Undava King
JF-Expert Member
- Aug 11, 2017
- 3,422
- 5,659
- Thread starter
-
- #3,421
Mkuu sijajua kama unatuogopa kiasi cha kuchanganyikiwa dizaini hiyo ila suala ni dogo tu kukubali kuwa mmeelemewa na jiji la kisasa la Dodoma ndiyo tiba.Safi sana, japo watu wanaudhi sana twende nao polepole tu, humu ukitoka utaenda battle la Arusha huko, ukitoka huko utaenda battle la Mbeya ukitoka kuna kisumu kote huko tukiwa harsh ni hatari, tunaudhiwa lakini tuwe humble tuwajibu kwa fact na picha na utani kiasi[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120].
Mtu kama sunk fallacy au undava wale ni vichaa ni sawa nakujichosha tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni kwa sababu ukiwa mshamba, kibonde au mpenda sifa ambazo huna lazima upumzikiwe na kila raia iwe ni shuleni, gerezani,ofisini au katika maisha ya mtaa..kwa nini wasijilinganishe na Dar au Dom ni kwa sababu wanajua hizo ni level zingine ila Mwanza ni mediocre town ilojaa mabanda, barabara za panya na vumbi so wakijipima wanaona possibility yakutusua kirahisi battle, back to Dodoma city siye tunachoitaji ni kukabidhiwa crown yetu tu basi wala hatuna ugomvi na nyie.Poa ndugu yangu nimekuelewa na Mimi situkani Tena. Lakini nashangaa kwanini mwanza inalinganishwa na kila mkoa mpaka count za Kenya au ndo tuseme kitu kizuri hujitangaza chenyewe?
Unafikiri kwa namna hii ndo nitaacha kutembeza dozi...hapa ni mpaka mtoke huko nyambiti kwenye majabali mlikojificha mje mkiri kwa vinywa vyenu kuwa Mwanza yenu mbele ya Dodoma ni kijiji kikubwa.Sawa mkazi wa nyakato....nani asiyekujua ww ni WA mwanza [emoji28][emoji28]...uko unawachota tu wenzio
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo maneno kamwambie mkeo, angalia hapa hizi ndio contents za watoto wa mjini, sitaki useme hapa ni Paris au las Vegas noooo hapa ni Mwanza kwa wala bataππππDude kubwa lisilo na content [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
Em tuwe wakweli wanamwanza nafikiri umasikini ni umasikini tu hata upakwe rangi kusema kweli yale mabanda yaliyopostiwa juu ya milima kama ni yenu basi they look so ugly nimepata kinyaa nusra nitapike ila nikajikaza baada ya kujua wanaoishi huko ni watanzania wenzangu.[emoji38]
Kumbe the climax ishakamilika[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]Hayo maneno kamwambie mkeo, angalia hapa hizi ndio contents za watoto wa mjini, sitaki useme hapa ni Paris au las Vegas noooo hapa ni Mwanza kwa wala bata[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 2553079View attachment 2553080
Wewe nawe hujielewi Dar inpambanishwa na Nairobi pia na mombasa na Kuna wajinga wanapambanisha dar na Arusha . Ndo ujue vitu vizuri Huwa ni ndoto ya kila mtu.Ni kwa sababu ukiwa mshamba, kibonde au mpenda sifa ambazo huna lazima upumzikiwe na kila raia iwe ni shuleni, gerezani,ofisini au katika maisha ya mtaa..kwa nini wasijilinganishe na Dar au Dom ni kwa sababu wanajua hizo ni level zingine ila Mwanza ni mediocre town ilojaa mabanda, barabara za panya na vumbi so wakijipima wanaona possibility yakutusua kirahisi battle, back to Dodoma city siye tunachoitaji ni kukabidhiwa crown yetu tu basi wala hatuna ugomvi na nyie.
Dar kulinganishwa na Nairobi hawakosei maana ni miji mikubwa inayotoshana ubavu katika maeneo mengi lakini kuilinganisha Dar na vitu vingine vya ajabu ni kuikosea heshima.Wewe nawe hujielewi Dar inpambanishwa na Nairobi pia na mombasa na Kuna wajinga wanapambanisha dar na Arusha . Ndo ujue vitu vizuri Huwa ni ndoto ya kila mtu.
Kwahiyo ndo mnasherehekea ufunguzi wa kiosk kidogo cha pombe au glossary ya kimasikini mbele ya kiaminio chenu cha roki citi moli, sasa hii bar inautofauti gani na zile bar za kabengo pale mabatini au If why not why not kule uswazini Igoma?Kumbe the climax ishakamilika[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona unatuelezea namna shemejiyo anavyokukula vzr wewe na dada yakoMbona unampenda sana mme wa dada ako anakuweka vyema we bwege
Huyo mshamba ndio ameanza kutukana nimemuelekeza anajifanya mjuaji kumbe shamba fulani tuTupunguze maneno makali, hii battle ni kujifurahisha tu, sote tunajua Mwanza ni zaidi ya miji yote kutoa Dar, humu ni kama burudani na utani bila kuvunjiana heshma.
Mimi sitaki kukutukana bhana kwahiyo ukiwa huna Cha maana usiniquote.Naona unatuelezea namna shemejiyo anavyokukula vzr wewe na dada yako
Basi dodoma ni Jiji la pili, umefurahii sasa?Dar kulinganishwa na Nairobi hawakosei maana ni miji mikubwa inayotoshana ubavu katika maeneo mengi lakini kuilinganisha Dar na vitu vingine vya ajabu ni kuikosea heshima.
Jiulize kwanini haijawai kutokea idea hata mbovu ya kuilinganisha Dar na Mwanza instead watu wanaona ni bora wailinganishe walahu na Chuga, Ni kwa kuwa uwezi kuanzisha ugomvi ambao tiyari unajua mwisho wake ni kuchapwa.
Na jibu sahihi ni kuwa Mwanza haina hadhi ya kuwa jiji la pili after Dar kwa kuwa umbali ambao Mwanza imeachwa na Dar katika mizania na quality ya majiji haya mawili ni mbingu na ardhi.
Exactly ....eneo kubwa la Mwanza Jiji ni Ziwa Victoria na milima yenye maweMwanza yote Iko hapa πView attachment 2552143View attachment 2552144View attachment 2552145
Nje ya hapo ni Yale mabanda ya Nguruwe ππππ unlike Dodoma.
Sio tuu Milima yenye mawe bali na mabanda ya nguruweExactly ....eneo kubwa la Mwanza Jiji ni Ziwa Victoria na milima yenye mawe
Wivu. Kwanza nani kakuambia hyo ni bar ....[emoji28][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12].....Kwahiyo ndo mnasherehekea ufunguzi wa kiosk kidogo cha pombe au glossary ya kimasikini mbele ya kiaminio chenu cha roki citi moli, sasa hii bar inautofauti gani na zile bar za kabengo pale mabatini au If why not why not kule uswazini Igoma?
Mara mia na Eyembe bar ya Musoma ina vibe kuliko hii takataka.
Wivu [emoji12][emoji12][emoji12][emoji28][emoji28]Sio tuu Milima yenye mawe bali na mabanda ya nguruwe