Ukikaa na mzungu na ukiwa mchapakazi una nafasi kubwa sana ya kupata mafanikio
Mzungu kukuachia chimbo baada ya mradi wake kuisha ni dk sifuri kama wewe ndio ulikuwa msimamizi wake [emoji3] mchina atauza hadi magodoro mliokuwa mnalalia [emoji3]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]