Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Kiwanda cha Magodoro Dodoma kipo Kizota,Dodoma ....brand name ni Magodoro Dodoma Asili hicho kilichopo Dar kilihamishwa kutoka Dodoma miaka ya 1990 na brand name ni Magodoro Dodoma
Hicho kiwanda cha magodoro dodona ndio kina changia bilion 50 kwenye mapato ya halmashauri kulingana na yule lofa wenu sunk the farasi.
 
Zaidi ya viwanda ishirini vya wine vinapatikana Dodoma
Acha ulofa kila mtu akiwa anatengeneza mapombe ya kienyeji kwa kutumia zabibu tayari ni kiwanda cha wine, je huko Moshi watakuwa na viwanda 200 vya pombe, kila nyumba kuna kiwanda cha mbege, wewe ni kichaa tu, nenda kabishane na vichaa wenzio.
 
Huwa sibishani na vichaa, huna fact, huna data, hujui lolote kazi kubwabwaja tu, hicho kipori kilichochomoza kipindi cha mwenda zake kakishindanishe na kigoma ujiji.
Umeshabanwa kende umebaki kuruka ruka tu huna hoja tena kuitetea Mwanza village
 
Umeshabanwa kende umebaki kuruka ruka tu huna hoja tena kuitetea Mwanza village
We umeleta hoja gani zaidi ya mihemko, Mwanza tuone wivu kwa dodoma yenye gdp ya 3.1 na population ya 3.5 milion, na mkoa wa pili kwa umaskini Tanzania.
Mwanza ina GDP ya 12.5 trillion na population ya 3.7. Dodoma kapambaneni na maskini wenzenu.
Viongozi wengi wa serikali hawaishi hapo, wengi wamejenga Dar, pia huwepo wa viongozi wakiserikali kunafanya mji kuwa mgumu zaidi, maskini wa dodoma atahuziwa bidhaa sawa na mbunge, huoni ni hatari kwa wananchi wa kawaida na maskini wa hapo.
 
Kuwapanga machinga Mwanza ni ngoma nzito mpaka sasa bado hakijaeleweka wakati Dom ilifanyika siku moja tu na Tz nzima waliachwa ndio wakapangwa mwishoni kabisa
Mji uliopangika kitambo hauna haja ya kupangwa tena hiyo shughuli ya kuwapanga wamachinga iachie miji ya ovyo kama mwanza
 
Mji uliopangika kitambo hauna haja ya kupangwa tena hiyo shughuli ya kuwapanga wamachinga iachie miji ya ovyo kama mwanza
Haters wa Mwanza mnajipa magonjwa ya moyo kwa kujitakia, na mkiendelea hivi tutawasogeza hapo Milembe.
 
Mirembe kujengwa Dodoma haikuwa bahati mbaya. kuna sababu, angalia hata wachangiaji wanaosapoti Dodoma utagundua hilo
 
Mabishoo wa mwanza ukute kakupigia jeanz n tisheti kachomekea chini kala mchongoma wa maana nywele kapiga afro panki ...unakuta mangosha yapo katikati ya mji yanabwabwaja kisukusu
 
Masahihisho kidogo Mwanza imekuwa jiji mwaka 2000. Kiujumla umeelezea vizuri
 
Acha ulofa kila mtu akiwa anatengeneza mapombe ya kienyeji kwa kutumia zabibu tayari ni kiwanda cha wine, je huko Moshi watakuwa na viwanda 200 vya pombe, kila nyumba kuna kiwanda cha mbege, wewe ni kichaa tu, nenda kabishane na vichaa wenzio.
Wine za Dodoma kama Dompo,St Mary,Image pamoja na ile aliyokunywa rais wa Kenya Kenyata zinazosifika kwa ubora duniani kumbe ni pombe za kienyeji eti na zinatengenezwa kwenye kila nyumbaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…