ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Endelea kuonesha uswazi wako Dom haipoiVisit malorca [emoji91][emoji91][emoji91][emoji3059]View attachment 2535361
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea kuonesha uswazi wako Dom haipoiVisit malorca [emoji91][emoji91][emoji91][emoji3059]View attachment 2535361
Kwani hyo itabadilisha nni ...au ndo itawafanya kuwa institutional relied city [emoji28][emoji28]Endelea kuonesha uswazi wako Dom haipoi View attachment 2535366
Jiji limepewa hadhi hiyo tokea mwaka 2000 lakini mpaka leo city centre ina mchanganyiko mkubwa wa vibanda na maghorofa dwarfs wakati huo dodoma ya juzi juzi tu hapa 2017 ina-catch up kwa spidi kubwa na siyo CBD tu inaonesha ubabe mpaka katika viunga vya pembezoni mwa jiji maghorofa na mitaa yenye nyumba nzuri iliyopangiliwa kila uchao inazidi inuliwa.Ngoja na mimi nichangie kidogo hapa;
Mm nipo Dodoma toka 2017, Dom ilikuwa na watu wengi sana wanaojihusisha na masuala ya ujenzi mda huo nyumba nyingi sana zimejengwa, Ilazo, Swaswa, Nzuguni, Meriwa, Kisasa, Iyumbu, Mkonze pia Michese (hii ni mitaa mipya kabisa tulioijenga sisi, ikumbukwe mm n mkandarasi)
Kabla ya hapo mitaa iliyokuwa na watu ilikuwa ni Nkuhungu, Maili 1 & 2, Majengo, Changombe(kwa warangi), kuna mtaa umenitoka ila ni karibu na CBE zilipo ofisi za mapasi naona siku hiz uongozi wa mji wamevunja wanampango wa kuweka bustani, pia kulikuwa na vijumba kidogo juu ya station ya TRC kama unaenda Ntyuka mitaa ya Pestana
Ipo hivi Dodoma imejenga sana kuliko Mwanza kwa kipindi hiki hakuna ubishi, maana mitaa niliyotaja hapo mwanzo yote ni mipya, changamoto ni moja tu hiyo mitaa mpya haina watu, utakuta nyumba moja wanaishi watu wanne tu, yaani familia ya baba mama mtoto na beki tatu
Na ndio maana hata upande wa usafiri Dom ni changamoto sana, Dom hakuna daladala za kutosha nadhani hii ni sababu ya uchache wa watu thats why daladala zote za Dom zinaishia sehemu moja na zinatosha (sabasaba) na zingine kidogo Majengo, My friend Mwanza hakuna eneo unaweza kuweka daladala za mji mzima sehemu moja zikatosha
Pia hapo hapo kwenye usafiri Dom ina route chache sana za daladala naweza kuziweka hapa, Nane nane - 77, Mipango-77, Ntyuka-77, Kwa massta (Nzugun)-77, Nkuhungu-77, Chan'gombe-77, Swaswa-77, Msalato-77,
pia kuna kidogo zinaishia majengo ambazo ni Mnada mpya- Majengo, Mkonze-Majengo pia. zipo daladala kama mbili au tatu zinajaribu kwenda Michese, unaweza nikumbusha nimesahau route ipi ya daradara hapo mkuu, maana ake route za daladala Dom hazizidi 11
Wakati huo huo mtu anaetoka Nanenane kwenda Chang'ombe kwa mfano hawezi kupata route ya moja kwa moja ni lazima aingie sabasaba achukue daladala lingine aendelee na safari, kuna sehemu kama Kikuyu hakuna daladala kabisa ni mwendo wa bajaji , njoo Kisasa anzia hapo Kwa mnama njoo mpka La Liga zunguka hiyo ring road Kisasa sekondari, Amazon ingia ndani ndani kote hakuna usafiri
Kufikia hatua mnaiongelea Mwanza najua mtakuwa mmeshafika mnapajua vizuri mm sitaki kueleza maana ndio nyumbani mnaweza kusema ni sehem gan kwa Mwanza pamoja na kuwa jiografia yake ni milima ni sehemu gani unaweza unga dalala ukiitoa Nyashana?( kwa ambao mnaiponda tu Mwanza kwa kusikia mnakosea sana) Mm mji yote Tz naijua
Tafuteni mafundi ujenzi au watu waliopo kwenye sekta ya ujenzi muulize kuhusu kasi ya ujenzi ilivyo Dom sasa hivi mtajua kuwa Dom pia imeanza kwenda taratibu,, ni tofauti sana na ilivyokuwa before na sababu ni kuwa nyumba zimekuwa nyingi lkn hazina watu, (maana Dom nyumba wanajengewa wageni na tayari wameshapata, wenyeji wapo wapo tu)
Nenda Kisasa, Swawa, Ilazo kote 30% ya nyumba hazina watu, na hapa nishauri tu uwekezaji wa real estate unaenda kudorora Dom, watu wamejenga lakini hakuna wapangaji Dom haina watu, mfano Dodoma soko la maana lenye watu lipo moja tu (sabasaba) na limebeba bidhaa zote japokuwa majengo kidogo inavyakula, ikitoka city center ya Dom center ndogo ndogo kama Buzuruga, Mecco, Nyakato, Kona ya Bwiru, Buhongwa, Nyegezi, Sabasaba(mbao), Nyasaka nk kwa Mwanza Dom huzikuti na hata ukizikuta ni ndogo sana kama Makuru, Meriwa, Kwa mnama
Maanake ni kwamba mjasiriamali mdogo wa genge la matunda na mboga mboga wa Mwanza kama yupo Buzuruga anachukulia bidhaa zake Mecco sokon kama yupo Buhongwa anachukulia hapo hapo Buhongwa ila Dom wote wanaenda Sabasaba mpaka mtu wa Chamwino anahemea sabasaba
Dodoma majengo marefu yaliyokamilika mpaka sasa ni matatu tu (Kambarage, PSSSF na Dom city hotel kwingine kote ni vijengo vya ghorofa tano kushuka chini
Ukubwa wa mji Dom inaanzia Nala upande wa magharibi, Mkonze na Ntyuka Kusini magharibi, Ng'ong'ona, UDOM, Iyumbu upande wa Kusini mashariki, Nane nane, Ilazo upande wa magharibi (hapa Ihumya naitoa maana hapo katikati Elishadai na St Peters kuna kipori, Chama Msalato na Mipango upande wa kasikazini hapo Dom ndio ilipo Mtumba ipo nje sana na katikati kuna eneo kubwa sana la wazi tunaitoa japo ipo nda ya halmashauri
Dom nimeifahamu yote ndan ya wiki moja na hakuna sehem unanidanganya,,,,, oyaaaaa eeeeeh? Njoo Mwanza sasa!!!
Kiukwel huwaga naumia sana kusikia mtu anaiongelea Mwanza na Dom, Mwanza ina manispaa mbili ndan ya mji (Ilemela na Nyamagana) Dom haina, Mwanza imekuwa jiji rasmi awamu ya tatu 2002 Dom ikawa 2017
Nyakato kuna viwanda vya kila aina Nondo, Soda(koka na peps zinatoka ndan ya mji) wakati Dom zinatoka Dar, Bia SBT na TBL wanafyatua ndani ya mji, idadi ya hotels route za safari za ndege ATCL na Precision Mwanza ina safari nyingi kuliko mji wowote ukiitoa Dar, Reli ya mwendokasi Dom hakuna fly over hakuna kote wameweka kifusi, Mwanza Fly Over ipo hakuna kifusi
Duh! Nyie endeleeen kuifananisha Mwanza na KiDodoma chenu, kuna jamaa amewahi kuniambia Dom kuna nyumba za kishua nikazitafuta Area D, Mlimwa C sikuziona kidogoooooo nikazikuta Michese zenye za ghorofa moja moja, nikamuuliza unaijua Kapripoint wewe, Bwiru kupata kiwanja tu mil 150 na kuendelea hapo bado hujavunja mawe maana unanunua mlima wenye mawe uvunje mwenyewe ndio kiwe kiwanja na kuvunja tu inagharimu mil 100 zingine ndio uanze kujenga hapo tayari mil 200 na kitu zimetumika huna hata msingi
Mara mia choice variable kuliko wewe ,,,,wew ni mjinga nafiki namba Moja ...na wasiwasi na thinking capacity yako Ina ukubwa size ngapi .hope it's 2gbJiji limepewa hadhi hiyo tokea mwaka 2000 lakini mpaka leo city centre ina mchanganyiko mkubwa wa vibanda na maghorofa dwarfs wakati huo dodoma ya juzi juzi tu hapa 2017 ina-catch up kwa spidi kubwa na siyo CBD tu inaonesha ubabe mpaka katika viunga vya pembezoni mwa jiji maghorofa na mitaa yenye nyumba nzuri iliyopangiliwa kila uchao inazidi inuliwa.
Umeongelea wingi wa daladala katika mji ambao kuanzia saa 2 usiku mpaka ngoma nne pale natta hiace zinakuwa zimekata na barabara zote kuu ni full giza,
Usafiri unaobakia ni bodaboda nazo ni bei sawa na bure kwenda mpaka Igoma unapelekwa hadi kwa buku 5 tena usiku, tax ni za kuhesabu nazo unapanda hata ukiwa na jelo lako mkononi na mko kuanzia mtu bee hii inaashiria kwamba katika eneo hili mzunguko wa pesa ni duni watu wengi ni masikini na hawamudu gharama za usafiri hata huduma za malazi ni hivyo hivyo, endapo unafanya biashara hapa upande wa hospitality ni hasara tupu no wonder utalii kwa Mwanza hauna uwekezaji mkubwa angalia hata Rock city mall huu ni mwaka unaelekea wa 10 haina full occupancy.
Turudi dodoma ulipopadisi katika suala la ROI ambalo uchelewa popote pale katika real estate industry si suala la kuilaumu Dodoma tu hata hizo DSM na Nairobi kuna wakati miradi ina-slow down katika suala la occupancy rate inategemea na factors mbalimbali za kiuchumi na movement ya watu katika nyakati fulani ambacho si kigezo cha moja kwa moja kuwa mji umesimama na hautoendelea kukua.
Sasa ndiyo umeishiwa mpaka utuoneshe na makanisa ya milimani huko pasiansi vipi na sisi tukitupia misikiti.Kwani hyo itabadilisha nni ...au ndo itawafanya kuwa institutional relied city [emoji28][emoji28]View attachment 2535370View attachment 2535373View attachment 2535374
Hahahaha! Nimetandika kunakouma ahsante kwa povu ukimaliza jibu hoja kwa hoja..nilishawahi kukwambia yaani [emoji24] [emoji24] [emoji24] chenu wanamwanza ndio[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] changu.Mara mia choice variable kuliko wewe ,,,,wew ni mjinga nafiki namba Moja ...na wasiwasi na thinking capacity yako Ina ukubwa size ngapi .hope it's 2gb
5 star kwa vigezo gani ilivyokidhi? Ebu tuanzie hapo.
Eti daladala sa mbili zimeisha ...itakuwa unakaa mwanza ya matakoni .....Jiji limepewa hadhi hiyo tokea mwaka 2000 lakini mpaka leo city centre ina mchanganyiko mkubwa wa vibanda na maghorofa dwarfs wakati huo dodoma ya juzi juzi tu hapa 2017 ina-catch up kwa spidi kubwa na siyo CBD tu inaonesha ubabe mpaka katika viunga vya pembezoni mwa jiji maghorofa na mitaa yenye nyumba nzuri iliyopangiliwa kila uchao inazidi inuliwa.
Umeongelea wingi wa daladala katika mji ambao kuanzia saa 2 usiku mpaka ngoma nne pale natta hiace zinakuwa zimekata na barabara zote kuu ni full giza,
Usafiri unaobakia ni bodaboda nazo ni bei sawa na bure kwenda mpaka Igoma unapelekwa hadi kwa buku 5 tena usiku, tax ni za kuhesabu nazo unapanda hata ukiwa na jelo lako mkononi na mko kuanzia mtu bee hii inaashiria kwamba katika eneo hili mzunguko wa pesa ni duni watu wengi ni masikini na hawamudu gharama za usafiri hata huduma za malazi ni hivyo hivyo, endapo unafanya biashara hapa upande wa hospitality ni hasara tupu no wonder utalii kwa Mwanza hauna uwekezaji mkubwa angalia hata Rock city mall huu ni mwaka unaelekea wa 10 haina full occupancy.
Turudi dodoma ulipopadisi katika suala la ROI ambalo uchelewa popote pale katika real estate industry si suala la kuilaumu Dodoma tu hata hizo DSM na Nairobi kuna wakati miradi ina-slow down katika suala la occupancy rate inategemea na factors mbalimbali za kiuchumi na movement ya watu katika nyakati fulani ambacho si kigezo cha moja kwa moja kuwa mji umesimama na hautoendelea kukua.
Kawaulize trip advisor...by the way kama hujui vigezo vya five star,,usinisumbue[emoji28][emoji28]5 star kwa vigezo gani ilivyokidhi? Ebu tuanzie hapo.
Malaika ikijitahidi sana basi ni three star na kama unabisha nitaleta ratings tuone kama kuna hotel hapo Mwanza inanusa 4 star.Kawaulize trip advisor...by the way kama hujui vigezo vya five star,,usinisumbue[emoji28][emoji28]
Kwa taarifa yako 5 star siyo hoteli za mchezo mchezo kwa hapa Tanzania zinaweza zikawa hazivuki hoteli 5 zenye hadhi hiyo natambua Dar zipo mbili na Arusha moja ila zenji sifahamu zipo ngapi, hivyo usiropoke kwenye mambo yanayohitaji utaalamu.Kawaulize trip advisor...by the way kama hujui vigezo vya five star,,usinisumbue[emoji28][emoji28]
Kumbe we ni comedian ,,unadhani mwanza ni ugogoni.hapo,,,,kama malaika ni nyota 3 , mwanza hotel itakuwa nyota ngapi [emoji12][emoji12]...Malaika ikijitahidi sana basi ni three star na kama unabisha nitaleta ratings tuone kama kuna hotel hapo Mwanza inanusa 4 star.
Acha uongo wew ,,, endelea kujichimbia huko kisorya mambo ya mjini utayajulia wapi .Kwa taarifa yako 5 star siyo hoteli za mchezo mchezo kwa hapa Tanzania zinaweza zikawa hazivuki hoteli 5 zenye hadhi hiyo natambua Dar zipo mbili na Arusha moja ila zenji sifahamu zipo ngapi, hivyo usiropoke kwenye mambo yanayohitaji utaalamu.
Unajua volume sales ya Drostdy Hof dry red kwa Tanzania? Ulizia wanao import hiyo wine peke yake au nenda pale kwa Mohans uone inavyotembea kuanzia retail mpaka kwa wholesalers na ulinganishe na hizo local wines zote kwa pamoja ndiyo utajua SA imelishika vizuri sana soko la wines kwa hapa Tanzania.nenda maduka ya vileo ya jumla au Bar za kawaida utakutana na local wines zinazotengenezwa Dodoma pekee, brands kama Alko Vintages,Dompo,Dane,Dodoma wine,Altar wine zinaongoza kwa mauzo. Wines za South Africa zinafika asilimia 20 tu ya soko zima na nyingi ya hzo brands utazikuta kwenye supermarkets namahoteli makubwa wakati hizi za Dodoma zinapatikana popote na hata wateja wa kipato cha kawaida
Hujajibu kabisa hoja zake,umeishia kuparaza tu ili mradi umejitutumua kujibu.Hebu nenda sambamba na hoja zake,mfano yeye amekupatia mpaka idadi ya routes za daladala kwamba zote zinaishia sehemu moja.Jiji limepewa hadhi hiyo tokea mwaka 2000 lakini mpaka leo city centre ina mchanganyiko mkubwa wa vibanda na maghorofa dwarfs wakati huo dodoma ya juzi juzi tu hapa 2017 ina-catch up kwa spidi kubwa na siyo CBD tu inaonesha ubabe mpaka katika viunga vya pembezoni mwa jiji maghorofa na mitaa yenye nyumba nzuri iliyopangiliwa kila uchao inazidi inuliwa.
Umeongelea wingi wa daladala katika mji ambao kuanzia saa 2 usiku mpaka ngoma nne pale natta hiace zinakuwa zimekata na barabara zote kuu ni full giza,
Usafiri unaobakia ni bodaboda nazo ni bei sawa na bure kwenda mpaka Igoma unapelekwa hadi kwa buku 5 tena usiku, tax ni za kuhesabu nazo unapanda hata ukiwa na jelo lako mkononi na mko kuanzia mtu bee hii inaashiria kwamba katika eneo hili mzunguko wa pesa ni duni watu wengi ni masikini na hawamudu gharama za usafiri hata huduma za malazi ni hivyo hivyo, endapo unafanya biashara hapa upande wa hospitality ni hasara tupu no wonder utalii kwa Mwanza hauna uwekezaji mkubwa angalia hata Rock city mall huu ni mwaka unaelekea wa 10 haina full occupancy.
Turudi dodoma ulipopadisi katika suala la ROI ambalo uchelewa popote pale katika real estate industry si suala la kuilaumu Dodoma tu hata hizo DSM na Nairobi kuna wakati miradi ina-slow down katika suala la occupancy rate inategemea na factors mbalimbali za kiuchumi na movement ya watu katika nyakati fulani ambacho si kigezo cha moja kwa moja kuwa mji umesimama na hautoendelea kukua.
Ngosha wewe ni Mnoma sana, Home Mwanza nimesoma DOM hii DOM 2016 tu nyuma ya Station njia ya UDOM kulikuwa na Tembe, DOM itachukua muda kidogo kuifikia Mwanza ila itafika tu maana uwekezaji wake mkubwaNgoja na mimi nichangie kidogo hapa;
Mm nipo Dodoma toka 2017, Dom ilikuwa na watu wengi sana wanaojihusisha na masuala ya ujenzi mda huo nyumba nyingi sana zimejengwa, Ilazo, Swaswa, Nzuguni, Meriwa, Kisasa, Iyumbu, Mkonze pia Michese (hii ni mitaa mipya kabisa tulioijenga sisi, ikumbukwe mm n mkandarasi)
Kabla ya hapo mitaa iliyokuwa na watu ilikuwa ni Nkuhungu, Maili 1 & 2, Majengo, Changombe(kwa warangi), kuna mtaa umenitoka ila ni karibu na CBE zilipo ofisi za mapasi naona siku hiz uongozi wa mji wamevunja wanampango wa kuweka bustani, pia kulikuwa na vijumba kidogo juu ya station ya TRC kama unaenda Ntyuka mitaa ya Pestana
Ipo hivi Dodoma imejenga sana kuliko Mwanza kwa kipindi hiki hakuna ubishi, maana mitaa niliyotaja hapo mwanzo yote ni mipya, changamoto ni moja tu hiyo mitaa mpya haina watu, utakuta nyumba moja wanaishi watu wanne tu, yaani familia ya baba mama mtoto na beki tatu
Na ndio maana hata upande wa usafiri Dom ni changamoto sana, Dom hakuna daladala za kutosha nadhani hii ni sababu ya uchache wa watu thats why daladala zote za Dom zinaishia sehemu moja na zinatosha (sabasaba) na zingine kidogo Majengo, My friend Mwanza hakuna eneo unaweza kuweka daladala za mji mzima sehemu moja zikatosha
Pia hapo hapo kwenye usafiri Dom ina route chache sana za daladala naweza kuziweka hapa, Nane nane - 77, Mipango-77, Ntyuka-77, Kwa massta (Nzugun)-77, Nkuhungu-77, Chan'gombe-77, Swaswa-77, Msalato-77,
pia kuna kidogo zinaishia majengo ambazo ni Mnada mpya- Majengo, Mkonze-Majengo pia. zipo daladala kama mbili au tatu zinajaribu kwenda Michese, unaweza nikumbusha nimesahau route ipi ya daradara hapo mkuu, maana ake route za daladala Dom hazizidi 11
Wakati huo huo mtu anaetoka Nanenane kwenda Chang'ombe kwa mfano hawezi kupata route ya moja kwa moja ni lazima aingie sabasaba achukue daladala lingine aendelee na safari, kuna sehemu kama Kikuyu hakuna daladala kabisa ni mwendo wa bajaji , njoo Kisasa anzia hapo Kwa mnama njoo mpka La Liga zunguka hiyo ring road Kisasa sekondari, Amazon ingia ndani ndani kote hakuna usafiri
Kufikia hatua mnaiongelea Mwanza najua mtakuwa mmeshafika mnapajua vizuri mm sitaki kueleza maana ndio nyumbani mnaweza kusema ni sehem gan kwa Mwanza pamoja na kuwa jiografia yake ni milima ni sehemu gani unaweza unga dalala ukiitoa Nyashana?( kwa ambao mnaiponda tu Mwanza kwa kusikia mnakosea sana) Mm mji yote Tz naijua
Tafuteni mafundi ujenzi au watu waliopo kwenye sekta ya ujenzi muulize kuhusu kasi ya ujenzi ilivyo Dom sasa hivi mtajua kuwa Dom pia imeanza kwenda taratibu,, ni tofauti sana na ilivyokuwa before na sababu ni kuwa nyumba zimekuwa nyingi lkn hazina watu, (maana Dom nyumba wanajengewa wageni na tayari wameshapata, wenyeji wapo wapo tu)
Nenda Kisasa, Swawa, Ilazo kote 30% ya nyumba hazina watu, na hapa nishauri tu uwekezaji wa real estate unaenda kudorora Dom, watu wamejenga lakini hakuna wapangaji Dom haina watu, mfano Dodoma soko la maana lenye watu lipo moja tu (sabasaba) na limebeba bidhaa zote japokuwa majengo kidogo inavyakula, ikitoka city center ya Dom center ndogo ndogo kama Buzuruga, Mecco, Nyakato, Kona ya Bwiru, Buhongwa, Nyegezi, Sabasaba(mbao), Nyasaka nk kwa Mwanza Dom huzikuti na hata ukizikuta ni ndogo sana kama Makuru, Meriwa, Kwa mnama
Maanake ni kwamba mjasiriamali mdogo wa genge la matunda na mboga mboga wa Mwanza kama yupo Buzuruga anachukulia bidhaa zake Mecco sokon kama yupo Buhongwa anachukulia hapo hapo Buhongwa ila Dom wote wanaenda Sabasaba mpaka mtu wa Chamwino anahemea sabasaba
Dodoma majengo marefu yaliyokamilika mpaka sasa ni matatu tu (Kambarage, PSSSF na Dom city hotel kwingine kote ni vijengo vya ghorofa tano kushuka chini
Ukubwa wa mji Dom inaanzia Nala upande wa magharibi, Mkonze na Ntyuka Kusini magharibi, Ng'ong'ona, UDOM, Iyumbu upande wa Kusini mashariki, Nane nane, Ilazo upande wa magharibi (hapa Ihumya naitoa maana hapo katikati Elishadai na St Peters kuna kipori, Chama Msalato na Mipango upande wa kasikazini hapo Dom ndio ilipo Mtumba ipo nje sana na katikati kuna eneo kubwa sana la wazi tunaitoa japo ipo nda ya halmashauri
Dom nimeifahamu yote ndan ya wiki moja na hakuna sehem unanidanganya,,,,, oyaaaaa eeeeeh? Njoo Mwanza sasa!!!
Kiukwel huwaga naumia sana kusikia mtu anaiongelea Mwanza na Dom, Mwanza ina manispaa mbili ndan ya mji (Ilemela na Nyamagana) Dom haina, Mwanza imekuwa jiji rasmi awamu ya tatu 2002 Dom ikawa 2017
Nyakato kuna viwanda vya kila aina Nondo, Soda(koka na peps zinatoka ndan ya mji) wakati Dom zinatoka Dar, Bia SBT na TBL wanafyatua ndani ya mji, idadi ya hotels route za safari za ndege ATCL na Precision Mwanza ina safari nyingi kuliko mji wowote ukiitoa Dar, Reli ya mwendokasi Dom hakuna fly over hakuna kote wameweka kifusi, Mwanza Fly Over ipo hakuna kifusi
Duh! Nyie endeleeen kuifananisha Mwanza na KiDodoma chenu, kuna jamaa amewahi kuniambia Dom kuna nyumba za kishua nikazitafuta Area D, Mlimwa C sikuziona kidogoooooo nikazikuta Michese zenye za ghorofa moja moja, nikamuuliza unaijua Kapripoint wewe, Bwiru kupata kiwanja tu mil 150 na kuendelea hapo bado hujavunja mawe maana unanunua mlima wenye mawe uvunje mwenyewe ndio kiwe kiwanja na kuvunja tu inagharimu mil 100 zingine ndio uanze kujenga hapo tayari mil 200 na kitu zimetumika huna hata msingi
Naona uswazi na mavumbi tuu 😁😁View attachment 2535887
Sewage system on point