The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Akina nani wananionea, kwani ukiwa mgogo ndio unaonewa?wanakuonea kwa vile wewe ni mgogo..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akina nani wananionea, kwani ukiwa mgogo ndio unaonewa?wanakuonea kwa vile wewe ni mgogo..
Maskini Sana kulinganisha na Dodoma City,the Capital City of TznSasa sehemu masikini inakuwaje ya Pili kwenye kuchangia Pato la taifa?
Muulze ndugai alisema hayoAkina nani wananionea, kwani ukiwa mgogo ndio unaonewa?
Mimi sio NdugaiMuulze ndugai alisema hayo
Najua wewe ni mgogo.Mimi sio Ndugai
Kwa hiyo ukijua mimi mgogo?Najua wewe ni mgogo.
Tofauti ipo Kati ya Dom na Mwanza.Ukitoa majengo ya serikali na ofisi za kiserikali, ni nini tofauti kati ya Dodoma na singida?
Kama unaakili zako huwezi kulialia uheshimiwe,Kwa hiyo ukijua mimi mgogo?
😀😀😀😀😀 Ma weeeSafi sana ata mimi huwa najifikiri kuhusu hii kitu nazidi kuwaza muda mwingine naona wakazi karibu wote wa Dodoma ni maskini ndo maana hakuna project za mtu binafsi au taasisi kwasababu kila kitu wanajengewa na serikali iwe makazi ya kuishi, hotel etc je siku hizi miradi ikiishi dodoma itapata kweli mtu au watuwakuindeleza, Dodoma kwa Mwanza bado wanasafari ndefu, nawapongeza kwa kujengewa miundombinu ya barabara tu wanaweza kuwa better kwa baadae.
Kwani nimekulilia wapi au wewe ndio unajiuliza na kujisemesha humu?Kama unaakili zako huwezi kulialia uheshimiwe,
Ukiona mtu anaelezea kitu namna kilivyo kizuri kwa masaa
kumi ujue hamna uzuri wowote ni zero brain..
Pole sana mgogo.
Mimi siwezi kujadili na wewe omba omba..Kwani nimekulilia wapi au wewe ndio unajiuliza na kujisemesha humu?
Sisi hatuketei render tunakuletea kitu actualNa wewe weka render
Kwamba hujui structures nyingi hapo Dom ziko under construction au ndio staili ya kujifariji? 😂😂Sisi hatuketei render tunakuletea kitu actual
😂😂😂😂 Knock out,hicho kijiji kikashindane na Mbeya na Morogoro,Dom sio size ya Vijijini vya Wavuvi.Mimi siwezi kujadili na wewe omba omba..
Oky!!! Dodoma is the largest city in the World.
🙄🙄 Sisi hatujengewi na Serikali 😝😝😝😝😝View attachment 2081315View attachment 2081317View attachment 2081319View attachment 2081321we mgogo hizo ni baadhi ya projects ambazo zipo mbioni kukamilika