Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Gorofa 4 ni za kulingishia ndani ya Jiji? Bariadi watalingisha nini Sasa..
Jiji la mang'ombe waporipori [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Visit MWANZA
haters watasema ni Mauritius [emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
IMG-20230405-WA0020.jpg
IMG-20230405-WA0013.jpg
IMG-20230405-WA0011.jpg
 
Dom City Population has grown from mere 400k in 2012 to more than 765k in 2022 and still rapidly counting,olmost two fold.

Siku Manispaa ya Chamwino ikitangazwa Dom City ( including Chamwino MC) as a whole itakuwa na Wakaazi more than 1 million.

Kwa Sasa Kuna kata kibao ziko Nje ya Mipaka ya Jiji lakini generally ziko Jijini kama Chamwino yenyewe,makulu nk.

Mwanza mpo? Kumbuka population ya Dom Ina purchasing power kubwa sio sawa na wale watu wenu maskini.
Screenshot_20230416-050504.jpg
 
Dom City Population has grown from mere 400k in 2012 to more than 765k in 2022 and still rapidly counting,olmost two fold.

Siku Manispaa ya Chamwino ikitangazwa Dom City ( including Chamwino MC) as a whole itakuwa na Wakaazi more than 1 million.

Kwa Sasa Kuna kata kibao ziko Nje ya Mipaka ya Jiji lakini generally ziko Jijini kama Chamwino yenyewe,makulu nk.

Mwanza mpo? Kumbuka population ya Dom Ina purchasing power kubwa sio sawa na wale watu wenu maskini.View attachment 2590535
Ivi unajua ukubwa wa eneo la Dom city?, yaani ni eneo kubwa ambalo limebeba Vijiji na Mapori ya kutosha ndo mana idadi ya watu ni kubwa ila kiuhalisia wakichukuna Urbanised area inawatu wachache sana
 
M
Najua ni mara chache sana watu kuizungumzia Dodoma kwa sababu wanai-underrate nakudhani kuwa Dodoma imelala ukweli mchungu ni kuwa kwa kasi ya ukuaji wa mji huu kuna majiji mengi nchini yajiandae kukabidhi crown very soon akiwemo mbabe Mwanza ambaye so far bado anahold title la jiji kubwa after DSM wakati DOM yeye akishikilia title la jiji la Kisasa zaidi after DSM hayo ndo maoni yangu utaki leta evidence kuwa MWANZA CBD nizaidi ya DODOMA CBD

Hivyo kwa heshima ya Dodoma mpya na ya kisasa ambayo kwa mtizamo wangu binafsi inaichapa Mwanza 3-0 kwenye ukubwa wa City Center (CBD)

Kuanzia majengo mengi ya ghorofa, ukisasa, mpangilio, bustani na round about nzuri, purchasing power (vitu bei ni juu na watu wana-afford) ndiyo maana mabasi makali na ghali mengi uanzia safari zake hapa kuelekea Dar nasiyo vinginevyo.

Kingine Dodoma CBD bado inakuwa kila sekunde mijengo inazidi chepushwa tena project za maana, ila Mwanza CBD haina jipya sana zaidi ya soko linalojengwa pale hamna kingine chakutarajia kwa sasa, kinachoiangusha Dodoma CBD ni ubaya wa soko lake kuu la majengo(ombi langu kwa mamlaka husika walifanyie mpango wa maboresho linafubaza jiji) ila kwingine huko kote ni fire.

CBD ya Dodoma inaichapa mwanza upande wa barabara za lami, private cars na magari ya kifahari,mandhari ya kimjini mjini kama ni mgeni ukiwa mazengo ukajichanganya majengo huko kwa kina vunja bei bila kusahau uhindini n.k wawezadhani uko kariakoo ndogo, Dodoma CBD ina city vibes ukilinganisha na mwanza CBD.

MADHAIFU:
I. Ukarimu na kauli za kibiashara(customer care) ni "F"

II. Usafi ni "F'' mifereji inanuka vinyesi plus taka zinatupwa tu ovyo na hakuna hatua yeyote inachukuliwa mara mia na halmashauri ya manispaa ya Singida.

III. Upande wa Mahoteli na viwanja nawapa "D" demand bado nikubwa kuliko kilichopo, ukiiondoa Morena ambayo nayo ni yakawaida sana bado hakuna hotel za maana.

IV. Hali ya hewa ya vumbi la kuwasha macho, ukame na unusu jangwa, hata kama umetupia nguo mpya na Kali vipi zinaappear zimefubaa nakupaukiana achilia mbali baridi kali usiku. (Tushirikiane wote kuakikisha Sera ya Dodoma ya kijani inatekelezwa kwa vitendo)

V. Shida ya MAJI hapa usishangae chumba kimoja kikilipiwa 15k na kingine kinachofanana nacho kwa kila kigezo kikilipiwa 30k kumbe kigezo ni kimoja kina maji na kingine hakina. Jamani SERIKALI timizeni majukumu yenu mruhusu jiji hili lifunguke zaidi na likuwe maana kikwazo kikuu ni hiki kabla ya vingine.

But all in all ukiondoa mapungufu hayo machache, mwanza CBD inakalishwa benchi kipindi cha kwanza cha mchezo hata kabla ya kipyenga cha mwamuzi kuamuru game lianze.

TAKE HOME
Ninachoipendea Dodoma; UZALENDO kwani karibia asilimia 95 ya majengo yote, mabango na mapambo CBD lazima neno DODOMA litaappear unlike mwanza na sehemu zingine za Tanzania hii.
Mwanza CBD iko wapi. usilinganishe vitu visivyolingana. Mwanza nia squater tu
 
vitu kama hivi vinajengwa Kwenye majiji ya million+ population...sio vizizi vinavyojiita jiji..
Mgeni Mpya huyu .... soon ujenzi unaanza.. endeleeni kusubiri frame za NHC [emoji1787][emoji1787][emoji116]View attachment 2592344View attachment 2592345View attachment 2592346View attachment 2592349

Sent using Jamii Forums mobile app
Uwekezaji mwanza ni mkubwa, WanaMwanza kazi yao ni kushusha Vitu, Barabara na Miundombinu ni kazi ya Serikali. Confirmed private projects
FB_IMG_1681764803218.jpg
FB_IMG_1681764806842.jpg
FB_IMG_1681764799935.jpg
FB_IMG_1681764704202.jpg
 

Attachments

  • FB_IMG_1681764701501.jpg
    FB_IMG_1681764701501.jpg
    38.4 KB · Views: 13
  • FB_IMG_1681764794682.jpg
    FB_IMG_1681764794682.jpg
    45.5 KB · Views: 12
  • FB_IMG_1681764797019.jpg
    FB_IMG_1681764797019.jpg
    43.7 KB · Views: 10
  • FB_IMG_1681764699381.jpg
    FB_IMG_1681764699381.jpg
    32 KB · Views: 13
Back
Top Bottom