Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Tatizo ukishatoka kuharisha huwa unatoa utumbo tu kwenye jukwaa hili. Kumbe nimegundua hata Mwanza huijui. Eti Buswelu ni uswazi! Nani kakudanganya ? Nimeshakuambia mambo ya Majiji tuachie wenyewe, wewe endelea kula nguruwe pori huko Sumbawanga.
Mwanza ni takataka ndio maana ng'ombe zimerundika kwenye uswazi humo. 😁😁
 
Siku Mwanza ikifika level hizi mnitag 👇
 

Attachments

  • 1667662281901.jpg
    166.3 KB · Views: 15
  • 1667662231473.jpg
    178.4 KB · Views: 16
  • 1667662145793.jpg
    153.3 KB · Views: 13
  • 1667662145873.jpg
    138.8 KB · Views: 14
  • 1667662011186.jpg
    162.5 KB · Views: 13
  • 1667661983296.jpg
    112.8 KB · Views: 11
  • 1667661962099.jpg
    173.4 KB · Views: 12
  • 1667661928249.jpg
    163.3 KB · Views: 11
  • 1667661906091.jpg
    159.4 KB · Views: 11
  • 1667661882817.jpg
    167 KB · Views: 12
Haa, Dodoma bado kaka. Mimi kwetu siyo Mwanza wala Dodoma! Kwa sasa Mwanza ni namba 2 baada ya Dar. Huo mji wa Serikali na hizo nyumba za NHC ni za kawaida sana, bado Mwanza CBD ni kali sana
Namba 2 Kwa population au kwa nini?

Kila mtu abakie na anavyoona maana mahaba yanahusika pia..Ila kwangu Dom ni noma Sana kuliko huko uswazi city 👇
 

Attachments

  • 1667661857902.jpg
    144.5 KB · Views: 11
  • 1667661809123.jpg
    148 KB · Views: 13
  • 1667661421500.jpg
    189.8 KB · Views: 13
  • 1667661070804.jpg
    183.4 KB · Views: 14
  • 1667660429159.jpg
    170.6 KB · Views: 15
  • 1667660403580.jpg
    135.8 KB · Views: 13
  • 1667660347726.jpg
    84 KB · Views: 13
  • 1667660347861.jpg
    88.6 KB · Views: 13
  • 1667660347933.jpg
    82.9 KB · Views: 13
  • 1667660282437.jpg
    100.8 KB · Views: 13
Asante Sana Dodoma kwa kuiwakilisha Vyema Tanzania hapa East Africa 👇
 

Attachments

  • 1667659958538.jpg
    119.3 KB · Views: 11
  • 1667659944368.jpg
    168.1 KB · Views: 12
  • 1667660022548.jpg
    202.7 KB · Views: 11
  • 1667660022639.jpg
    220.4 KB · Views: 12
  • 1667660040537.jpg
    126.4 KB · Views: 13
  • 1667660059629.jpg
    147 KB · Views: 13
  • 1667660172792.jpg
    150.2 KB · Views: 12
  • 1667660172901.jpg
    169.8 KB · Views: 12
  • 1667659905483.jpg
    120.8 KB · Views: 16
Bwiru.... ilemela..
Nishasema dodoma uniletee aerial view ya mitaa yenu .
Anzia nkuhungu, kisasa, uzunguni,area C,area D ,ilazo ,swasa ,medeli ...ukipata taswira na mandhari kama haya nitagg[emoji14][emoji12][emoji12]View attachment 2408494

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • 1667661685692.mp4
    3.7 MB
Akikaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…