The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,944
Uswazi πππ,barabara ziko wapi?Mkusanyiko wa mabanda yenye paa nyekundu ... mwanza tushatoka huko ..
Tupo huku ππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uswazi πππ,barabara ziko wapi?Mkusanyiko wa mabanda yenye paa nyekundu ... mwanza tushatoka huko ..
Tupo huku ππ
Upuuzi,leta mtaa amazing kama huu
View: https://www.instagram.com/p/CslMImpNG8p/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
Hivyo Vijiji vyenu mnaita Majiji vije kujifunza DomDodoma mnajenga estate locally sana ,pateni exposure hata hapo dar tu
Hata sio pazuri kabisa! Ungeleta upande wa mji wa serkali Mtumba huko ndo kunavutia kidog!
Weka CBD ya Mwanza tuone kama inavutia ππHata sio pazuri kabisa! Ungeleta upande wa mji wa serkali Mtumba huko ndo kunavutia kidog!
ππWewe mwenyewe unajua kabisa CBD ya Mwanza ni nzuri kuzidi Dodoma ila cha kufurahisha ya Dodoma inaizidi ya kijiji cha Mbeya!
Unajitekenya na kucheka mwenyewe ππππππ
Dom ni zaidi ya CBD just kama Mbeya tuu.Iringa town inaikalisha hii CBD uchwara ya dodoma.
Toka umefika Iringa umesahau kwenu Kwimba ππππHiyo CBD ya dodoma bila ushabiki haiwezi kutoboa kwa Iringa CBD hata kidogo, dodoma bila majengo ya wizara na taasisi ni kama handeni Tanga.
Huu unyama unapatikana Dom pekee yaani ni π₯π₯π₯
View: https://youtu.be/Ys8gKKWny8E?si=PtvGXuhUrZ1XMoVr
Wivu ππKawaida sana
Mara ya mwisho kwenda Dodoma ni mwaka 80 na ngapi?Kilaza kweli wewe hii Dodoma yenye ghorofa mbili iizidi City center ya Mwanza π¨
Hapa kuna ghorofa moja tu jipya nalo ni hotel iliyopo karibu na white house nimeisahau jina owner nadhani ni serikali design mbaya ya kizamani kabisa.
Kwingine hakuna ni vijumba uchafu, ndio maana hata Vunjabei ya Dodoma ni robo ya ukubwa wa ile iliyopo Iringa.
Biashara za oneway na 7/7 zotee zinafungwa kuanzia saa 1 yani saa mbili ni mji unaanza kulala.
Usafiri wa kutoka city center ya wagogo saa tatu ni unabahatisha daladala bajaj ndio wana double bei.
Purchasing power ni ya hovyo wengi ya wanunuzi wa bidhaa za hawa wakoma ni wanafunzi na wafanyakazi wengine ni mandezi tu
Dodoma inajengwa na serkali ndo mnataka kulinganisha na Mwanza inayojengwa na sekta binafsi!Mara ya mwisho kwenda Dodoma ni mwaka 80 na ngapi?
Nionee wivu limji likavu kama hilo.Wivu ππ
Part of Dom the Capital City π₯π₯Nionee wivu limji likavu kama hilo.