Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa ndio palipokuwa stand ya SAHARA wakaweka vibanda!!?, mbona naona kama havipoMitaa ya rwegasore inazidi kushine tu kwa new rising skyscrapers[emoji116][emoji116]
View attachment 2555735View attachment 2555738
Hilo eneo la wazi hapo limezwa tayri kwa mdau mmoja hivi tycoon muda wowote atashusha project ya maana hapo.Hapa ndio palipokuwa stand ya SAHARA wakaweka vibanda!!?, mbona naona kama havipo
Kushindana na mwanza utajipa kisukar BureJiji la usanii la Mwanza litaendelea kuaibika Kila uchao..
Kiwanda Cha Saruji Dodoma bil.450
Kushindana na mwanza utajipa kisukar Bure
Enjoy the beautiful view [emoji116]
Sent using Jamii Forums mobile app
Huna MB au ....nyie sie mnaongoza Kwa per Capita income,,unakoswaje GB ya kutizama hyo video [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Hiyo takataka hapo ndio kiwanda?
Huwa sitazami mabanda ya nguruwe hakuna Cha maana huko Hadi kupoteza mb..Huna MB au ....nyie sie mnaongoza Kwa per Capita income,,unakoswaje GB ya kutizama hyo video [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji706][emoji706][emoji706] wivubHuwa sitazami mabanda ya nguruwe hakuna Cha maana huko Hadi kupoteza mb..
Video za kutazama ni kama hii ya Jiji la Dodoma
Huwa sitazami mabanda ya nguruwe hakuna Cha maana huko Hadi kupoteza mb..
Video za kutazama ni kama hii ya Jiji la Dodoma
Ukitoa Dar Es Salaam hakuna mji mwingine Tanzania wenye mtandao mpana wa barabara za lami kama Dodoma. Dodoma ukwame wapi kila sehemu lami tupu😀😀😀 kuanzia katikati ya jiji hadi ndani ndani huko Nkuhungu lami hadi pembeni mwa nyumba za watu[emoji706][emoji706][emoji706] wivub
Wapi estate zenu ....jiji linatakiwa Liwe na neighborhood kama hizi [emoji91][emoji91][emoji91]
View attachment 2557015View attachment 2557016View attachment 2557017View attachment 2557018
Sent using Jamii Forums mobile app
Dodoma inaongoza Bwashee ,ingia kwenye takwimu.Ukitoa Dar Es Salaam hakuna mji mwingine Tanzania wenye mtandao mpana wa barabara za lami kama Dodoma. Dodoma ukwame wapi kila sehemu lami tupu😀😀😀 kuanzia katikati ya jiji hadi ndani ndani huko Nkuhungu lami hadi pembeni mwa nyumba za watu
Unaona sifa, mwananjombe. Ule Uzi wako vipi watu wamekunanga hadi wachaga. Watu hawapendi ujinga ujinga.Nje ya hako kapicha hapo ni mabanda ya nguruwe 😀😀
View attachment 2557346
Unishukuru Kwa kukutafutia site nyingine ya kupata picha na video 🤪🤪
Unaweweseka sanaNje ya hako kapicha hapo ni mabanda ya nguruwe 😀😀
View attachment 2557346
Unishukuru Kwa kukutafutia site nyingine ya kupata picha na video 🤪🤪
Kweli hichi kijiji cha wavuvi, nyumba zimekaa bila mupangilio yani panaonekana kama dampo vile 😂😂😂😂Sina utani na wewe kajamba nani, angalia hapa hii ni mkuyuni na igogo view👇👇👇
View attachment 2537855
Hii inawatesa hata robo ya hii Barabara haijafika just kuanzia kemondo jengo la CCM na NCU house. Amechukulia kuanzia samaki samaki round about je angeileta yote hapa si mngepanic wazee na Bado Kuna rwegasore, Lumumba, pamba, karuta, uhuru, rufiji, mission, mitimirefu, Nyerere road, n.kKweli hichi kijiji cha wavuvi, nyumba zimekaa bila mupangilio yani panaonekana kama dampo vile 😂😂😂😂
Hii ndio mwanza ya kuifananisha na Arusha!?
UHivyo vijinyumba vimepangana kama maboksi yaliyotupwa dampo 😂😂😂Kama kawaida naona uswazi na slums tupu hapo na tugorofa twa kuokoteza 🤪🤪
Mwanza ni uchafu aisee