Je, ni kweli kuna majini?

Je, ni kweli kuna majini?

majini yapo,kanisa katoliki lina sala ya imani isemayo{nasadiki kwa MUNGU baba mwenye-enzi,aliyeumba vi2 vyote vinavoonekana na visivoonekana"sasa unafikiri vitu visivyoonekana ni vtu gani?"....pia kuna kitabu kwenye biblia ya kale kiitwacho TOBITI,,ila kwa sasa kimefutwa,,,kinaelezea kisa kimoja cha mzee mmoja aliyekuwa akiitwa TOBITI{alikuwa kipofu],,,huyu mzee alikuwa na mtoto wake wakiume aliyefikia umri wa kuoa,siku moja akaja mgeni{alikuwa ni malaika aliyevaa mwili wa kibinadamu],,,basi mzee tobiti na familia yake wakasitiri huyo mgeni kwa chakula na malazi,,,kesho yake akawa anaondoka,mzee tobiti akamuuliza unaelekea wapi?,,,yule mgeni akamweleza mji anaoelekea'mzee tobiti akamwomba aende na mwanae yule wa kiume mpaka kwenye mji huo kwani kuna mjomba wa huyo dogo alikuwa na binti ambapo angetaka mwanae ndio amwoe,,yule mgeni akaridhia na safari ikaanza,,,,walisafiri usiku na na mchana mpaka wakafikia bahari,njaa ikawa inawauma,,,,yule malaika akakamata samaki,na kumtoa matavua na nyongo{sina uhakika kama ni nyongo au maini} akampa yule dogo akamwambia,huko unakoenda kuoa huyo binti ana JINI MAHABA{imeandikwa ivoivo JINI MAHABA},akamwambia,,ukifika huko kabla ya kulala na huyo JINI hakikisha unchoma nyongo/maini ya huyo samaki nalo JINI litakimbia kwani kila mwanaume aliyejaribu kulala na huyo mwanamke alikufa{aliuwawa na hilo jini],,,na kuhusu matamvua ya samaki pia ukirudi kwa babako changanya na nyongo ya samaki alafu mpeke babako nae atapata kuona tena!!!..........ok,,,wakafanikiwa kufika kwenye ule mji na yule mgeni akamkabizi kwa ile familia,lakini cha ajabu wazazi wa yule binti walianza kulia,,anyaway,yule mgeni akatoweka!!!!!ok,,usiku ulipofika muda wa kulala yule kijana akafanya kama alivoelekezwa na yule mgeni,,,na akafanikiwa kulala na yule binti bila madhara!!!!,,,basi kulipokucha wazazi wa yule binti walishangaa yule kijana hakufa,,,basi ilifanyika bonge la sherehe,,,,na kijana akakabidhiwa mke na mali kibao,pamoja na punda,ng'ombe,mbuzi na kondoo na vito vya thamani na watumishi wa kuwasindikiza,,alipofika kwa baba yake akafanya kama malaika alivomwelekeza,,,na ikawa babake akapata kuona tena,,,,,lakini pia kwenye Q"RAN TUKUFU kuna sura inaitwa SURATUL JINN,,,sura inaezea kuhusu majini,,,lakini ata mimi binafsi nilishakutana na visa vya majinni,,yaani nyumba yangu yalihamia,,,,ilikuwa ukilala unaona vituko waziwazi,,,pia kuna siku nikiwa nimekaa kitandani nikitafari maisha baada ya mke wangu kunikimbia,,,ghafla kwenye mlango wa vhumbani alismama mdada mmjoa mrefu mweusi kavaa baibui ananiangalia,,,nilivomtupia jicho,,,alitoweka nikaki kusikia haruvu ya ubani!!
Napataje icho kitabu Cha Tobiti nikipitie.....
 
Wapo sikuhizi wamewekewa sheria wasikutane na binadamu sana, ukiwataka wanauzwa zanzibar ila rule namba moja usimwogope atakuendesha wewe
 
Habari zenu WanaJamiiForums?

Swali langu linauliza je, ni kweli majini wapo? Katika utafiti wangu kuhusu majini sijawahi kukumbana nao. Na nimefanya utafiti wa kina mpaka majaribio lakini mpaka sasa sijawahi kuwa-expirience.

Au hii pia tuweke kwenye story za ABUNUWASI? Kama kuna anayeweza kuweka muongozo wa namna ya kuwaita aje,. Nahitaji kumaliza huu utafiti.

Asanteni.
Wanaoishi mikoa ya pwani huenda wanamajibu pia
 
kuna mtu ana ndugu yake ameoa jini na mashart ilikua asijihusishe na wanawake wa kibinadam s unajua kenge ni kenge tu kaka wa watu akaona ya nn mie akaoa mwanadam mwenzie wa kike jin akamjia akilia na machozi ya dam na walizaa watoto wawili na huyo jini nikawa namuuliza watoto wako unewahi kuwaona anasema ndio nikiwa nataka kuwaona anaenda baharini tu chap anawakuta ni kama wanashuka kwenye dau (chombo cha majini (bahari) na anasema ailikuwa n msaada akiwa hana hela huota jini humletea pesa asizojua na hela za ktz misimbazi kwenye sahani yeye huchukua misimbazi huyo ndio alinipa namn ya kufika huko ananambia hao watoto anafnana nao sana na jin alimwambia sitakutenganisha na wanao utawaona unavyotaka
Hii Dunia ina Mambo....Aiseeh...!
 
Wakati kina Albert Einstein, Isaac Newton, Nikola Tesla, Marie Curie, Ernest Rutherford, Michael Faraday, Max Planck, Alessandro Volta, Stephen Hawking, Archimedes, Galileo Galilei, Neil Bohrs wanaumiza vichwa maabara kukuza Teknolojia.

Haya majinga yanayosema majini ndio wamegundua teknolojia, Babu zao ndio kwanza walikuwa enzi za ujima. Wakiwasha moto 🔥 kwa kupekecha ulindi na ulimbombo.

Halafu leo hii hawatambui mchango mkubwa wa wanasayansi hawa, wanasema majini ndio yamegundua teknolojia.

Teknolojia kubwa hasa katika umeme zimeletwa na wanasayansi nguli kama kina "Nikola Tesla" hadi leo hii tajiri mkubwa Elon musk kaita kampuni yake Tesla.

Kwenye mambo ya teknolojia za radiation wanasayansi nguli kama Marie Curie wana mchango mkubwa sana.

Kwenye mambo ya teknolojia za Anga kina Isaac Newton wana mchango mkubwa sana.

Halafu waafrika bado wana amini ni majini!!
Igweeeeeeeee..!! 😻
 
Habari zenu WanaJamiiForums?

Swali langu linauliza je, ni kweli majini wapo? Katika utafiti wangu kuhusu majini sijawahi kukumbana nao. Na nimefanya utafiti wa kina mpaka majaribio lakini mpaka sasa sijawahi kuwa-expirience.

Au hii pia tuweke kwenye story za ABUNUWASI? Kama kuna anayeweza kuweka muongozo wa namna ya kuwaita aje,. Nahitaji kumaliza huu utafiti.

Asanteni.
Kwa imani na vitabu ndio yapo mazuri na mabaya. Viumbe vya Allah na nasikia ni wengi kuliko sisi bin adam
 
Kisayansi hakuna majini kiimani yapo so inategemea na wwe upo kwenye mtazamo upi
 
raha ya jin akuchunuku mwenyewe
Nilisoma shule ya Bweni , Mara nyingi tulikuwa tunajisomea usiku ,kuna siku tukitoka darasani usiku tukiwa na rafiki yangu tumefika mpaka maeneo ya Bweni tunapolala , ghafla jamaa naona kasimama namwambia vipi huingii ndani kimya haongei kitu , niliona anatimua mbio huku akisema leo utaona, na Mimi ikabidi nimfatilie maana anapokimbilia ni gizani kwenye mto alafu kuna miembe mingi sana tuko wawili tu ,hatimae nikamkamata namwambia vipi umekuaje turudi bwenini jamaa anagomba hata vitu sivielewi , kitu nachokumbuka aliniambia unanishika una nguvu kuliko Mimi hapo halo nikapata ufahamu huenda huyu jamaa siyo yeye nikamjibu hapana lakini wewe ni rafiki yangu siwezi kukuacha peke yako huku mbali alafu giza turudi bwenini basi akanielewa tukarudi kumbe jamaa siyo yeye pale njia nzima anagomba tu baadae tulipofika bwenini niliamsha wenzangu nakumbuka kuna madogo Fulani tokea Tanga, waliamka fasta wakaenda jikoni wakaja na moto kwenye kibati wakatoa Ubani wakachoma huku mmoja akimfunika jamaa na shuka safi nyeupe ndiyo Mara ya kwanza kuona mtu kapandisha jini jamaa aliongea sana kumbe kuna wachawi uwa wanakuja pale shuleni kusumbua wanafunzi , mikutano yao uifanyia maeneo ya miembe mingi mtoni kumbe wakati anakimbia alikuwa anakimbiza mchawi aliyekuja kusumbua wanafunzi bwenini, sasa ajabu yote jamaa aliyokuwa anasema kumbe siyo yeye baadae yule mwamba nakumbuka aliaga ndiyo jamaa akarudia hali yake yaani hata haelewi ndiyo wale madogo kumuelezea yote yaliyotokea...kuna visa nimekutana navyo sana shule ya Bweni kuna jamaa mwingine tulipomaliza shule yeye alienda kusomea ufundi pale pale Tanga lakini alikuwa kapanga ,tulipotezana muda nilipokutana naye wakati fulani ni mtu mwenye upweke mwingi tuliongea mambo mengi ya maisha lakini yeye bado alikuwa hajapata familia nikamuuliza vipi kulikoni mpaka sasa ndiyo akanieleza kuna jini limempenda ndiyo anatimiza haja zake hapo nilistaajabu sana, na kweli jamaa hakuwahi kuwa na rafiki wa kike kwa maana ya mahusiano maana kwa ule umri wetu vijana wote mashababi walikuwa moto kweli siku hizo,usipotembelewa na mabint mtaani utaoneka wewe siyo basi sababu ya maisha tuliachana niliwahi muulizia kipindi fulani nikaambiwa alipata familia lakini mkewe waliachana wakiwa na watoto 2.
 
Nilisoma shule ya Bweni , Mara nyingi tulikuwa tunajisomea usiku ,kuna siku tukitoka darasani usiku tukiwa na rafiki yangu tumefika mpaka maeneo ya Bweni tunapolala , ghafla jamaa naona kasimama namwambia vipi huingii ndani kimya haongei kitu , niliona anatimua mbio huku akisema leo utaona, na Mimi ikabidi nimfatilie maana anapokimbilia ni gizani kwenye mto alafu kuna miembe mingi sana tuko wawili tu ,hatimae nikamkamata namwambia vipi umekuaje turudi bwenini jamaa anagomba hata vitu sivielewi , kitu nachokumbuka aliniambia unanishika una nguvu kuliko Mimi hapo halo nikapata ufahamu huenda huyu jamaa siyo yeye nikamjibu hapana lakini wewe ni rafiki yangu siwezi kukuacha peke yako huku mbali alafu giza turudi bwenini basi akanielewa tukarudi kumbe jamaa siyo yeye pale njia nzima anagomba tu baadae tulipofika bwenini niliamsha wenzangu nakumbuka kuna madogo Fulani tokea Tanga, waliamka fasta wakaenda jikoni wakaja na moto kwenye kibati wakatoa Ubani wakachoma huku mmoja akimfunika jamaa na shuka safi nyeupe ndiyo Mara ya kwanza kuona mtu kapandisha jini jamaa aliongea sana kumbe kuna wachawi uwa wanakuja pale shuleni kusumbua wanafunzi , mikutano yao uifanyia maeneo ya miembe mingi mtoni kumbe wakati anakimbia alikuwa anakimbiza mchawi aliyekuja kusumbua wanafunzi bwenini, sasa ajabu yote jamaa aliyokuwa anasema kumbe siyo yeye baadae yule mwamba nakumbuka aliaga ndiyo jamaa akarudia hali yake yaani hata haelewi ndiyo wale madogo kumuelezea yote yaliyotokea...kuna visa nimekutana navyo sana shule ya Bweni kuna jamaa mwingine tulipomaliza shule yeye alienda kusomea ufundi pale pale Tanga lakini alikuwa kapanga ,tulipotezana muda nilipokutana naye wakati fulani ni mtu mwenye upweke mwingi tuliongea mambo mengi ya maisha lakini yeye bado alikuwa hajapata familia nikamuuliza vipi kulikoni mpaka sasa ndiyo akanieleza kuna jini limempenda ndiyo anatimiza haja zake hapo nilistaajabu sana, na kweli jamaa hakuwahi kuwa na rafiki wa kike kwa maana ya mahusiano maana kwa ule umri wetu vijana wote mashababi walikuwa moto kweli siku hizo,usipotembelewa na mabint mtaani utaoneka wewe siyo basi sababu ya maisha tuliachana niliwahi muulizia kipindi fulani nikaambiwa alipata familia lakini mkewe waliachana wakiwa na watoto 2.
interesting, mimi nilikua naona tu watu wanapandisha majini wanaongea hovyo wanagaragara nikawa nainjoi siku moja Mr wangu alitoka mihangaikoni nakumbuka ilikua usiku mida ya saa tatu naangalia movie, amerudi amekula tumekaa sasa tunaulizana hbar zakushinda na watoto ghafla ananambia mke wangu leo nimepandisha majini sjui yametokea wapi mm skuchukulia serious nikamjibu wewe na majini wapi na wapi, mwenzetu yameanza lini, ghafla akalala chini akawa n kama anajigeuza geuza mimi nikajua leo tuko location siko serious kabisa namwambia ukimaliza kugaragara hapo ukaoge ukalale naona sikuelew, akaigeukia macho ameyakunja ananambia wanataka kumdhuru kiti hawawe na hawatoweza, nasema hawawezi huku akichanganya na kimasai sasa hapa ndio alinishtua nikasimama naita husband husband akanigeukia niliposimama hapo sasa akili ikanambia huyo si mwenzio kuna mwenzie ndio yupp kichwan be clam and strong nikawa namuuliza nani anataka kumdhuru kiti amemkosea nn akacheka huku anaongea kimasai na mm na mume wangu sio wamasai wala lugha hiyo hatuijui nikamwambia sasa unaniongelea kimasai mm sielew ongea lugha tuelewane nijue namsaidiaje akawa anang'ang'ania sofa nikana hapa ni kuwahi simu nitoke nje nijue nafanya nn kweli nikaiwah sim nikamruka had mlangoni nikatoka nje nikampigia sim mama yake mdogo hatukai naye mbali sana, kufika nikamweleza akaasema yuko wapi mie yuko happ sitting room, tukaingia akamkuta ameinama kama simba akaita jina akaitika akamuuliza una shida gan mara wamasai hao wamekuja juu tena anahangaika kama anataka kufunga rubega hivi mamdogo akasema kuna mtu anamjua tumpeleke akaseme naye tukabeba sio mbali mwendo wa mguu kufika tuliemfata kumuona naye akapandisha wakawa wanaongea kama watu wanaoambiana habar fulan mimi nikasema mngeongea lugha ambayo sote tutaielewa sisi hatujui hiyo lugha mnayoitumia ongeeni kiswahili bas ndio huyo tuliemfata akasema huyu amepanda n kweli kuna watu walikua wanamjaribu mumeo lakini wamefeli na kingine huyu amekuja kwa dharura anauliza ni kwa nn mkoba wa bibi yake mzaa mama aliefariki watoto wanauchezea wanatakiwa uwekwe juu sio chin sababu mwenyewe kishafariki wee mie naona haya ni mapya nikamgeukia mamdogo n kweli huo mkoba upo akasema ndio na kweli vitu vyake wanangu wanavichezea hatuon kama vina maana ikabidi tu twende kwa mamdogo nahuyo mkaka na mune wangu pamoja uke mkoba ukawekwa juu nikarud kwangu lakini nje kwangu kuna hii miembe ya kisasa akasimama hapo akaniambia mke wangu uko sehem salama huku anajipiga kifuani usijali hakuna atakayeweza kukudhuru sasa mm namuogopa namuuliza huyo anayeongea ni nani wewe au jini wako akaniambia mm nasema kwaniaba ya kiti nikajua huyu mnyama anaye bado mamdogo akamwambia safiri salama bas muache kiti alale ana watoto wadogo utamtesa mwenzie safiri huku anampiga piga mgongon kuingiandan nikahakikisha visu vyote mapanga nimeyaficha lakini nililala matumatu that day kuamia asbh namwelezea hajui hata kimoja zaidi ya kulalamika kichwa kinamuuma bas had leo hua namtania kwa hiyo nimeolewa na ww na jini wako tunacheeeka ila hakuwah kupandisha tena zaidi akilala usiku anashtuka anakaa kitandani mm nasema kumekucha bas namuuliza uko sawa namuita akiitika najua ni yeye yuko sawa nalala zangu akiamka asbh anakwambia kulikuja watu jana mmoja akataka kuingia sjajua n kina nan namwambia madhali hawakuingia yaache maisha yanaendelea.
 
interesting, mimi nilikua naona tu watu wanapandisha majini wanaongea hovyo wanagaragara nikawa nainjoi siku moja Mr wangu alitoka mihangaikoni nakumbuka ilikua usiku mida ya saa tatu naangalia movie, amerudi amekula tumekaa sasa tunaulizana hbar zakushinda na watoto ghafla ananambia mke wangu leo nimepandisha majini sjui yametokea wapi mm skuchukulia serious nikamjibu wewe na majini wapi na wapi, mwenzetu yameanza lini, ghafla akalala chini akawa n kama anajigeuza geuza mimi nikajua leo tuko location siko serious kabisa namwambia ukimaliza kugaragara hapo ukaoge ukalale naona sikuelew, akaigeukia macho ameyakunja ananambia wanataka kumdhuru kiti hawawe na hawatoweza, nasema hawawezi huku akichanganya na kimasai sasa hapa ndio alinishtua nikasimama naita husband husband akanigeukia niliposimama hapo sasa akili ikanambia huyo si mwenzio kuna mwenzie ndio yupp kichwan be clam and strong nikawa namuuliza nani anataka kumdhuru kiti amemkosea nn akacheka huku anaongea kimasai na mm na mume wangu sio wamasai wala lugha hiyo hatuijui nikamwambia sasa unaniongelea kimasai mm sielew ongea lugha tuelewane nijue namsaidiaje akawa anang'ang'ania sofa nikana hapa ni kuwahi simu nitoke nje nijue nafanya nn kweli nikaiwah sim nikamruka had mlangoni nikatoka nje nikampigia sim mama yake mdogo hatukai naye mbali sana, kufika nikamweleza akaasema yuko wapi mie yuko happ sitting room, tukaingia akamkuta ameinama kama simba akaita jina akaitika akamuuliza una shida gan mara wamasai hao wamekuja juu tena anahangaika kama anataka kufunga rubega hivi mamdogo akasema kuna mtu anamjua tumpeleke akaseme naye tukabeba sio mbali mwendo wa mguu kufika tuliemfata kumuona naye akapandisha wakawa wanaongea kama watu wanaoambiana habar fulan mimi nikasema mngeongea lugha ambayo sote tutaielewa sisi hatujui hiyo lugha mnayoitumia ongeeni kiswahili bas ndio huyo tuliemfata akasema huyu amepanda n kweli kuna watu walikua wanamjaribu mumeo lakini wamefeli na kingine huyu amekuja kwa dharura anauliza ni kwa nn mkoba wa bibi yake mzaa mama aliefariki watoto wanauchezea wanatakiwa uwekwe juu sio chin sababu mwenyewe kishafariki wee mie naona haya ni mapya nikamgeukia mamdogo n kweli huo mkoba upo akasema ndio na kweli vitu vyake wanangu wanavichezea hatuon kama vina maana ikabidi tu twende kwa mamdogo nahuyo mkaka na mune wangu pamoja uke mkoba ukawekwa juu nikarud kwangu lakini nje kwangu kuna hii miembe ya kisasa akasimama hapo akaniambia mke wangu uko sehem salama huku anajipiga kifuani usijali hakuna atakayeweza kukudhuru sasa mm namuogopa namuuliza huyo anayeongea ni nani wewe au jini wako akaniambia mm nasema kwaniaba ya kiti nikajua huyu mnyama anaye bado mamdogo akamwambia safiri salama bas muache kiti alale ana watoto wadogo utamtesa mwenzie safiri huku anampiga piga mgongon kuingiandan nikahakikisha visu vyote mapanga nimeyaficha lakini nililala matumatu that day kuamia asbh namwelezea hajui hata kimoja zaidi ya kulalamika kichwa kinamuuma bas had leo hua namtania kwa hiyo nimeolewa na ww na jini wako tunacheeeka ila hakuwah kupandisha tena zaidi akilala usiku anashtuka anakaa kitandani mm nasema kumekucha bas namuuliza uko sawa namuita akiitika najua ni yeye yuko sawa nalala zangu akiamka asbh anakwambia kulikuja watu jana mmoja akataka kuingia sjajua n kina nan namwambia madhali hawakuingia yaache maisha yanaendelea.
Duuh ..
 
Tokea nikiwa mdogo naambiwa majini wapo.. Lakini mpaka sasa najitambua sijawahi kuwashuhudia wala kuwahisi😂😂😂.

Kama mishumaa nishawasha sana lakini hola😂😂😂.. Kwa mda nilioufanya uchunguzi, Itoshe kusema MAJINI HAWAPO.
We ulisikia ukiwa na hamu ya kuwaona wanakuja tu pasipo shida inayowafanya waje binafsi nishakutana nalo kipindi nipo mdogo kama darasa la tatu tunaambiwa tuwaishule teacher mwenye zamu yake mkali nikampitia mchizi wangu tuakiwasha Kuwai shule alooh like jini nilikua nikilitazama sioni mwisho wake pia miguuni pake alikua na kwato tu siku iliyofuaata baada ya tukio ilo niliugua mnoooo
 
Back
Top Bottom