Sun is Sun
JF-Expert Member
- Mar 13, 2024
- 649
- 975
- Thread starter
- #21
Sidhani, Maana nimejaribu sana kuwafatilia ila sijaona chochote.Inawezekana wakawa wapo kweli...Kuna nchi nilienda nchi hiyo ukipiga video either call au video yoyote lazima itaingiliana na sauti za ajabu ajabu...hata kama sehemu imetulia...!