Je, ni kweli kuna majini?

Je, ni kweli kuna majini?

Habari zenu WanaJamiiForums?

Swali langu linauliza je, ni kweli majini wapo? Katika utafiti wangu kuhusu majini sijawahi kukumbana nao. Na nimefanya utafiti wa kina mpaka majaribio lakini mpaka sasa sijawahi kuwa-expirience.

Au hii pia tuweke kwenye story za ABUNUWASI? Kama kuna anayeweza kuweka muongozo wa namna ya kuwaita aje,. Nahitaji kumaliza huu utafiti.

Asanteni.
majini yapo,kanisa katoliki lina sala ya imani isemayo{nasadiki kwa MUNGU baba mwenye-enzi,aliyeumba vi2 vyote vinavoonekana na visivoonekana"sasa unafikiri vitu visivyoonekana ni vtu gani?"....pia kuna kitabu kwenye biblia ya kale kiitwacho TOBITI,,ila kwa sasa kimefutwa,,,kinaelezea kisa kimoja cha mzee mmoja aliyekuwa akiitwa TOBITI{alikuwa kipofu],,,huyu mzee alikuwa na mtoto wake wakiume aliyefikia umri wa kuoa,siku moja akaja mgeni{alikuwa ni malaika aliyevaa mwili wa kibinadamu],,,basi mzee tobiti na familia yake wakasitiri huyo mgeni kwa chakula na malazi,,,kesho yake akawa anaondoka,mzee tobiti akamuuliza unaelekea wapi?,,,yule mgeni akamweleza mji anaoelekea'mzee tobiti akamwomba aende na mwanae yule wa kiume mpaka kwenye mji huo kwani kuna mjomba wa huyo dogo alikuwa na binti ambapo angetaka mwanae ndio amwoe,,yule mgeni akaridhia na safari ikaanza,,,,walisafiri usiku na na mchana mpaka wakafikia bahari,njaa ikawa inawauma,,,,yule malaika akakamata samaki,na kumtoa matavua na nyongo{sina uhakika kama ni nyongo au maini} akampa yule dogo akamwambia,huko unakoenda kuoa huyo binti ana JINI MAHABA{imeandikwa ivoivo JINI MAHABA},akamwambia,,ukifika huko kabla ya kulala na huyo JINI hakikisha unchoma nyongo/maini ya huyo samaki nalo JINI litakimbia kwani kila mwanaume aliyejaribu kulala na huyo mwanamke alikufa{aliuwawa na hilo jini],,,na kuhusu matamvua ya samaki pia ukirudi kwa babako changanya na nyongo ya samaki alafu mpeke babako nae atapata kuona tena!!!..........ok,,,wakafanikiwa kufika kwenye ule mji na yule mgeni akamkabizi kwa ile familia,lakini cha ajabu wazazi wa yule binti walianza kulia,,anyaway,yule mgeni akatoweka!!!!!ok,,usiku ulipofika muda wa kulala yule kijana akafanya kama alivoelekezwa na yule mgeni,,,na akafanikiwa kulala na yule binti bila madhara!!!!,,,basi kulipokucha wazazi wa yule binti walishangaa yule kijana hakufa,,,basi ilifanyika bonge la sherehe,,,,na kijana akakabidhiwa mke na mali kibao,pamoja na punda,ng'ombe,mbuzi na kondoo na vito vya thamani na watumishi wa kuwasindikiza,,alipofika kwa baba yake akafanya kama malaika alivomwelekeza,,,na ikawa babake akapata kuona tena,,,,,lakini pia kwenye Q"RAN TUKUFU kuna sura inaitwa SURATUL JINN,,,sura inaezea kuhusu majini,,,lakini ata mimi binafsi nilishakutana na visa vya majinni,,yaani nyumba yangu yalihamia,,,,ilikuwa ukilala unaona vituko waziwazi,,,pia kuna siku nikiwa nimekaa kitandani nikitafari maisha baada ya mke wangu kunikimbia,,,ghafla kwenye mlango wa vhumbani alismama mdada mmjoa mrefu mweusi kavaa baibui ananiangalia,,,nilivomtupia jicho,,,alitoweka nikaki kusikia haruvu ya ubani!!
 
Tafuta kioo chakujiangalia weka mbele yako, hakikisha chumba chambo hakina mwanga, kisha chukua mishumaa miwili. Mmoja weka kushoto na mwingine weka kulia kwako na kioo kikae kakikati ya hiyo mishumaa miwili. Washa mishumaa yako na uwanze kuangalia kioo chako bila kufumba macho mara kwa mara, au ku blink kwamaana nyingine.

Jitahidi usiwe una blink blink mara kwa mara na uweke uzingatiwe kwenye kujiangalia au kuangalia kioo chako kisha tamka maneno haya kwenye mabano kwakuyarudia rudia “Renich Tasa Uberaca Biasa Icar Lucifer My God”

NB: Jitahidi kuwa katika hali ya utulivu na usipungue chini ya lisaa 1 ukiwa unaangalia kioo na kurudia rudia hayo maneno kwenye mabano.


Marejesho uje nayo sio wasema story zakiaarabu halafu wasoma tuu uzi na practical hufanyi. JF ingetaka kupata experience yako kwenye hili
Hili nitalifanya kesho.
Na nitaleta mrejesho hapa.
 
majini yapo,kanisa katoliki lina sala ya imani isemayo{nasadiki kwa MUNGU baba mwenye-enzi,aliyeumba vi2 vyote vinavoonekana na visivoonekana"sasa unafikiri vitu visivyoonekana ni vtu gani?"....pia kuna kitabu kwenye biblia ya kale kiitwacho TOBITI,,ila kwa sasa kimefutwa,,,kinaelezea kisa kimoja cha mzee mmoja aliyekuwa akiitwa TOBITI{alikuwa kipofu],,,huyu mzee alikuwa na mtoto wake wakiume aliyefikia umri wa kuoa,siku moja akaja mgeni{alikuwa ni malaika aliyevaa mwili wa kibinadamu],,,basi mzee tobiti na familia yake wakasitiri huyo mgeni kwa chakula na malazi,,,kesho yake akawa anaondoka,mzee tobiti akamuuliza unaelekea wapi?,,,yule mgeni akamweleza mji anaoelekea'mzee tobiti akamwomba aende na mwanae yule wa kiume mpaka kwenye mji huo kwani kuna mjomba wa huyo dogo alikuwa na binti ambapo angetaka mwanae ndio amwoe,,yule mgeni akaridhia na safari ikaanza,,,,walisafiri usiku na na mchana mpaka wakafikia bahari,njaa ikawa inawauma,,,,yule malaika akakamata samaki,na kumtoa matavua na nyongo{sina uhakika kama ni nyongo au maini} akampa yule dogo akamwambia,huko unakoenda kuoa huyo binti ana JINI MAHABA{imeandikwa ivoivo JINI MAHABA},akamwambia,,ukifika huko kabla ya kulala na huyo JINI hakikisha unchoma nyongo/maini ya huyo samaki nalo JINI litakimbia kwani kila mwanaume aliyejaribu kulala na huyo mwanamke alikufa{aliuwawa na hilo jini],,,na kuhusu matamvua ya samaki pia ukirudi kwa babako changanya na nyongo ya samaki alafu mpeke babako nae atapata kuona tena!!!..........ok,,,wakafanikiwa kufika kwenye ule mji na yule mgeni akamkabizi kwa ile familia,lakini cha ajabu wazazi wa yule binti walianza kulia,,anyaway,yule mgeni akatoweka!!!!!ok,,usiku ulipofika muda wa kulala yule kijana akafanya kama alivoelekezwa na yule mgeni,,,na akafanikiwa kulala na yule binti bila madhara!!!!,,,basi kulipokucha wazazi wa yule binti walishangaa yule kijana hakufa,,,basi ilifanyika bonge la sherehe,,,,na kijana akakabidhiwa mke na mali kibao,pamoja na punda,ng'ombe,mbuzi na kondoo na vito vya thamani na watumishi wa kuwasindikiza,,alipofika kwa baba yake akafanya kama malaika alivomwelekeza,,,na ikawa babake akapata kuona tena,,,,,lakini pia kwenye Q"RAN TUKUFU kuna sura inaitwa SURATUL JINN,,,sura inaezea kuhusu majini,,,lakini ata mimi binafsi nilishakutana na visa vya majinni,,yaani nyumba yangu yalihamia,,,,ilikuwa ukilala unaona vituko waziwazi,,,pia kuna siku nikiwa nimekaa kitandani nikitafari maisha baada ya mke wangu kunikimbia,,,ghafla kwenye mlango wa vhumbani alismama mdada mmjoa mrefu mweusi kavaa baibui ananiangalia,,,nilivomtupia jicho,,,alitoweka nikaki kusikia haruvu ya ubani!!
endelea mkuu, umesomea mambo ya spriritual? kiliendelea nn
 
Kumbe una taarifa zote
kuna mtu ana ndugu yake ameoa jini na mashart ilikua asijihusishe na wanawake wa kibinadam s unajua kenge ni kenge tu kaka wa watu akaona ya nn mie akaoa mwanadam mwenzie wa kike jin akamjia akilia na machozi ya dam na walizaa watoto wawili na huyo jini nikawa namuuliza watoto wako unewahi kuwaona anasema ndio nikiwa nataka kuwaona anaenda baharini tu chap anawakuta ni kama wanashuka kwenye dau (chombo cha majini (bahari) na anasema ailikuwa n msaada akiwa hana hela huota jini humletea pesa asizojua na hela za ktz misimbazi kwenye sahani yeye huchukua misimbazi huyo ndio alinipa namn ya kufika huko ananambia hao watoto anafnana nao sana na jin alimwambia sitakutenganisha na wanao utawaona unavyotaka
 
kuna mtu ana ndugu yake ameoa jini na mashart ilikua asijihusishe na wanawake wa kibinadam s unajua kenge ni kenge tu kaka wa watu akaona ya nn mie akaoa mwanadam mwenzie wa kike jin akamjia akilia na machozi ya dam na walizaa watoto wawili na huyo jini nikawa namuuliza watoto wako unewahi kuwaona anasema ndio nikiwa nataka kuwaona anaenda baharini tu chap anawakuta ni kama wanashuka kwenye dau (chombo cha majini (bahari) na anasema ailikuwa n msaada akiwa hana hela huota jini humletea pesa asizojua na hela za ktz misimbazi kwenye sahani yeye huchukua misimbazi huyo ndio alinipa namn ya kufika huko ananambia hao watoto anafnana nao sana na jin alimwambia sitakutenganisha na wanao utawaona unavyotaka
Uyo jini mstaarabu sana duh
 
Una 'feel' uwepo wao ama kama ni kuonekana basi ni vague images
Waw! A Very nice response. Naomba mwangozo nifanyeje ili ni Feel uwepo wao au hata hizo vague images nitashukuru mkuu.
 
majini yapo,kanisa katoliki lina sala ya imani isemayo{nasadiki kwa MUNGU baba mwenye-enzi,aliyeumba vi2 vyote vinavoonekana na visivoonekana"sasa unafikiri vitu visivyoonekana ni vtu gani?"....pia kuna kitabu kwenye biblia ya kale kiitwacho TOBITI,,ila kwa sasa kimefutwa,,,kinaelezea kisa kimoja cha mzee mmoja aliyekuwa akiitwa TOBITI{alikuwa kipofu],,,huyu mzee alikuwa na mtoto wake wakiume aliyefikia umri wa kuoa,siku moja akaja mgeni{alikuwa ni malaika aliyevaa mwili wa kibinadamu],,,basi mzee tobiti na familia yake wakasitiri huyo mgeni kwa chakula na malazi,,,kesho yake akawa anaondoka,mzee tobiti akamuuliza unaelekea wapi?,,,yule mgeni akamweleza mji anaoelekea'mzee tobiti akamwomba aende na mwanae yule wa kiume mpaka kwenye mji huo kwani kuna mjomba wa huyo dogo alikuwa na binti ambapo angetaka mwanae ndio amwoe,,yule mgeni akaridhia na safari ikaanza,,,,walisafiri usiku na na mchana mpaka wakafikia bahari,njaa ikawa inawauma,,,,yule malaika akakamata samaki,na kumtoa matavua na nyongo{sina uhakika kama ni nyongo au maini} akampa yule dogo akamwambia,huko unakoenda kuoa huyo binti ana JINI MAHABA{imeandikwa ivoivo JINI MAHABA},akamwambia,,ukifika huko kabla ya kulala na huyo JINI hakikisha unchoma nyongo/maini ya huyo samaki nalo JINI litakimbia kwani kila mwanaume aliyejaribu kulala na huyo mwanamke alikufa{aliuwawa na hilo jini],,,na kuhusu matamvua ya samaki pia ukirudi kwa babako changanya na nyongo ya samaki alafu mpeke babako nae atapata kuona tena!!!..........ok,,,wakafanikiwa kufika kwenye ule mji na yule mgeni akamkabizi kwa ile familia,lakini cha ajabu wazazi wa yule binti walianza kulia,,anyaway,yule mgeni akatoweka!!!!!ok,,usiku ulipofika muda wa kulala yule kijana akafanya kama alivoelekezwa na yule mgeni,,,na akafanikiwa kulala na yule binti bila madhara!!!!,,,basi kulipokucha wazazi wa yule binti walishangaa yule kijana hakufa,,,basi ilifanyika bonge la sherehe,,,,na kijana akakabidhiwa mke na mali kibao,pamoja na punda,ng'ombe,mbuzi na kondoo na vito vya thamani na watumishi wa kuwasindikiza,,alipofika kwa baba yake akafanya kama malaika alivomwelekeza,,,na ikawa babake akapata kuona tena,,,,,lakini pia kwenye Q"RAN TUKUFU kuna sura inaitwa SURATUL JINN,,,sura inaezea kuhusu majini,,,lakini ata mimi binafsi nilishakutana na visa vya majinni,,yaani nyumba yangu yalihamia,,,,ilikuwa ukilala unaona vituko waziwazi,,,pia kuna siku nikiwa nimekaa kitandani nikitafari maisha baada ya mke wangu kunikimbia,,,ghafla kwenye mlango wa vhumbani alismama mdada mmjoa mrefu mweusi kavaa baibui ananiangalia,,,nilivomtupia jicho,,,alitoweka nikaki kusikia haruvu ya ubani!!
Majini yanaoneka mbona.Kingine kitabu cha Tobit hakijafutwa(Kwenye New Jerusalem bible mbona kimo na inatumiwa na RC)
 
Sio hadithi Mkuu nimefanya uchunguzi kwa kina lakini hayakuleta matokeo,
Kama unaweza kunipa formula zingine weka hapa. Nipo tayari kuanza upya.
UKiniambie nikupe fomula zengine hali ya kuwa sijue ni fomula zipi hizo ulizotumia na hazikuleta matokeo huoni kama haijakawa sawa? Kwanini usieleze hata kwa ufupi ni njia gani ambazo umejaribu ila hazikuleta matokeo?

Wewe unasema hakuna kilichotokea ila mwengine humu anasema kuna watu walikufa kabisa ndio maana nasema ungeeleza hizo njia ulizotumia kwa maana pengine kuna makosa tu ulikosea.

Katika huo uchunguzi wako wa kina ulijaribu na kufungua jicho la tatu?
 
Back
Top Bottom