Wanadanganywa na serikali yao ata hawajui maanaya shopping mall.Kwamba zile frames mnazoziita Dodoma City Mall kabisa mnahesabia ni mall? Na hio Capital City?
Mi naamini miji hujengwa na watu kutokana na watu wa eneo husika.Bora umesema wewe, serikali inatumia nguvu kubwa karibu nusu ya mapato ya Tanzania yanaushia Dodoma na Dar, hizo nguvu za kulazimisha ukuaji wa dodoma ni bora wangepeleka Geita ili we kama jo'berg
Onyesha hata site establishment vinginevyo unaendelea kuota
Huu ujinga Huwa mnaloshana wapi? Yaani Jiji lenye wafanyakazi wengi linakuwa na purchasing power ndogo? Acha utoto basiMi naamini miji hujengwa na watu kutokana na watu wa eneo husika.
Dodoma purchasing power yake iko chini sana na ndo maana makampuni makubwa bado yanaweka base Dsm.
Serikali italazimisha sana ila wapi
Hujaona site establishment ya mradi hapo juu .au wajitia kipofu [emoji867]imewekwa na NgokongoshaHuu ujinga Huwa mnaloshana wapi? Yaani Jiji lenye wafanyakazi wengi linakuwa na purchasing power ndogo? Acha utoto basi
Leta picha wewe acha kuleta drawingsHujaona site establishment ya mradi hapo juu .au wajitia kipofu [emoji867]imewekwa na Ngokongosha
Kama hujaiona [emoji116]ni hii
Mega mall nyakato View attachment 2486486
Usitafute comfort zone,,,,we jiandae tu Kwa maumivu,,,no comfort hapa ...Kwa hyo hapo nimekutumia site map au nimekutumia drawing au Kuna shida mahala kichwani...sema ili nijue ...maana sound man huwezi sema hyo hapo [emoji867]juu ni drawing instead of mapLeta picha wewe acha kuleta drawings
Fremu nyingi zipo wazi, jamani watu wa Mwanza kachukueni vyumba mfanye biashara!Hata rock city mall walisema ni ndoto [emoji28][emoji28]
Frame wapi we kitimoto.....Fremu nyingi zipo wazi, jamani watu wa Mwanza kachukueni vyumba mfanye biashara!
Hiyo Zuberi benz nimeiona pale Nyegezi stand ikishusha watu nilishangaa nilikuwa nasikiaga kuna basi za abiria benz nilikuwa sijaziona kwa macho.Ile nyerere square ukiachana na ule ukuta kuna nini cha maana?
Kuhusu mabus,
Naona umetaja tu yutong F12+ zilizopunguzwa idadi ya viti na kujazwa runinga!!
Ambazo hizo zoote ni upuuzi tu hata kwa ile marcopolo G6 ya zuberi, inayofanya safari zake mwanza -dar!
Huyo huyo zuberi anayo MERCEDES-BENZ NEO BUS & SCANIA MARCOPOLO G7.. (hizi siyo level za ma'bus uliyotaja )
hapo sijakuwekea KUREED HUNTERS Irizar PB
ambazo ni bus zenye muonekano mzuri kuliko zote Tanzania (kwa sasa wamezihamishia dodoma[emoji22][emoji22])
Mihanyenyi!!!!!
Mpaka Volvo lipo, Musoma - Kahama full kipupwe hakuna cha slide windowsHiyo Zuberi benz nimeiona pale Nyegezi stand ikishusha watu nilishangaa nilikuwa nasikiaga kuna basi za abiria benz nilikuwa sijaziona kwa macho.
Hivi dodoma itawachukua miaka mingapi kupata project kama hizi ..japo mlijitutukua na ndugai market lakin imebaki kama kumbi la popoMwanza mtaficha wapi aibu yenu?
Dodoma [emoji116]
Una shida wewe,soko Hilo la Machinga mumeigilizia Dodoma Machinga ComplexHivi dodoma itawachukua miaka mingapi kupata project kama hizi ..japo mlijitutukua na ndugai market lakin imebaki kama kumbi la popo
Only in mwanza [emoji116].. ujenzi unaendelea..
Central market [emoji91][emoji91][emoji91]View attachment 2489215View attachment 2489216
Una shida mahala ..wew kama sio kichwani bas kwenye hvyo vidole unavyotaipia hapa...Una shida wewe,soko Hilo la Machinga mumeigilizia Dodoma Machinga Complex
Wafanyakazi wengi ambao hawafiki 50,000Huu ujinga Huwa mnaloshana wapi? Yaani Jiji lenye wafanyakazi wengi linakuwa na purchasing power ndogo? Acha utoto basi
Una uhakika hawafiki 50,000?Wafanyakazi wengi ambao hawafiki 50,000
Una shida mahala ..wew kama sio kichwani bas kwenye hvyo vidole unavyotaipia hapa...
Hili sio soko la machinga ni multi purpose bussines market Ina include retail shops,machinga complex, vegetables and fruits stalls, recreation points,na bussines complex...
By the way limeanza kujengwa magufuli akiwa hai 2020 .. wakati machinga ya dodoma imejengwa magu akiwa marehemu jiulize nani kamuiga mwenzake[emoji28]