Ila Dom mji mkavu sana Yani ujue uzuri Sio kutazama ghorofa tu ndo mana watu wanalipia mil 3 kulala Serengeti na mjini dar posta mtu analala kwa laki 2 tu .... Au bro ushamba wa exposure [emoji23]Dodoma inawafanya mnaweweseka Sana Ila vumilieni labda Kuna siku Mwanza fishing Village itakuwa The Capital City [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16].
Ni Dom Tena [emoji116]View attachment 2460843View attachment 2460844View attachment 2460845View attachment 2460846View attachment 2460847
Kwa hiyo wanafuata miti au?Ila Dom mji mkavu sana Yani ujue uzuri Sio kutazama ghorofa tu ndo mana watu wanalipia mil 3 kulala Serengeti na mjini dar posta mtu analala kwa laki 2 tu .... Au bro ushamba wa exposure [emoji23]
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Kuilinganisha dodoma na mwanza ni kupoteza muda [emoji116]Dodoma inawafanya mnaweweseka Sana Ila vumilieni labda Kuna siku Mwanza fishing Village itakuwa The Capital City [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16].
Ni Dom Tena [emoji116]View attachment 2460843View attachment 2460844View attachment 2460845View attachment 2460846View attachment 2460847
Hizi picha mpaka zinakera maana unarudia rudia Hadi imepauka ππKuilinganisha dodoma na mwanza ni kupoteza muda [emoji116]
size ya dodoma ni manispaa ya ilemela...
Kama unabisha leta mtaa wenye mazingira na makazi Bora kama haya[emoji116]View attachment 2462534View attachment 2462535View attachment 2462536
No exit.....Hizi picha mpaka zinakera maana unarudia rudia Hadi imepauka [emoji23][emoji23]
Leta na wewe za huko jangwani city.Hizi picha mpaka zinakera maana unarudia rudia Hadi imepauka ππ
Hii ndio referral hosp?, ata ile ibayojengwa simiyu imekaa poa sana kuliko hili jengo la walima zabibu.
Jikite kwenye hojaHii ndio referral hosp?, ata ile ibayojengwa simiyu imekaa poa sana kuliko hili jengo la walima zabibu.
Sijawahi kuona hoja kutoka kwako zaidi ya vioja.Jikite kwenye hoja
Umepiga kwenye utosiKuilinganisha dodoma na mwanza ni kupoteza muda [emoji116]
size ya dodoma ni manispaa ya ilemela...
Kama unabisha leta mtaa wenye mazingira na makazi Bora kama haya[emoji116]View attachment 2462534View attachment 2462535View attachment 2462536
Ukiniletea video Kama hii huko Mwanza njoo uniue nitakuwa pale keepleft ya samaki πView attachment 2457530
Leta cbd kubwa hapa Tanzania kutoa Dar ili tulinganishe na cbd ya Mwanza.Mwanza ni overrated, CBD yake ni ndogo sana.
Hizi zinazojengwa ni ofisi za kitengo gani? Kwasababu Dodoma hakuna miradi nje ya miradi ya serikali na ndio maana umaakini unazidi kutamalaki.
Inafata Arusha. Mwanza mbona mna viherehere, nyie bado bado. CBD inalala mapema vileLeta cbd kubwa hapa Tanzania kutoa Dar ili tulinganishe na cbd ya Mwanza.
Nyie mbona mlikuwa mnajengewa na kina bashite na jiwe , kiko wapi sasa?Hizi zinazojengwa ni ofisi za kitengo gani? Kwasababu Dodoma hakuna miradi nje ya miradi ya serikali na ndio maana umaakini unazidi kutamalaki.