Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Hujajibu kabisa hoja zake,umeishia kuparaza tu ili mradi umejitutumua kujibu.Hebu nenda sambamba na hoja zake,mfano yeye amekupatia mpaka idadi ya routes za daladala kwamba zote zinaishia sehemu moja.

Inawezekana unapata ugumu wa kujibu hoja zake kwakuwa mwenzio kaenda deep na kaichambua Dodoma vizuri sana,ukizidiwa ni vizuri kutundika daruga na ukaachia mwingine ajaribu kupangua hoja za Ngosha.
Sasa route kutishia sehemu Moja ambayo ni city centre Kuna tatizo gani? Mbona sioni hoja?
 
Kumbe we ni comedian ,,unadhani mwanza ni ugogoni.hapo,,,,kama malaika ni nyota 3 , mwanza hotel itakuwa nyota ngapi [emoji12][emoji12]...
Kaangalie rating ya hizi hotel uje na majibu
Tilapia hotel
Ryan's bay hotel
Gold crest hotel
Malaika beach resort
The golden pigeon hotel
Mwanza hotel
The kingdom hotel
Eden palace hotel
Midland hotel
Leyshof hotel
Lenana hotels
Antelope hotel...
Katizame Kama hata Moja wapo inashuka nyota 3 .......na left Uzi ,[emoji28]
Kama hizo Guests ndio unaita Hotel basi Kwa Dom ni nyingi kama miti.
 
Unajua kusoma? Hapo panafanana na Manyoni Vijijini Itigi huko,ni aibu kusema eti ni ndani ya Jiji.
Wivu tu unakusumbua,Kuna mtaa gan smart kama huo ,,,hizo nyumba sio za TBA Wala NHC ,,niletee picha za nkuhungu ,na mkonze [emoji28][emoji28][emoji28]
Dodoma huwezi pata nyumba za hvyo zimejengwa na private,,,, other than NHC [emoji28][emoji28]
 
njoo Dodoma Wine Festival inafanyika kila mwaka utaona zaidi ya brands 50 za wine zinazotengenezwa Dodoma.Soko la wine Tanzania na East Africa limeshikiliwa na wines zinazotoka Dodoma kama Dompo,Celta Wigo,Presidential,Mtita,Tullys,Veyula,Heaven Son,Mtita,Altar Wine n.k. Asilimia chache ya wines zinatoka South Africa
Yaani apo zote ulizotaja angalau Dompo inajitutumua lakn izo zengne hata Dom hpati
 
njoo Dodoma Wine Festival inafanyika kila mwaka utaona zaidi ya brands 50 za wine zinazotengenezwa Dodoma.Soko la wine Tanzania na East Africa limeshikiliwa na wines zinazotoka Dodoma kama Dompo,Celta Wigo,Presidential,Mtita,Tullys,Veyula,Heaven Son,Mtita,Altar Wine n.k. Asilimia chache ya wines zinatoka South Africa
Kwahiyo apo umetaja viwanda 50
 
Hujajibu kabisa hoja zake,umeishia kuparaza tu ili mradi umejitutumua kujibu.Hebu nenda sambamba na hoja zake,mfano yeye amekupatia mpaka idadi ya routes za daladala kwamba zote zinaishia sehemu moja.

Inawezekana unapata ugumu wa kujibu hoja zake kwakuwa mwenzio kaenda deep na kaichambua Dodoma vizuri sana,ukizidiwa ni vizuri kutundika daruga na ukaachia mwingine ajaribu kupangua hoja za Ngosha.
Jamani nimeishi Mlimwa C miezi 3, nimesoma Dodoma miaka 2, Dodoma saa moja jioni daladala zinaanza kupungua saa 2 hpati daladala. Kuna siku nimeagiza vitu Mwanza nipokee Dom gari limefika saa 2 natoka stand nipate daladala lakn wapi. Ikabidi nirudi stand ili nipate bodaa
 
Naona uswazi na mavumbi tuu 😁😁

Yaani Mwanza mnayotupigiaga makelele humu ndio hii hapa inafanana na Manyoni 🤪🤪🤪🤪View attachment 2536243View attachment 2536244View attachment 2536245View attachment 2536246View attachment 2536247
Almost 15km from City centre na bado nipazuri kuliko Area C,D.Fact hapo kiwanja bila milioni 15 huwezi pata
Screenshot_20230303-215653_Maps.jpg
 
Dodoma ni zaidi sana ya mwanza. Mbali. Mwanza imesambaa kihasarahasara, hiyo wanayodai ni CBD, ni kituko. Tatizo wameanza kuina maghorofa jana. Exposure nada. Eti mtu anasema mtaa msafi anaona ndio maajabu. Yani watu wa mwanza wanashangaa vitu ambavyo ata mtu wa songea hashtuki. Mtu akitoka katavi akienda mwanza anaona ni kama tu kwao sema kuna tughorofa tuwili,.
 
Unajua volume sales ya Drostdy Hof dry red kwa Tanzania? Ulizia wanao import hiyo wine peke yake au nenda pale kwa Mohans uone inavyotembea kuanzia retail mpaka kwa wholesalers na ulinganishe na hizo local wines zote kwa pamoja ndiyo utajua SA imelishika vizuri sana soko la wines kwa hapa Tanzania.

Hapo nimekupa tu hiyo moja,bado hatujaja kwenye zile fine wines zinazuzwa kuanzia 25k-35k.Hao kina Fiorenzo wa CETAWICO au Kato wa Alko Vintage wanafanya vizuri sokoni lakini siyo kwa kiwango cha wines zinazotoka SA.
Acha kuabudu nchi zingine we mpuuzi uzalendo uanzia nyumbani, ni kweli kitambo kwenye haya mambo alianza SA na akawa anaaminika kama Kenya ya enzi hizo kwa Tz lakini mambo yanabadilika hivyo usikariri, Wine ya Dodoma imepiga hatua kubwa na variety zake zimeshakuwa nyingi na hamna tena ulazima wa wine za SA kwa consumer walio wengi.
 
Acha kuabudu nchi zingine we mpuuzi uzalendo uanzia nyumbani, ni kweli kitambo kwenye haya mambo alianza SA na akawa anaaminika kama Kenya ya enzi hizo kwa Tz lakini mambo yanabadilika hivyo usikariri, Wine ya Dodoma imepiga hatua kubwa na variety zake zimeshakuwa nyingi na hamna tena ulazima wa wine za SA kwa consumer walio wengi.
Hivi we mjanja wa dodoma unabishana na mtu wa mwanza kabisaa? 🤣 🤣 Yani hao wenzio bado wapo kwenye mhaho wa maghorofa na picha hawana ata aibu wanashindana na arusha kisa wapo wengi kama nyuki kumbe makolo tu
 
Ngosha wewe ni Mnoma sana, Home Mwanza nimesoma DOM hii DOM 2016 tu nyuma ya Station njia ya UDOM kulikuwa na Tembe, DOM itachukua muda kidogo kuifikia Mwanza ila itafika tu maana uwekezaji wake mkubwa


Hadi sasa DOM kinachoizidi Mwanza ni gari nyingi zenye namba ya STK,STL,STM na SM
Historia na bla! bla! bla! bla! Kikubwa mnakubali kuwa kupitwa mmepitwa hiyo ndo point muhimu.
 
Hivi we mjanja wa dodoma unabishana na mtu wa mwanza kabisaa? 🤣 🤣 Yani hao wenzio bado wapo kwenye mhaho wa maghorofa na picha hawana ata aibu wanashindana na arusha kisa wapo wengi kama nyuki kumbe makolo tu
Gold teeth kaa kwa kutulia Unganeni Dom,Arusha na Mbeya mkujee
 
Acha kuabudu nchi zingine we mpuuzi uzalendo uanzia nyumbani, ni kweli kitambo kwenye haya mambo alianza SA na akawa anaaminika kama Kenya ya enzi hizo kwa Tz lakini mambo yanabadilika hivyo usikariri, Wine ya Dodoma imepiga hatua kubwa na variety zake zimeshakuwa nyingi na hamna tena ulazima wa wine za SA kwa consumer walio wengi.
Ukweli usemwe tujifunze Dom kuna Dompo tu izo zengne ni Chan'gaaa
 
Sasa route kutishia sehemu Moja ambayo ni city centre Kuna tatizo gani? Mbona sioni hoja?
Mi naona wanabwabwaja tu hapa kuna daladala gani hapo Mwanza isiyoripoti Natta na makoroboi stendi za hapo CBD isitoshe magari mengi uelekeo ni mmoja wa nyashishi-mjini-kisesa na nyashishi-mjini-airport, point yenye abiria wengi na tegemeo hapo mwanza ni mzunguko (CBD)
Asubuhi kila mtu uelekeo ni CBD jioni kama makondoo yote yanagombania usafiri stendi ya Natta kama machizi kuelekea mahome iwe ni ilalila, Nyasaka-kiloleli,kisesa, airport, bwiru n.k point muhimu ni kwamba ni lazima gari zote zitege town sasa mnajidaia nini hapa mbele ya Dodoma.
 
Back
Top Bottom