ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Mwanza wananchi wanajenga.
Dodoma asilimia 99 ya miradi ni ya serikali.
Huu utaahira Huwa mnamezeshana mkiwa mumelewa common au siyo?Dom ilinganishe na Iringa au Moshi wakati mwingine ubongo Wako hujaa kutu za upumbavu.
Sasa hizi nyumba utalinganisha na nyumba zenu za tembe we fala?.Mwanza beautiful City in Tanzania 🤪🤪🤪🤪View attachment 2550529View attachment 2550530View attachment 2550531View attachment 2550532View attachment 2550533View attachment 2550534View attachment 2550535View attachment 2550536View attachment 2550537View attachment 2550539View attachment 2550540View attachment 2550542
Uko sawa.wanachi wanajenga kama ifuatavyo 👇Mwanza wananchi wanajenga.
Dodoma asilimia 99 ya miradi ni ya serikali.
😂😂😂😂 Makasiriko ya nini bwasheeSasa hizi nyumba utalinganisha na nyumba zenu za tembe we fala?.
Mbona hzi picha nzuri sana ... huwezi fananisha na tembe za mpunguzi au mabanda ya pale chang'ombe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Makasiriko ya nini bwashee
Ndani ya Jiji la Dom hakuna tembe,hizo mabanda ya nguruwe ziko Mwanza mjini 80% ya Mji umejaa haya mabanda [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]View attachment 2550566View attachment 2550567View attachment 2550568View attachment 2550569View attachment 2550570View attachment 2550571View attachment 2550572
The most enjoying slums in Africa...unapata upepo wa ziwa na taswira nzuri ya jiji kama linavyoonekana Kwa chini ..........Uko sawa.wanachi wanajenga kama ifuatavyo [emoji116]View attachment 2550557View attachment 2550558View attachment 2550559View attachment 2550560View attachment 2550561View attachment 2550562View attachment 2550563View attachment 2550564
Uwe unapost na hii mitaa pia [emoji28][emoji28][emoji28]..usijisahaulishe[emoji116][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Makasiriko ya nini bwashee
Ndani ya Jiji la Dom hakuna tembe,hizo mabanda ya nguruwe ziko Mwanza mjini 80% ya Mji umejaa haya mabanda [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]View attachment 2550566View attachment 2550567View attachment 2550568View attachment 2550569View attachment 2550570View attachment 2550571View attachment 2550572
Last Week nilikuwa DOM kusema kweli kale Kabox mnakaita City hotel hapana kwakweli!!!
Huwezi ni pangia Cha kupost we falaMatusi ni dalili dhahiri ya kushindwa hoja...😀😀😀
Dodoma inatakiwa ipambane na Ghana na kirumba peke yake kama picha hii inavyojieleza
Dah nmepaona mpaka home.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Makasiriko ya nini bwashee
Ndani ya Jiji la Dom hakuna tembe,hizo mabanda ya nguruwe ziko Mwanza mjini 80% ya Mji umejaa haya mabanda [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]View attachment 2550566View attachment 2550567View attachment 2550568View attachment 2550569View attachment 2550570View attachment 2550571View attachment 2550572
Na wewe unaishi kwenye mabanda hayo ya nguruwe? 🤪🤪🤪Dah nmepaona mpaka home.