Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Mji uliopangika kitambo hauna haja ya kupangwa tena hiyo shughuli ya kuwapanga wamachinga iachie miji ya ovyo kama mwanza
Exactly hakuna Jiji lililopangiliwa afrika mashariki na kati kama Dodoma....zaidi ya asilimia 90 ya eneo lote la Jiji limepimwa .
Nitajie mji wowote hapa Afrika Mashariki na Kati ambao umepimwa eneo lote kwa zaidi ya asilimia 80.....😂
 
We umeleta hoja gani zaidi ya mihemko, Mwanza tuone wivu kwa dodoma yenye gdp ya 3.1 na population ya 3.5 milion, na mkoa wa pili kwa umaskini Tanzania.
Mwanza ina GDP ya 12.5 trillion na population ya 3.7. Dodoma kapambaneni na maskini wenzenu.
Viongozi wengi wa serikali hawaishi hapo, wengi wamejenga Dar, pia huwepo wa viongozi wakiserikali kunafanya mji kuwa mgumu zaidi, maskini wa dodoma atahuziwa bidhaa sawa na mbunge, huoni ni hatari kwa wananchi wa kawaida na maskini wa hapo.
huwepo wa viongozi...🤣🤣🤣
 
Kiufupi ushanyoosha mikono ,ngosha kakunyoosha vilivyo ..[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].....sa hv ni unarusha teke la punda anayekufa [emoji28][emoji28]..a kick of dying horse [emoji28][emoji28]
Ngosha ni habari nyingine kwenye kuchambua.Kaigeuza Dodoma nnje ndani mpaka watetezi wa Dodoma wamebaki kujifichia kwenye miradi ya Serikali[emoji3][emoji3]
 
Kiwanda cha Magodoro Dodoma kipo Kizota,Dodoma ....brand name ni Magodoro Dodoma Asili hicho kilichopo Dar kilihamishwa kutoka Dodoma miaka ya 1990 na brand name ni Magodoro Dodoma
Magodoro Dodoma kipo Dar cha Dodoma kiliungua Moto,Dodoma kuna kiwanda cha Dodoma asili tu
 
[emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957] Kinajengwa au kimemalizika kimeanza uzalishaji Toka July na sisi wa Sumbawanga tunatumia Hadi Mbolea za Intracom fertilizers.

Kwa taarifa Yako sio tuu wanazalisha mbolea Bali na bidhaa za ujenzi kama lime,vigae nk
Kumbe unatokwa mishipa ya shingo na Dodoma wakati huko Sumbawanga kumejichokea[emoji3][emoji3]
 
Wine za Dodoma kama Dompo,St Mary,Image pamoja na ile aliyokunywa rais wa Kenya Kenyata zinazosifika kwa ubora duniani kumbe ni pombe za kienyeji eti na zinatengenezwa kwenye kila nyumba😂😂😂
Hayo mapombe ndio yanawasaidia kuwatoa kwenye umaskini?
 
Exactly hakuna Jiji lililopangiliwa afrika mashariki na kati kama Dodoma....zaidi ya asilimia 90 ya eneo lote la Jiji limepimwa .
Nitajie mji wowote hapa Afrika Mashariki na Kati ambao umepimwa eneo lote kwa zaidi ya asilimia 80.....😂
Acha ujinga ingia wizara ya ardhi na nyumba, uone jinsi Ilemela ilivyoongoza, hiyo dodoma ni mji wa mwisho kimpangilie ata postkodi tu mnachechemea mkiani.
 
Eneo la Jiji la Dodoma kwa pamoja ni kubwa kuzidi Mwanza....ukiwa Mwanza eneo kubwa ni Ziwa Victoria na miamba ya mawe .Eneo la Mwanza halipo intact kama la Dodoma
Unalinganisha jangwa na mji wa maziwa na asali.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 vitaje navisubiri
njoo Dodoma Wine Festival inafanyika kila mwaka utaona zaidi ya brands 50 za wine zinazotengenezwa Dodoma.Soko la wine Tanzania na East Africa limeshikiliwa na wines zinazotoka Dodoma kama Dompo,Celta Wigo,Presidential,Mtita,Tullys,Veyula,Heaven Son,Mtita,Altar Wine n.k. Asilimia chache ya wines zinatoka South Africa
 
Unalinganisha jangwa na mji
Acha ujinga ingia wizara ya ardhi na nyumba, uone jinsi Ilemela ilivyoongoza, hiyo dodoma ni mji wa mwisho kimpangilie ata postkodi tu mnachechemea mkiani.
Mwanza yenye makazi holela uilinganishe na Dodoma jiji lililopangiliwa master plan hahaaaaa.Master plan ya Dodoma ilipelekwa hadi Abuja wamekopi na kupaste
 
We umeleta hoja gani zaidi ya mihemko, Mwanza tuone wivu kwa dodoma yenye gdp ya 3.1 na population ya 3.5 milion, na mkoa wa pili kwa umaskini Tanzania.
Mwanza ina GDP ya 12.5 trillion na population ya 3.7. Dodoma kapambaneni na maskini wenzenu.
Viongozi wengi wa serikali hawaishi hapo, wengi wamejenga Dar, pia huwepo wa viongozi wakiserikali kunafanya mji kuwa mgumu zaidi, maskini wa dodoma atahuziwa bidhaa sawa na mbunge, huoni ni hatari kwa wananchi wa kawaida na maskini wa hapo.
atahuziwa😀😀

Kabishane facebook mkuu humu ni hoja na facts tupu
 
Back
Top Bottom