Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Safi sana ata mimi huwa najifikiri kuhusu hii kitu nazidi kuwaza muda mwingine naona wakazi karibu wote wa Dodoma ni maskini ndo maana hakuna project za mtu binafsi au taasisi kwasababu kila kitu wanajengewa na serikali iwe makazi ya kuishi, hotel etc je siku hizi miradi ikiishi dodoma itapata kweli mtu au watuwakuindeleza, Dodoma kwa Mwanza bado wanasafari ndefu, nawapongeza kwa kujengewa miundombinu ya barabara tu wanaweza kuwa better kwa baadae.
😀😀😀😀😀 Ma weee

Screenshot_20220114-165554.png
 
Screenshot_20220114-203325.jpg
Screenshot_20220114-203017.jpg
Screenshot_20220114-203229.jpg
Screenshot_20220114-202948.jpg
we mgogo hizo ni baadhi ya projects ambazo zipo mbioni kukamilika
 
Back
Top Bottom