Mnaleta picha zinazopigwa na wasiokuwa na Simu utajuaje pako poa hebu angalia palivyo halafu jiulize upo sawa kweli au ndo kushupaza shingoUHivyo vijinyumba vimepangana kama maboksi yaliyotupwa dampo πππ
Kweli watu wa shamba city wanajidhalilisha Sana ..apo ndio wanaona jiji limekuwa kumbe slams za kushato pako kama dampo vileππππ
Pako hivyo tatizo hata kununua Simu Kali zenye uwezo mkubwa wa kupiga picha hamna.