Je, ni kweli January Makamba na Maharage Chande waliamuru maji yafunguliwe na kumwagika kwenye bwawa la Mtera?

Je, ni kweli January Makamba na Maharage Chande waliamuru maji yafunguliwe na kumwagika kwenye bwawa la Mtera?

Mwakaa huu nyanda za juu kusin kulikuwa na mvua za kutksha saaana ndo mana mpunga ulikubali ,mahind yalikubali, na mikoa yote ilipata mvua na kulikuwa mavuno mazur na wat wamejivunia kuwa wakulima na maji yalikuwa mengi saaan hivyo mqji hayo ndo yanayo jaza mto ruaha.

Sasa kama mvua zilikuwa nyingi maji lienda wapi na mwaka huu zilikuwa nyingi

Ukweli ni kuwa maji yalifunguliwa ilanushahid ndo huwez kuupata.
Itoshe tuwaite wahujumu uchumi
 
samia kasema mpelekeeni madudu ya wateuzi wake.
Yeye ni binadamu hajakamilika.
 
Kwenye hizi social media kuna watu wako kukubali na kuamini kila kinachoandikwa ndo maana ni rahisi kuharibu image ya mtu via medias,vilevile ni rahisi kumfanya mtu awe mzuri via media.Simkubali Makamba especial reaction yake kwenye kifo cha JPM,ila naamini vitu vingi humu anasingiziwa kwa chuki.
 
Issue ya nyufa ni kweli, maana nina rafiki yangu wa damu yuko Rufiji kwenye hiyo project ijapokuwa kaniambia sehemu zilipo nyufa si rahisi maji kufika
Ushahidi huu Ukiwa wazi, tutaunganisha na issue ya nyufa kwenye Bwawa tupate pa kuanzia.
 
Je, kuna kweli wowote juu ya huu mgao wa sasa kusababishwa na amri ya aliyekuwa waziri wa nishati (Makamba) na Mkurugenzi wa Tanesco (Chande) kuamuru kinyume na ushauri wa wataalam kwamba maji ya bwa la Mtera yafunguliwe na kumwagika bure?! Uhaini huu inasemekana waliufanya mwezi Machi 2023.

Eti lengo ni kuongeza mauzo ya gesi ya kuzalisha umeme, je kuna ukweli wowote?
Kwanini hao wahandisi wanaosimamia hayo mabwawa walikubali?
 
Je, kuna kweli wowote juu ya huu mgao wa sasa kusababishwa na amri ya aliyekuwa waziri wa nishati (Makamba) na Mkurugenzi wa Tanesco (Chande) kuamuru kinyume na ushauri wa wataalam kwamba maji ya bwa la Mtera yafunguliwe na kumwagika bure?! Uhaini huu inasemekana waliufanya mwezi Machi 2023.

Eti lengo ni kuongeza mauzo ya gesi ya kuzalisha umeme, je kuna ukweli wowote?
Hamna ukweli...
Kigogo anaingiza chaka watu....
 
Issue ya nyufa ni kweli, maana nina rafiki yangu wa damu yuko Rufiji kwenye hiyo project ijapokuwa kaniambia sehemu zilipo nyufa si rahisi maji kufika
Ikiwa ndivyo UKWELI ulivyo, ni kheri.
 
Je, kuna kweli wowote juu ya huu mgao wa sasa kusababishwa na amri ya aliyekuwa waziri wa nishati (Makamba) na Mkurugenzi wa Tanesco (Chande) kuamuru kinyume na ushauri wa wataalam kwamba maji ya bwa la Mtera yafunguliwe na kumwagika bure?! Uhaini huu inasemekana waliufanya mwezi Machi 2023.

Eti lengo ni kuongeza mauzo ya gesi ya kuzalisha umeme, je kuna ukweli wowote?
Kuwa megawatt 80 za mtera ndio zinaleta mgao ,bado tunahitaji kuwekeza zaidi kwenye uzalishaji wa umeme bado tunazalisha kidogo hakuna plant ya uzalishaji yenye uwezo wa kutoa megawatt 500 au 1000 independently hapa nchini wakati ukienda misri kituo kimoja cha gesi kimejengwa 1979 kinazalisha megawatt 1200 rejea uzaloshaji wetu nchi nzima kusanya vyote ni 1600+ megawatt ,sasa ukiangalia vituo vya kisasa vya misri viliyojengwa 2018 vinazalisha megawatt 4800 na vipo 5 pale kwao yaani kimoja tu kinazalisha mara tatu yetu sasa kama proved reserve ni 55cubic trillions za gesi hapa kwetu na misri wao ni 65trillions cubic ni wakati sasa tujenge magasi turbine makubwa yaani stations plant kubwa tuachane na hizi gas stations za megawatt 120, 200 sijui 45 its time we go big nyerere dam ipo lakini suala la ukame ni issue hapa kwetu nyerere iendelee lakini kuna haja ya kuwa na stations ya kuzalisha kubwa ya maana na pia ni wakati productions policy yetu iwe ni kuanzia megawtt 500,1000 kuendelea na sio hivi vidogo vidogo kwa kuwa kasi ya miji kukua ni kubwa na mahitaji mapya ya viwandani na majumbani yanaongezeka kila siku inawezekana tunaweza.
 
Back
Top Bottom