Qualitycontrol
JF-Expert Member
- Mar 10, 2023
- 777
- 498
Sasa hiyo ya Kanisa nayo unahesabu ni binafsi we jamaa vipi[emoji38][emoji38]Si huwa unasema Dom miradi yote ni ya Serikali hakuna wawekezaji binafsi mbona unaruka ruka tena....au na wewe unataka uonekane ilimradi unabishana tu