ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Wewe umeanza kuwa mpumbavu kama kile nilicho ki ignore,ukiendelea na huu ujinga nitaku blacklist..Soma hyo [emoji1787][emoji12][emoji12][emoji12]View attachment 2578862
Huu ni wivu Sasa ,mbona hamleti project za Mwanza ambazo sio za Serikali?Dodoma tumechoka na project zenu za serikali.
Ko unanitishia kuniblack list Mimi [emoji1787][emoji1787].you can go ahead.halafu naona umenishau nilikuwa nakuchek tu hizi wiki unavyojitutumua kupost picha zako feki na hoja zako mlenda mlenda ....Wewe umeanza kuwa mpumbavu kama kile nilicho ki ignore,ukiendelea na huu ujinga nitaku blacklist..
Sasa hapo.kuna nini Cha maana? Ndio uwanja changamani huo ulio.post?
Hilo jengo la serikali hapo juu huku linajengwa na michango ya wanachi wa MwanzaππHuu ni wivu Sasa ,mbona hamleti project za Mwanza ambazo sio za Serikali?
Dom View attachment 2578869View attachment 2578871
Punguza makasiriko mwanza sio size yenu kwasasa tunataka kufukuzana na hong kongππWewe umeanza kuwa mpumbavu kama kile nilicho ki ignore,ukiendelea na huu ujinga nitaku blacklist..
Sasa hapo.kuna nini Cha maana? Ndio uwanja changamani huo ulio.post?
Mnatia huruma sana, yaani unamlingishia render ya gorofa 4?Hilo jengo la serikali hapo juu huku linajengwa na michango ya wanachi wa Mwanzaππ
View attachment 2578992
Mji wa hovyo sana huo,not liveable kabisa mnaishije kwenye mave,hakuna mitaa Wala ustaarabu..Punguza makasiriko mwanza sio size yenu kwasasa tunataka kufukuzana na hong kongππ
View attachment 2578994View attachment 2578995View attachment 2578996
What a beautiful cityMji wa hovyo sana huo,not liveable kabisa mnaishije kwenye mave,hakuna mitaa Wala ustaarabu..
Makelele yoote kumbe kimji chenyewe sawa na Singida View attachment 2579054View attachment 2579055View attachment 2579056View attachment 2579057View attachment 2579058View attachment 2579059
Disorganized ,poor skyline and shanghalabaghala ndio beautiful kwenu harafu haieleweki wapi ni posh areas wapi ni Kwa maskini.ππππWhat a beautiful city
Mimi npoweka render sinaga mbamba mbamba ujenzi unaendelea na wapo 3rd floor hapo maeneo ya buzuruga nitaleta picha humu, na hilo jengo si la serikali kama wanayojengewa dodoma huku mwanza ni nguvu za wananchi wazalendo wa jiji tukufu la Mwanza.Mnatia huruma sana, yaani unamlingishia render ya gorofa 4?
Japo ni picha za mwaka 2019, bado zipo vizuri haya leta cbd ya dodoma au arusha au mji wowote nje ya Dar yenye muscles kama mwanza.Mji wa hovyo sana huo,not liveable kabisa mnaishije kwenye mave,hakuna mitaa Wala ustaarabu..
Makelele yoote kumbe kimji chenyewe sawa na Singida View attachment 2579054View attachment 2579055View attachment 2579056View attachment 2579057View attachment 2579058View attachment 2579059
Eti igoma.....ko ukitumwa poshy area za mwanza utapeleka igoma,,,,,Disorganized ,poor skyline and shanghalabaghala ndio beautiful kwenu harafu haieleweki wapi ni posh areas wapi ni Kwa maskini.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Yaani Dom Iko mbele sana Kwa Mwanza,imagine huko igoma ndiko Kwa matajiri wenu na kuko hovyo full of mavumbi na vijumba vya kawaida [emoji12][emoji12]
Igoma haipo hata kwwnye 20 best neighbourhood za Mwanza, hiyo haina tofauti na uswazi wa mabatini na igogo.Disorganized ,poor skyline and shanghalabaghala ndio beautiful kwenu harafu haieleweki wapi ni posh areas wapi ni Kwa maskini.ππππ
Yaani Dom Iko mbele sana Kwa Mwanza,imagine huko igoma ndiko Kwa matajiri wenu na kuko hovyo full of mavumbi na vijumba vya kawaida ππ
Posh area ya dodoma ni wapiDisorganized ,poor skyline and shanghalabaghala ndio beautiful kwenu harafu haieleweki wapi ni posh areas wapi ni Kwa maskini.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Yaani Dom Iko mbele sana Kwa Mwanza,imagine huko igoma ndiko Kwa matajiri wenu na kuko hovyo full of mavumbi na vijumba vya kawaida [emoji12][emoji12]
Unataka iwapange vipi watu wa mlimani pale igogo na mabatini na kilimahewa, tusaidie.Serikali imeharibu sana Mji wa Mwanza Kwa kuacha ujenzi holele Kwa jinsi inavyoonekana walau ingepangika kama Dom mngetisha sana.
Unfortunately maeneo mazuri yote ndio Yako hovyo na yameharibu kabisa taswira ya Mji Hadi aibu na huruma Juu.
Majengo, nyamhongolo, buswelu, ibanda n.k naongezea tuEti igoma.....ko ukitumwa poshy area za mwanza utapeleka igoma,,,,,
Capripoint, isamilo, bwiru,nyasaka,mwananchi ,utaziita nin ..we si ulisema unakuja mwanza kiliishia wapi [emoji16] au nauli
Hata dodoma yenyewe anaijua.Posh area ya dodoma ni wapi
Dodoma imepangika wapi ,,,,,leta picha za maili mbili , chang'ombe,mnada Mpya , nkuhungu,kizota ,tuone palivyopangika[emoji16][emoji16][emoji16]Serikali imeharibu sana Mji wa Mwanza Kwa kuacha ujenzi holele Kwa jinsi inavyoonekana walau ingepangika kama Dom mngetisha sana.
Unfortunately maeneo mazuri yote ndio Yako hovyo na yameharibu kabisa taswira ya Mji Hadi aibu na huruma Juu.
Gorofa 4 ni za kulingishia ndani ya Jiji? Bariadi watalingisha nini Sasa..Mimi npoweka render sinaga mbamba mbamba ujenzi unaendelea na wapo 3rd floor hapo maeneo ya buzuruga nitaleta picha humu, na hilo jengo si la serikali kama wanayojengewa dodoma huku mwanza ni nguvu za wananchi wazalendo wa jiji tukufu la Mwanza.