Dom ni level za Kimataifa sio hizo takataka za Mwanza.
DIT MWANZA. cheki utofauti wa hizi projects.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dom ni level za Kimataifa sio hizo takataka za Mwanza.
Dom ni level za Kimataifa sio hizo takataka za Mwanza.
Unajitahidi kubadilisha badilisha topics kukwepa hoja 😀😀NiMekaa dodoma miaka 3 ..2018 Hadi 2021 ..mitaa ya miyuji ,na mnada wa zamani ..naijua Dom vizuri sana ..hizo unazosema hotel ni uchwara.. at least Ile hotel iliyojengwa hapo kisasa ,na hii ya morena ,,, Labda kama hii ya jiji ikipata mwekezaji..zingine zote ni takataka na uchafu....
Viwanja vya maana dodoma ni vya kuhesabu ilikuwepo pestana ambayo ilikuwa inategemea wanafunzi wa chuo .corona ilivokuja ikapita nayo baada ya wanafunzi kufunga vyuo .. royal village nayo ipo inasua sua ...bambalaga nayo hamna kitu ....
Kuhusu lami leta picha tuone hizo lami classic mbona sisi tunakupa zetu ...[emoji28][emoji28]
Chuo kipo wilaya ya Kwimba hakipo Mwanza Jiji😀😀 thread hii ni Dodoma Jiji vs Mwanza Jiji eneo la Jiji sio Mkoa.Kuhamisha hamisha magoli ni dalili dhahiri ya kushindwa hoja kubali matokeo tu😂😂😂View attachment 2558307View attachment 2558308View attachment 2558309View attachment 2558310
Mallya sports academy, cheki ubora
Kwenu njombe hupapendi kigagula hayawani wewe😂😂Ujinga huo kawadanganye kwenu senge rema
Kwamba ishu mnaleta humu zote ziko ndani ya dodoma Jiji?Chuo kipo wilaya ya Kwimba hakipo Mwanza Jiji😀😀 thread hii ni Dodoma Jiji vs Mwanza Jiji eneo la Jiji sio Mkoa.Kuhamisha hamisha magoli ni dalili dhahiri ya kushindwa hoja kubali matokeo tu😂😂😂
Ebu ngoja kwanza ni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787] sasa pawe dampo mara ngapi wakati CBD yao inaitwa dampo na kweli dampo.Kweli hichi kijiji cha wavuvi, nyumba zimekaa bila mupangilio yani panaonekana kama dampo vile [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii ndio mwanza ya kuifananisha na Arusha!?
Siyo tu kwamba hayana mpangilio bali hayo magodauni ya pamba hayana hata mvuto achilia mbali ka-cbd kafinyu afu kamezungukwa na uswazi wa mabati katikati ya mji, milimani kushoto na kulia upenyo ni vijinjia vyembamba kama uzi vya kuponyokea jehanamu kuelekea ziwani.UHivyo vijinyumba vimepangana kama maboksi yaliyotupwa dampo [emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli watu wa shamba city wanajidhalilisha Sana ..apo ndio wanaona jiji limekuwa kumbe slams za kushato pako kama dampo vile[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unajua hawa jamaa wanajitowa ufahamu kabisa. Tatizo ushamba umewajaa adi machoni pao wao kila kitu ni kusifiya tu. Ndio maana wasukuma wengi ni mtaji mkubwa kwa wanasiasa wa nchi hii.Siyo tu kwamba hayana mpangilio bali hayo magodauni ya pamba hayana hata mvuto achilia mbali ka-cbd kafinyu afu kamezungukwa na uswazi wa mabati katikati ya mji, milimani kushoto na kulia upenyo ni vijinjia vyembamba kama uzi vya kuponyokea jehanamu kuelekea ziwani.
Mkuu sijadharau iyo maeneo ila unachagua kasehemu kazuri kazuri ndio unapapiga picha 😂😂 ila ukweli unaujua wewe mwenyewe iyo siyo mipangilio inayofaa. Mipango miji wa mwanza Wana feli Sana.Mnaleta picha zinazopigwa na wasiokuwa na Simu utajuaje pako poa hebu angalia palivyo halafu jiulize upo sawa kweli au ndo kushupaza shingoView attachment 2557382View attachment 2557383
Pako hivyo tatizo hata kununua Simu Kali zenye uwezo mkubwa wa kupiga picha hamna.
Elewa thread inasemaje 😀😀😀 tunashindanisha Dodoma CBD vs Mwanza CBD sio Mkoa wa Dodoma vs Mkoa wa Mwanza.Kubaliana na matokeo tu😂😂😂Kw
Kwamba ishu mnaleta humu zote ziko ndani ya dodoma Jiji?
Jamaa wanajitoa ufahamu tu hawataki kukubali matokeo.....hivi kuna Jiji apa East Africa lililopimwa na kupangiliwa miundombinu+ master plan kama Dodoma 😀😀😀Mkuu sijadharau iyo maeneo ila unachagua kasehemu kazuri kazuri ndio unapapiga picha 😂😂 ila ukweli unaujua wewe mwenyewe iyo siyo mipangilio inayofaa. Mipango miji wa mwanza Wana feli Sana.
Yani kumekaa kama uswazi vile kumbe ndio mjini penyewe apo 😀😀😀
Kwa mipango ipi labda iliyopo hapo ....ikiwa tu barabara za mtaani ni shiidaJamaa wanajitoa ufahamu tu hawataki kukubali matokeo.....hivi kuna Jiji apa East Africa lililopimwa na kupangiliwa miundombinu+ master plan kama Dodoma [emoji3][emoji3][emoji3]
😀😀😀barabara ipi ya mtaani ambayo haijapangiliwa ebu tutajie alafu tulinganishe na vichochoro vya Mwanza JijiKwa mipango ipi labda iliyopo hapo ....ikiwa tu barabara za mtaani ni shiida
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukitaka kufika mbwanga ,unaenda Kwa barabara Gani,,,, nkuhungu Chama, kwenda mwatano kule ni mavumbi tu ,,,ihumwa kuelekea mradi wa SGR ,ni matope na mavumbi .[emoji3][emoji3][emoji3]barabara ipi ya mtaani ambayo haijapangiliwa ebu tutajie alafu tulinganishe na vichochoro vya Mwanza Jiji
Unajua kiutawala jiji la Mwanza ni Nyamagana Pekee, ila kieneo jiji la mwanza ni nyamagana na Ilemela. Takwimu za serikali mara nyingi huwa zinahusu halmashauri na hapa ndio hutenganisha Nyamagana na Ilemela kama halmashauri mbili tofauti.NiMekaa dodoma miaka 3 ..2018 Hadi 2021 ..mitaa ya miyuji ,na mnada wa zamani ..naijua Dom vizuri sana ..hizo unazosema hotel ni uchwara.. at least Ile hotel iliyojengwa hapo kisasa ,na hii ya morena ,,, Labda kama hii ya jiji ikipata mwekezaji..zingine zote ni takataka na uchafu....
Viwanja vya maana dodoma ni vya kuhesabu ilikuwepo pestana ambayo ilikuwa inategemea wanafunzi wa chuo .corona ilivokuja ikapita nayo baada ya wanafunzi kufunga vyuo .. royal village nayo ipo inasua sua ...bambalaga nayo hamna kitu ....
Kuhusu lami leta picha tuone hizo lami classic mbona sisi tunakupa zetu ...[emoji28][emoji28]
Wewe mbona kila siku unapost mji wa kiserikali na vile vipagale vya TBAHuna picha zaidi ya hizi? 😆😆 Najua unachokwepa 🤪🤪