Exactly hakuna Jiji lililopangiliwa afrika mashariki na kati kama Dodoma....zaidi ya asilimia 90 ya eneo lote la Jiji limepimwa .Mji uliopangika kitambo hauna haja ya kupangwa tena hiyo shughuli ya kuwapanga wamachinga iachie miji ya ovyo kama mwanza
huwepo wa viongozi...🤣🤣🤣We umeleta hoja gani zaidi ya mihemko, Mwanza tuone wivu kwa dodoma yenye gdp ya 3.1 na population ya 3.5 milion, na mkoa wa pili kwa umaskini Tanzania.
Mwanza ina GDP ya 12.5 trillion na population ya 3.7. Dodoma kapambaneni na maskini wenzenu.
Viongozi wengi wa serikali hawaishi hapo, wengi wamejenga Dar, pia huwepo wa viongozi wakiserikali kunafanya mji kuwa mgumu zaidi, maskini wa dodoma atahuziwa bidhaa sawa na mbunge, huoni ni hatari kwa wananchi wa kawaida na maskini wa hapo.
Ngosha ni habari nyingine kwenye kuchambua.Kaigeuza Dodoma nnje ndani mpaka watetezi wa Dodoma wamebaki kujifichia kwenye miradi ya Serikali[emoji3][emoji3]Kiufupi ushanyoosha mikono ,ngosha kakunyoosha vilivyo ..[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].....sa hv ni unarusha teke la punda anayekufa [emoji28][emoji28]..a kick of dying horse [emoji28][emoji28]
Magodoro Dodoma kipo Dar cha Dodoma kiliungua Moto,Dodoma kuna kiwanda cha Dodoma asili tuKiwanda cha Magodoro Dodoma kipo Kizota,Dodoma ....brand name ni Magodoro Dodoma Asili hicho kilichopo Dar kilihamishwa kutoka Dodoma miaka ya 1990 na brand name ni Magodoro Dodoma
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 vitaje navisubiriZaidi ya viwanda ishirini vya wine vinapatikana Dodoma
Kumbe unatokwa mishipa ya shingo na Dodoma wakati huko Sumbawanga kumejichokea[emoji3][emoji3][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957] Kinajengwa au kimemalizika kimeanza uzalishaji Toka July na sisi wa Sumbawanga tunatumia Hadi Mbolea za Intracom fertilizers.
Kwa taarifa Yako sio tuu wanazalisha mbolea Bali na bidhaa za ujenzi kama lime,vigae nk
Kumejichokeaje Sasa? Sumbawanga hakuna njaa kama MwanzaKumbe unatokwa mishipa ya shingo na Dodoma wakati huko Sumbawanga kumejichokea[emoji3][emoji3]
Na pia Sumbawanga ndiyo makao makuu ya uchawi na wanganga wa kienyeji [emoji3][emoji3]Kumejichokeaje Sasa? Sumbawanga hakuna njaa kama Mwanza
Hayo mapombe ndio yanawasaidia kuwatoa kwenye umaskini?Wine za Dodoma kama Dompo,St Mary,Image pamoja na ile aliyokunywa rais wa Kenya Kenyata zinazosifika kwa ubora duniani kumbe ni pombe za kienyeji eti na zinatengenezwa kwenye kila nyumba😂😂😂
Acha ujinga ingia wizara ya ardhi na nyumba, uone jinsi Ilemela ilivyoongoza, hiyo dodoma ni mji wa mwisho kimpangilie ata postkodi tu mnachechemea mkiani.Exactly hakuna Jiji lililopangiliwa afrika mashariki na kati kama Dodoma....zaidi ya asilimia 90 ya eneo lote la Jiji limepimwa .
Nitajie mji wowote hapa Afrika Mashariki na Kati ambao umepimwa eneo lote kwa zaidi ya asilimia 80.....😂
Unalinganisha jangwa na mji wa maziwa na asali.Eneo la Jiji la Dodoma kwa pamoja ni kubwa kuzidi Mwanza....ukiwa Mwanza eneo kubwa ni Ziwa Victoria na miamba ya mawe .Eneo la Mwanza halipo intact kama la Dodoma
njoo Dodoma Wine Festival inafanyika kila mwaka utaona zaidi ya brands 50 za wine zinazotengenezwa Dodoma.Soko la wine Tanzania na East Africa limeshikiliwa na wines zinazotoka Dodoma kama Dompo,Celta Wigo,Presidential,Mtita,Tullys,Veyula,Heaven Son,Mtita,Altar Wine n.k. Asilimia chache ya wines zinatoka South Africa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 vitaje navisubiri
Unalinganisha jangwa na mji
Mwanza yenye makazi holela uilinganishe na Dodoma jiji lililopangiliwa master plan hahaaaaa.Master plan ya Dodoma ilipelekwa hadi Abuja wamekopi na kupasteAcha ujinga ingia wizara ya ardhi na nyumba, uone jinsi Ilemela ilivyoongoza, hiyo dodoma ni mji wa mwisho kimpangilie ata postkodi tu mnachechemea mkiani.
Hayo mapombe ndio yanawasaidia kuwatoa kwenye umaskini?
Sasa apo kuna tofauti na nilichoelezea apo juu....😀😀Magodoro Dodoma kipo Dar cha Dodoma kiliungua Moto,Dodoma kuna kiwanda cha Dodoma asili tu
atahuziwa😀😀We umeleta hoja gani zaidi ya mihemko, Mwanza tuone wivu kwa dodoma yenye gdp ya 3.1 na population ya 3.5 milion, na mkoa wa pili kwa umaskini Tanzania.
Mwanza ina GDP ya 12.5 trillion na population ya 3.7. Dodoma kapambaneni na maskini wenzenu.
Viongozi wengi wa serikali hawaishi hapo, wengi wamejenga Dar, pia huwepo wa viongozi wakiserikali kunafanya mji kuwa mgumu zaidi, maskini wa dodoma atahuziwa bidhaa sawa na mbunge, huoni ni hatari kwa wananchi wa kawaida na maskini wa hapo.
Leta fact zako unazosema dodoma desert ipo juu Mwanza.atahuziwa😀😀
Kabishane facebook mkuu humu ni hoja na facts tupu
Hizo ni hadithi zako ulizomezeshwa..Na pia Sumbawanga ndiyo makao makuu ya uchawi na wanganga wa kienyeji [emoji3][emoji3]