ni 55cubic trillions za gesi hapa kwetu na misri wao ni 65trillions cubic ni wakati sasa tujenge magasi turbine makubwa yaani stations plant kubwa tuachane na hizi gas stations za megawatt 120, 200 sijui 45 its time we go big nyerere dam ipo lakini suala la ukame ni issue hapa kwetu nyerere iendelee lakini kuna haja ya kuwa na stations ya kuzalisha kubwa ya maana na pia ni wakati productions policy yetu iwe ni kuanzia megawtt 500,1000 kuendelea na sio hivi vidogo vidogo kwa kuwa kasi ya miji kukua ni kubwa na mahitaji mapya ya viwandani na majumbani yanaongezeka kila siku inawezekana tunaweza.Je, kuna kweli wowote juu ya huu mgao wa sasa kusababishwa na amri ya aliyekuwa waziri wa nishati (Makamba) na Mkurugenzi wa Tanesco (Chande) kuamuru kinyume na ushauri wa wataalam kwamba maji ya bwa la Mtera yafunguliwe na kumwagika bure?! Uhaini huu inasemekana waliufanya mwezi Machi 2023.
Eti lengo ni kuongeza mauzo ya gesi ya kuzalisha umeme, je kuna ukweli wowote?
Mkuu hii sababu nimeitoa kwenye uzi wa kauli ya Mh Rais kuhusu suala la umeme.Sio kila kinachoandikwa hapa JF ni nadharia, Wafanyakazi wa Tanesco nao pia ni member humu.