Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Hiyo moro yako kaifananishe na manyoni
ukute hata moro hujafika ukipita msamvu unahisi umefika moro town , kiufup moro town na dodoma , moro pako juu kitambo sn , ni ulimbuken wenu wa rami na stand mpya ( moro wanayo kitambo )
 
ukute hata moro hujafika ukipita msamvu unahisi umefika moro town , kiufup moro town na dodoma , moro pako juu kitambo sn , ni ulimbuken wenu wa rami na stand mpya ( moro wanayo kitambo )
Usiharibu uzi, watu watakucheka bure.. Nakwambia hivi moro town yoote imezidiwa miundombinu na chuo cha udom kuanzia majengo mpaka barabara sasa kama unabisha leta hoja ya kupinga
 
ukute hata moro hujafika ukipita msamvu unahisi umefika moro town , kiufup moro town na dodoma , moro pako juu kitambo sn , ni ulimbuken wenu wa rami na stand mpya ( moro wanayo kitambo )
Rami ndio nini??
 
Mpaka vituo vya afya pia mnashindanisha du hizi ni level za mamlaka ya miji midogo
 
ukute hata moro hujafika ukipita msamvu unahisi umefika moro town , kiufup moro town na dodoma , moro pako juu kitambo sn , ni ulimbuken wenu wa rami na stand mpya ( moro wanayo kitambo )
Mh yani moro nayo ni yakulinganisha na dom kweli?,moro kuna nini cha mno
 
Nimepapenda, rangi ya bati zote zinafanana safi sana na hii inpendezesha sana mji, unakuta maeneo mengine bati ni za kutu, mara meupe mpaka yanaumiza macho.
Acha kuipondea mbeya [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…