Undava King
JF-Expert Member
- Aug 11, 2017
- 3,422
- 5,659
- Thread starter
-
- #3,041
Of course kulingana na jiografia ya Serena na facilities kadhaa ikiwemo golf course na spa inaweza chezea ndani ya 4 au 5, nilishakwambia kuwa hoteli hazipimwi kwa macho ila vigezo hivyo usitake nikupe uhakika sijawa mzee tambitambi.Kumbe unavyoona wewe [emoji28][emoji28]...nikajua wanavyoona wataalamu....Mimi nimezungumzia Serena we umedakia Hyatt regency,,,,....japo sio mtaalamu wa masuala ya hotel ila nakushauri kasome upya hizo notisi ulizopewa ,inaonekana Kuna mahala hujaelewa..by the way usituchote hapa ...
Ila hii kesi naamini tunaifunga leo hapa hapa tusije tena tukaanza shikana masikio ya 5 mara 4 star hotels in Mwanza au Dom labda tu kama tunatumia vigezo vyetu vya macho kama tulivyozoea wabongo kila hoteli yenye ghorofa nyingi, mazingira yakuvutia au mwonekano mzuri kwetu huwa ni 5star.Kumbe unavyoona wewe [emoji28][emoji28]...nikajua wanavyoona wataalamu....Mimi nimezungumzia Serena we umedakia Hyatt regency,,,,....japo sio mtaalamu wa masuala ya hotel ila nakushauri kasome upya hizo notisi ulizopewa ,inaonekana Kuna mahala hujaelewa..by the way usituchote hapa ...
Acha mbwembwe kama Chuga tu inawakalisha pants down na mmeshatii itakuwa Dodoma, Mwanza ndiyo jiji pekee limewahi kukalishwa hadi na Bunda[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]Mwanza vs Arusha
Mwanza vs dodoma
Mwanza vs nyoko
Tunataka mwanza vs Arusha+dodoma combined tumechoka na ujinga huu.
Yaani Dodoma asili auze Mwanza 😂😂😂😂😂 yaani Dodoma yenyewe anauza Kondoa, Dodoma Kongwa na Bahi, Mwanza kuna vitu kama Comfy,Victoria,Vitanda,Superb ancon, angalau na Bestie na Tanfoam za Arusha znajitahid ila sio huo Upumbavu Dodoma asiliAcha sifa za kijinga wakati ndiyo magodoro yanayowaokoa wasukuma wa Mwanza, hakuna godoro linalouza usukumani kuzidi hilo naomba muweko na shukrani basi hata kidogo kwa mengi mnayotendewa na jiji la kisasa.
Nini Maana ya ruti?, naijua Dodoma in and out yaani saa 2 hakuna daladala apo mjini. Kuna root gani inaabiria wengi kuizidi St Gema apo Dodoma? Hiyohyo ruti saa 2 kwisha habari yaani Dom saa 2 mji umepoa usiombe wanachuo waende likizo ndo kabsa mji unapoa saa 1Kwani boda si usafiri acha mchecheto, afu mambo mengine tumia common sense, daladala haziwezi kukaa night katika maeneo ambayo hayana uhitaji mkubwa na kuna other means za usafiri, yaani mitaani kumechangamka watu wanatoka out na wengine wanageuka mahozi mtu asiende kupiga minazi huko eti akusubirie wewe unayesafiri usiku toka usukumani ufike ndo akupakie ulishaonaga wapi biashara za namna hiyo.
Acha mihemko kijana Company zinazofanya vizur kwa hapa Tz ni from SA na ItalySasa kwa kuwa kakaririshwa demu wako na msela wake kila ukimwita ghetto ndio kawimbo beiiibii ngosha bhebhe ninunulie doumpoo ndo sasa wajifanya kuifagilia kumbe ndo brand pekee unayoifahamu.
Tumechoka manenoIla hii kesi naamini tunaifunga leo hapa hapa tusije tena tukaanza shikana masikio ya 5 mara 4 star hotels in Mwanza au Dom labda tu kama tunatumia vigezo vyetu vya macho kama tulivyozoea wabongo kila hoteli yenye ghorofa nyingi, mazingira yakuvutia au mwonekano mzuri kwetu huwa ni 5star.
Kubishana na chizi utajipa kazi.Kwamba hujui kuwa bodi ya utalii na wizara ya utalii wanatoa standard na rating za hotels ...hizo specifications zote ulizotaja hamna hotel ambayo haina kati ya nilizozimention hapo ...stop pretending..
Gold crest ni nyota 4 pure ,,,, tilapia hotel the same,,,,....by the way fika malaika beach resort ndio useme huu upuuZi wako
Mwanza= dodoma+ mbeya + arusha and others.Mwanza vs Arusha
Mwanza vs dodoma
Mwanza vs nyoko
Tunataka mwanza vs Arusha+dodoma combined tumechoka na ujinga huu.
Mimba uliyopewa na jiji la Mwanza imefika miezi mingap sasa ili tukusaidie ujifungue kwa usalama.Acha mbwembwe kama Chuga tu inawakalisha pants down na mmeshatii itakuwa Dodoma, Mwanza ndiyo jiji pekee limewahi kukalishwa hadi na Bunda[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
Lete sewage system kama hiyo hapo dom kisha ntapost milimaniVipi na kule milimani mbona utuletei pia tuone hiyo sewage ilivyo?
Na ndio maana imeipita Arusha [emoji28][emoji12][emoji12]Yani mwanza miaka mitatu baadaye itakuwa kama mtwara tu dodoma inakuja juu sana
Arusha ipi unayozumgumzia?Acha mbwembwe kama Chuga tu inawakalisha pants down na mmeshatii itakuwa Dodoma, Mwanza ndiyo jiji pekee limewahi kukalishwa hadi na Bunda[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
Na arusha itakuwa kama lindi tu baada ya mwaka mmoja.Yani mwanza miaka mitatu baadaye itakuwa kama mtwara tu dodoma inakuja juu sana
Nimewaambia walete Arusha na dodoma kwa pamoja waone kitakachowatokeaTumechoka maneno View attachment 2536667View attachment 2536668
Hizi gorofa nne,tano ndio zinawatia kiwewe 🤣🤣🤣 shamba city banaTumechoka maneno View attachment 2536667View attachment 2536668
Mwanza imeizid Arusha labda umasikini tuNa ndio maana imeipita Arusha [emoji28][emoji12][emoji12]