EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Hiii ni lughatul arabiyyah si lugha ya majini japo kuna lughatul jinniyahHii lugha ya Majini uliisomea wapi ndugu.
Au ndio Kajini kenyewe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiii ni lughatul arabiyyah si lugha ya majini japo kuna lughatul jinniyahHii lugha ya Majini uliisomea wapi ndugu.
Au ndio Kajini kenyewe?
Kwani kwenye Suratul Jinn original, Majini yaliongea lugha gani ?Hiii ni lughatul arabiyyah si lugha ya majini japo kuna lughatul jinniyah
Mkuu umetisha.Tafuta kioo chakujiangalia weka mbele yako, hakikisha chumba chambo hakina mwanga, kisha chukua mishumaa miwili. Mmoja weka kushoto na mwingine weka kulia kwako na kioo kikae kakikati ya hiyo mishumaa miwili. Washa mishumaa yako na uwanze kuangalia kioo chako bila kufumba macho mara kwa mara, au ku blink kwamaana nyingine.
Jitahidi usiwe una blink blink mara kwa mara na uweke uzingatiwe kwenye kujiangalia au kuangalia kioo chako kisha tamka maneno haya kwenye mabano kwakuyarudia rudia “Renich Tasa Uberaca Biasa Icar Lucifer My God”
NB: Jitahidi kuwa katika hali ya utulivu na usipungue chini ya lisaa 1 ukiwa unaangalia kioo na kurudia rudia hayo maneno kwenye mabano.
Marejesho uje nayo sio wasema story zakiaarabu halafu wasoma tuu uzi na practical hufanyi. JF ingetaka kupata experience yako kwenye hili
Kakimbia.Wadau hapo juu wamekupa muongozo, labda uwe mbishis tu
waliosoma ilm ya majini wanazijua lugha za majini na ziko nyingi tu,sasa kama hawa waliosoma hii ilm al ghayb wanauwezo wa kuzijua inawezekana wakawasiliana na hao majini kwa lugha za majini Qu'ran haituambii yale majini yaliyoisikia Qu'ran na kuiamini walizungumza Lugha al arabiyya au lughatul jinniya pengine moja kati ya hizi lugha zilitumika nina imani Muhammad alikuwa na ilm kuhusu hivi viumbe pengine hata lugha yao inawezekana alikuwa anaijuaKwani kwenye Suratul Jinn original, Majini yaliongea lugha gani ?
Mwamba uko vizuri.waliosoma ilm ya majini wanazijua lugha za majini na ziko nyingi tu,sasa kama hawa waliosoma hii ilm al ghayb wanauwezo wa kuzijua inawezekana wakawasiliana na hao majini kwa lugha za majini Qu'ran haituambii yale majini yaliyoisikia Qu'ran na kuiamini walizungumza Lugha al arabiyya au lughatul jinniya pengine moja kati ya hizi lugha zilitumika nina imani Muhammad alikuwa na ilm kuhusu hivi viumbe pengine hata lugha yao inawezekana alikuwa anaijua
Unafanya utafiti ila hauna nyenzo za hypothesis.Habari zenu WanaJamiiForums?
Swali langu linauliza je, ni kweli majini wapo? Katika utafiti wangu kuhusu majini sijawahi kukumbana nao. Na nimefanya utafiti wa kina mpaka majaribio lakini mpaka sasa sijawahi kuwa-expirience.
Au hii pia tuweke kwenye story za ABUNUWASI? Kama kuna anayeweza kuweka muongozo wa namna ya kuwaita aje,. Nahitaji kumaliza huu utafiti.
Asanteni.
Ndio tusubiri marejesho kutokea kwake. Hata comment yake sijaiona.Mkuu umetisha.
Nina uhakika hawezi kufanya Wala kujaribu hii.
Humu watoto wengi na immatured fellas.
Tupe kisa kilivyokuwa kisha tukupe ilmKujua jini zuri na baya unafanyaje, kuna jamaa zangu wawili walikufa kwa sababu ya haya mambo ya ku summon majini
Ni kwamba walikua watatu walihitaji ku summon majini kwaajili ya kusimamia mali zao, walienda chumbe huko zenji majini wabaya walikuja wakawadhuru wawili kasoro jamaa mmoja tu sijaelewaga mpaka leoTupe kisa kilivyokuwa kisha tukupe ilm
Sio aulize wale wanaotolewaga hayo majini kwenye zile nyumba za ibada kwa jina la nani...?Waulize Wenyewe wanao wafagilia katika maombi wanayo yafanya ili wasaidiwe na hao Majini.
Watakupa jibu.
Na asikojoe akiona,mkumbushe kuwasha ubani Maka.Mkuu umetisha.
Nina uhakika hawezi kufanya Wala kujaribu hii.
Humu watoto wengi na immatured fellas.
Sasa wazungu wana hadi dhana ya kuwasiliana na watu waliyokufa kitu ambacho hata hao waarabu hawana, google kuhusu Mediumship uone jinsi wazungu wanavyozungumzia kuwasiliana na majini na watu waliyokufa.Hakuna kitu kama hicho. Ni dhana ya kiarabu ya kuwatisha watu au kutumika kupigia fedha za mazwazwa wanaoamini ujinga huu. Majini, pepo, na roho mtakatifu ni dhana mfu na za kufikirika zisizoingia akilini kwa watu wenye vichwa vinavyochemka. Ukitaka kujua kuwa hivi vitu ni feki, vya kubuni, na havipo, waambie wanaodai vipo wavilete lau kimoja tuvione au kuvihisi.
Unataka kusema wale tunaoona wanaotolewa mapepo huwa hawapendi kitimoto?Waulize wasio penda kitimoto.
Wewe sema huamini dini pamoja na Allah, hawa viumbe hapo na wameumbwa kumwabudu Allah, pamoja na binadamu.Habari zenu WanaJamiiForums?
Swali langu linauliza je, ni kweli majini wapo? Katika utafiti wangu kuhusu majini sijawahi kukumbana nao. Na nimefanya utafiti wa kina mpaka majaribio lakini mpaka sasa sijawahi kuwa-expirience.
Au hii pia tuweke kwenye story za ABUNUWASI? Kama kuna anayeweza kuweka muongozo wa namna ya kuwaita aje,. Nahitaji kumaliza huu utafiti.
Asanteni.
Hii mada ni majini, kwani majini ni mapepo?Unataka kusema wale tunaoona wanaotolewa mapepo huwa hawapendi kitimoto?