ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Mwanza ni ghost city ππEndeleeni kujifurahisha na hapo sijawagusa vitovu wajinga nyie
Feasibility study and detailed engineering design for decogestion to dual carriage mwanza urban along nyanguge section.km 25 .......
Kuja kujengwa ni 2030 huko ππFeasibility study and detailed engineering design for decogestion to dual carriage mwanza urban along nyanguge section.km 25 .......
Feasibility completed ....
[emoji116][emoji116]View attachment 2551999
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda kama ccm haitaki kukaa madarakani ndo itafanya hvyoKuja kujengwa ni 2030 huko [emoji16][emoji16]
Huna jipya wewe KISAMVU tu.
Unaoji?? Big assUnaoji kuhusu ushago ambao hata kazuramimba au mwandiga ina unafuu mara 10
Mwanza yote Iko hapa πHuna jipya wewe KISAMVU tu.
Umeonaje panavyopendeza like Zurich [emoji7][emoji7][emoji7][emoji3059][emoji3059][emoji3059]... huwezi pata view safi kama hyo hapo mpunguzi [emoji28][emoji28][emoji28]Mwanza yote Iko hapa [emoji116]View attachment 2552143View attachment 2552144View attachment 2552145
Nje ya hapo ni Yale mabanda ya Nguruwe [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] unlike Dodoma.
Dom sio Jiji la kishamba kama Mwanza.Umeonaje panavyopendeza like Zurich [emoji7][emoji7][emoji7][emoji3059][emoji3059][emoji3059]... huwezi pata view safi kama hyo hapo mpunguzi [emoji28][emoji28][emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Dom shindanisha na mtaa wa ghanaDom sio Jiji la kishamba kama Mwanza.
Smart TownMwanza yote Iko hapa [emoji116]View attachment 2552143View attachment 2552144View attachment 2552145
Nje ya hapo ni Yale mabanda ya Nguruwe [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] unlike Dodoma.
Mike na kwenye hizo picha zijaona mitaa ya round about ya nyerere, mitaa ya rufiji, uhuru, pamba, na natta zenye high rising skyscraper kama jiji la Berlin, hakika Mwanza inatishaπ₯π₯π₯Umeonaje panavyopendeza like Zurich [emoji7][emoji7][emoji7][emoji3059][emoji3059][emoji3059]... huwezi pata view safi kama hyo hapo mpunguzi [emoji28][emoji28][emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
We muache alivyo zwazwa ..ajiaminishe hvyo [emoji28][emoji28][emoji28]......namsubiri photographer TUISHI..atupie shot Moja tu ya nela na Ghana .ili habari ya dodoma inaishia hapoMike na kwenye hizo picha zijaona mitaa ya round about ya nyerere, mitaa ya rufiji, uhuru, pamba, na natta zenye high rising skyscraper kama jiji la Berlin, hakika Mwanza inatisha[emoji91][emoji91][emoji91]
Haielewi mwanza huyu ndiyo maana Kuna wakati namtukana. Anadandia picha kijinga jingaWe muache alivyo zwazwa ..ajiaminishe hvyo [emoji28][emoji28][emoji28]......namsubiri photographer TUISHI..atupie shot Moja tu ya nela na Ghana .ili habari ya dodoma inaishia hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado nera, kirumba, ghana, buzuruga na nyegezi πππππ hili jiji la Mwanza ni dude kubwa sanaWe muache alivyo zwazwa ..ajiaminishe hvyo [emoji28][emoji28][emoji28]......namsubiri photographer TUISHI..atupie shot Moja tu ya nela na Ghana .ili habari ya dodoma inaishia hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado nera, kirumba, ghana, buzuruga na nyegezi πππππ hili jiji la Mwanza ni dude kubwa sanaWe muache alivyo zwazwa ..ajiaminishe hvyo [emoji28][emoji28][emoji28]......namsubiri photographer TUISHI..atupie shot Moja tu ya nela na Ghana .ili habari ya dodoma inaishia hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya tuambie hiyo ghana street ndio ikoje kuizidi dodoma lkn matusi yametokea wapi?? Au wewe ni mwendawazimuKuna anayeweza kunishinda hoja hapa, nimewaambia dodoma shindanisha na Ghana street