Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Dodoma kufikisha watu milioni isahau ... tayari imeshafikia kwenye peak ... growth rate inaanza kudrop

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanza wanatafuta pa kutokea Kila wakiona Dom inavyokimbia Kwa Kasi
Nipo dodoma kwa vacation, hili jiji la dodoma linakimbia sio poa, lakini kwa Mwanza bado ni watoto wadogo, japo wamejitaid sn kwenye barabara za lami na usafi wa miji, niliacha mitaa ya ilazo haina lami yaan kulikuwa na vumbi sio poa, mji umetanuka wakati zaman martin Luther school ilikuwa imezungukwa na mapori.
 
Dodoma inakuwa sana tena sana kwa kasi yake hakika inatishia miji mikubwa hapa EA.
N.B serikali tunawaomba muiangalie Mwanza nayo inastahili kupata miradi mikubwa ya barabara na miundombinu ya kisasa kama ilivyo Dar na Dodoma.
 
Dodoma inakuwa sana tena sana kwa kasi yake hakika inatishia miji mikubwa hapa EA.
N.B serikali tunawaomba muiangalie Mwanza nayo inastahili kupata miradi mikubwa ya barabara na miundombinu ya kisasa kama ilivyo Dar na Dodoma.
Dodoma kufikisha watu milioni isahau ... tayari imeshafikia kwenye peak ... growth rate inaanza kudrop

Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa Yako hapo Juu anabishana sijui na figures au ikoje..

Growth rate ya Dom ni 3.9 hata ukisema itashuka labda iwe kwenye average ya Taifa ya 3.2 Bado ukifnya calculations baad ya miaka 10 Yani by 2032 Dom itakuwa na Population ya zaidi ya 1M..

Sasa huyo anayesema imefika peak sijui peak gani maana Dodoma imekuwa ni Miji Mikubwa kitambo,Toka 2012 ilikuwa zaidi ya Mbeya na Arusha ikiwa na watu zaidi ya 400k na hapo Serikali ilikuwa ni kama Haina Mpango wa kuhamia..

Sasa baada ya kuwa rasmi Makao Makuu ya Serikali ndio itazidi kukua zaidi..
 
Dodoma haijawahi kuwa zaidi ya arusha mwaka 2012

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dodoma haijawahi kuwa zaidi ya arusha mwaka 2012

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…