Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Wapi ndugai..na hapa bado finishing mbona mtasanda[emoji116]
IMG-20230519-WA0011.jpg
 
ChoiceVariable unajihangaisha bure , Mwanza ni Jiji kubwa hapa TZ lina Manispaa mbili , utahangaika sana na kupost sana project za serikali , Mwanza hawategemei serikali , ngoja nikupe mfano : kwanza Brazil mji mkuu wao ni Brasilia umejengwa kiserikali ila maisha yapo Rio de Janeiro na Sao Paulo ,

Pili: Myanmar (Burma) mji mkuu wao ulikuwa Rangoon sasa ni Naypyidaw

Point yangu ni kuwa serikali inaweza kuweka miundombinu hapo kwa mahitaji yake ya sasa ila majiji Toka enzi na enzi yanajengwa na biashara , sasa hapo Dodoma Kuna biashara gani unaweza kufanya labda kuomba omba ! Ndio maana soko la Ndugai liko tupu mpaka Mama alisema wabalidilishie matumizi.

Watu wanatafuta fursa za biashara ndio maana wanakimbilia mijini, nyie biashara zenu za msimu tena wakati wa Bunge , kaa barabarani hapo Dom afu hesabu gari za abiria na mizigo zinapita hapo kwenda Mwanza afu hesabu zinazoishia hapo Dom , ndio maana Dodoma ni njia panda tu.

Hongera kwa picha zako lile bwawa, Mwanza walipewa ziwa bure na Mungu hawahitaji bwawa,

Nasikia jamaa wanapambana kinyama ili treni ya umeme ifanye kazi ili wawe wanarudi Dar jioni .

Hakuna anayetaka kukaa jangwani , mjini mjini tu
 
ChoiceVariable unajihangaisha bure , Mwanza ni Jiji kubwa hapa TZ lina Manispaa mbili , utahangaika sana na kupost sana project za serikali , Mwanza hawategemei serikali , ngoja nikupe mfano : kwanza Brazil mji mkuu wao ni Brasilia umejengwa kiserikali ila maisha yapo Rio de Janeiro na Sao Paulo ,

Pili: Myanmar (Burma) mji mkuu wao ulikuwa Rangoon sasa ni Naypyidaw

Point yangu ni kuwa serikali inaweza kuweka miundombinu hapo kwa mahitaji yake ya sasa ila majiji Toka enzi na enzi yanajengwa na biashara , sasa hapo Dodoma Kuna biashara gani unaweza kufanya labda kuomba omba ! Ndio maana soko la Ndugai liko tupu mpaka Mama alisema wabalidilishie matumizi.

Watu wanatafuta fursa za biashara ndio maana wanakimbilia mijini, nyie biashara zenu za msimu tena wakati wa Bunge , kaa barabarani hapo Dom afu hesabu gari za abiria na mizigo zinapita hapo kwenda Mwanza afu hesabu zinazoishia hapo Dom , ndio maana Dodoma ni njia panda tu.

Hongera kwa picha zako lile bwawa, Mwanza walipewa ziwa bure na Mungu hawahitaji bwawa,

Nasikia jamaa wanapambana kinyama ili treni ya umeme ifanye kazi ili wawe wanarudi Dar jioni .

Hakuna anayetaka kukaa jangwani , mjini mjini tu
Kama ni Jiji kubwa mbona hakuna miundombinu kama Dodoma na Dar?

Ukiwa wa shaghalabaghala sawa,Loosers wa Mwanza mnajifariji sana..

Hizi hapa ni projects za serikali? Tuonyeshe za Mwanza
 
Kama ni Jiji kubwa mbona hakuna miundombinu kama Dodoma na Dar?

Ukiwa wa shaghalabaghala sawa,Loosers wa Mwanza mnajifariji sana..

Hizi hapa ni projects za serikali? Tuonyeshe za Mwanza
Wakati ukiendelea kutuletea NHC ..
private investors wanamalzia apartment zao ..[emoji116]
Capri one apartments
IMG-20230520-WA0006.jpg
JamiiForums-1370329704.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii nchi ya ovyo sana yaani Mwanza hakuna hata kilometa moja ya lami kwenye hii bajeti ya wizara ya ujenzi na uchukuzi, wakati huo huo Dodoma wanapata zaidi ya kilometa 200+ tena dual carriage asee, tunaitaji utawala wa majimbo ndio tiba wa huu ujinga, tumechoka kuhujumiwa kila mwaka.
 
Kuanzia leo nimemaliza hii battle na dodoma, wenzangu wataendelea nayo kwasasa dodoma ipo too far na second after dar, si kwa miradi hii ya kuvunja chaga.
 
Back
Top Bottom