Kitombile
JF-Expert Member
- Mar 21, 2021
- 6,976
- 7,726
Dodoma umetembea maeneo gani? Ukute hata hiyo dodoma yenyewe huijui.Video ya hiyo slum unaita ibanda Iko wapi? Mbona unaweka kapicha kamoja? 😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dodoma umetembea maeneo gani? Ukute hata hiyo dodoma yenyewe huijui.Video ya hiyo slum unaita ibanda Iko wapi? Mbona unaweka kapicha kamoja? 😁😁
Video ya hiyo slum unaita ibanda Iko wapi? Mbona unaweka kapicha kamoja? 😁😁
Mgonjwa aliyezindua Hospital ametokea Kanda ya Ziwa na aliitwa Mirembe kama yule Mirembe wa mgodini usijitoe ufahamu 🤣🤣🤣🤣
Kuwa na akili hata mara moja moja na usipende kukurupuka katika mambo yao, huyo mirembe alikuwa ni msukuma na alisafiri mpaka dodoma miaka hiyo ya 1920 kusaka mganga maarufu wa kienyeji wa hapo Dodoma, basi alivyofika hapo dodoma wahuni wa miaka hiyo wakamuonesha hapo mirembe ndio yupo mtaalamu kumbe sio, basi toka siku hiyo jina la hospital likabadirishwa na kuitwa Mirembe.Mgonjwa aliyezindua Hospital ametokea Kanda ya Ziwa na aliitwa Mirembe kama yule Mirembe wa mgodini usijitoe ufahamu 🤣🤣🤣🤣
Akina Mirembe mko wengi sana ndio maana kumbe hamna akiliKuwa na akili hata mara moja moja na usipende kukurupuka katika mambo yao, huyo mirembe alikuwa ni msukuma na alisafiri mpaka dodoma miaka hiyo ya 1920 kusaka mganga maarufu wa kienyeji wa hapo Dodoma, basi alivyofika hapo dodoma wahuni wa miaka hiyo wakamuonesha hapo mirembe ndio yupo mtaalamu kumbe sio, basi toka siku hiyo jina la hospital likabadirishwa na kuitwa Mirembe.
Tatizo lako nazani ni la ukoo😂😂😂😂Mgonjwa aliyezindua Hospital ametokea Kanda ya Ziwa na aliitwa Mirembe kama yule Mirembe wa mgodini usijitoe ufahamu 🤣🤣🤣🤣
Huyo mirembe alikuwa ni tajiri wa mifugo na alikuwa amechoka kuibiwa n'gombe na wamasai so akasikia kuna mgogo mganga wa kuzindika mifugo kumbe wauni wa dodoma miaka hiyo wakampeleka chaka mtani wao.Akina Mirembe mko wengi sana ndio maana kumbe hamna akili
Haya mapendekezo yataanza kufanyiwa kazi lini? Mimi sio mtu wa maneno na makaratasi napenda kuona vitendo yaani wakandarasi wakiwa site wakichapa kazi.Mikdde Dodoma itakufa hakuna ujenzi Mpya 😂😂😂😂View attachment 2624862View attachment 2624863View attachment 2624864
Mapendekezo au ni Bajeti ya Wizara ya Elimu mwaka wa Fedha 2023/24?Haya mapendekezo yataanza kufanyiwa kazi lini? Mimi sio mtu wa maneno na makaratasi napenda kuona vitendo yaani wakandarasi wakiwa site wakichapa kazi.
Swali langu hujaelewa na hilo ndio tatizo lako, nimeuliza ni lini hiyo bajeti itaanza kutekelezwa, mimi sio mtu wa siasa.Mapendekezo au ni Bajeti ya Wizara ya Elimu mwaka wa Fedha 2023/24?
Kama huelewi maana ya jambo kuwepo kwenye Bajeti basi Hilo tatizo kawalaumu waliokufundisha ..Swali langu hujaelewa na hilo ndio tatizo lako, nimeuliza ni lini hiyo bajeti itaanza kutekelezwa, mimi sio mtu wa siasa.
Sasa Mwanza iangaike na mabwawa ya maji wakati kuna ziwa victoria, hayo mabwawa nenda kawaringishie watu waarusha.Kama huelewi maana ya jambo kuwepo kwenye Bajeti basi Hilo tatizo kawalaumu waliokufundisha ..
Tunaendelea na Dom,bwawa la Farkwa View attachment 2624888
L[emoji15][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jana kwenye mkutano na wafanyabiashara Kariakoo , Waziri Mkuu kamaliza hili , kataja majiji yote , hakuitaja Dodoma [emoji23][emoji23][emoji23]. Dodoma ni kimji tu , labda washindane na Kahama huko
Ukame town ..[emoji15][emoji1787][emoji1787][emoji1787]