Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Acha bangi ,, ukiniletea picha ya Nyerere square kama Kuna crane ,,naleft jamii forum hutaniona Tena humu [emoji3060][emoji3060][emoji205][emoji205]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dodoma mji wenu ni mzuri sana, ila kufikia level ya Mwanza ya Sasa ni miaka 5 ijayo na wakati huo Mwanza itakuwa kwenye next level zaidi
Anyway, huu ndio mji wenu wa Dodoma, nawasaidia kwa picha [emoji28][emoji28]
 
Dodoma hii sehemu ndio mnaita city mall [emoji38][emoji38]

Na barabara ya karibu na hili jengo mnashindwa kufix mashimo mashimo, yaani barabara haitamaniki [emoji38][emoji38]
 
Usisahau daraja la waenda kwa miguu near rock city mall
 
Hii ndiyo miradi tunayotaka sisi ifanyike Dodoma na siyo vile viutumishi house vya kisesa vya nyumba 20 lakini havina occupancy miaka zaidi ya kumi sasa. Wengine kila siku nikuchonga tu mara oh Dodoma nyumba nyingi lakini watu hakuna, we unafikiri kuna kichaa wa kujenga nyumba zaidi na zaidi mahali ambapo demand hakuna.
 
Usisahau daraja la waenda kwa miguu near rock city mall
Siyo hivyo tu kama haitoshi haliwajengea mpaka na nyerere road plaza pale round about ya nyerere ili wapate pakupigia picha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…