Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Doma desert..[emoji16][emoji16][emoji16]mwasubir msalato airport [emoji16][emoji16]
IMG-20230717-WA0011.jpg
 
Kazi zinaendelea....
Angalizo huu sio mradi wa wizara..au ofisi ya serikali...hii bussines complex...[emoji16][emoji16][emoji1787]..doma desert mtaipata Lin GDP ya mwanza
IMG-20230717-WA0009.jpg
IMG-20230717-WA0004.jpg
 
Mi ni mkazi wa Dodoma ila kiukweli mwanza ni kitu kingine, mji mzuri mnoo sio baridi Wala siyo joto hasa tukizungumzia kuhusu Hali ya hewa!!!
 
Yaani unaamini kabisa Dodoma itaizidi Mwanza wa abiria? Hivi unajua Mwanza ni second buzesty airport in Tz!
Toa upuuzi wako hapa, airport busy Kwa Tanzania ni
Dar
Zanzibar na
Kia

Hizo porojo zenu zingine kadanganyaneni huko vijiweni
 
Toa upuuzi wako hapa, airport busy Kwa Tanzania ni
Dar
Zanzibar na
Kia

Hizo porojo zenu zingine kadanganyaneni huko vijiweni
Lakini Dodoma ndege mara nyingi zinapita sio destination [emoji41][emoji41] yaani ni Mwanza Dar via Dom au Dar Mwanza via Dom [emoji41]
 
Mi ni mkazi wa Dodoma ila kiukweli mwanza ni kitu kingine, mji mzuri mnoo sio baridi Wala siyo joto hasa tukizungumzia kuhusu Hali ya hewa!!!
Kwani hali ya hewa Dodoma kwa sasa ipoje😀😀.Dodoma pia hali ya hewa ni ya wastani sio joto wala sio baridi haina tofauti na Mwanza.

Alafu kwa kuongezea tu hali ya hewa sio kigezo cha kupima ubora wa mji.Hali ya hewa ingekua kigezo cha kupima mji basi Lushoto,Njombe,Tukuyu na Makete zingeshakuwa majiji tayari...😀😀😀
 
Lakini Dodoma ndege mara nyingi zinapita sio destination [emoji41][emoji41] yaani ni Mwanza Dar via Dom au Dar Mwanza via Dom [emoji41]
Ndege ipi hiyo ya Mwanza Dar via Dom....😀😀😀😀
 
Stendi ya daladala ya kisasa.... endeleeni kusubiri TBA ..[emoji91][emoji91][emoji91][emoji116]
IMG-20230718-WA0007.jpg
IMG-20230717-WA0003.jpg
 
Back
Top Bottom