ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Sasa Mimi nalaumiwa Kwa lipi? Hao ni Tamisemi π€£π€£Acha dharau penye watu wengi kuna mengi, hata hapo Mwanza ukute nusu ya hao wanafunzi asili yao ni kutoka njombe au mbeya au huko rukwa mmekuja kutuletea vilaza kanda ya ziwa.
Waweke na percentage....kama vijana wanaona dada zao na kaka zao wana degree na wanaishi kama ngedere, wanaona jinsi li elimu la nchi hii lisivyokuwa na tija, pia waona miaka yao itaisha bure wakiwa shuleni wakaona wajiongeze either kwa kuolewa kuliko kuishi kama dada zao waluofika chuoni na kuishia kuwa wadangaji, kaka zao wanashindana kupaka poda na kushikilia remote za tv, acha wapambane maisha ni haya haya wanaweza kupata moja na mbili kuliko kukosa kabisa na miaka inaenda, kama umenielewa sawa usiponielewa najua kilaza kama wewe ni vigumu kunielewa.Sasa Mimi nalaumiwa Kwa lipi? Hao ni Tamisemi π€£π€£
View: https://www.instagram.com/p/CxV_qpjNWdL/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
Endeleeni kuongeza idadi ya wapiga kura wa ccm ππWaweke na percentage....kama vijana wanaona dada zao na kaka zao wana degree na wanaishi kama ngedere, wanaona jinsi li elimu la nchi hii lisivyokuwa na tija, pia waona miaka yao itaisha bure wakiwa shuleni wakaona wajiongeze either kwa kuolewa kuliko kuishi kama dada zao waluofika chuoni na kuishia kuwa wadangaji, kaka zao wanashindana kupaka poda na kushikilia remote za tv, acha wapambane maisha ni haya haya wanaweza kupata moja na mbili kuliko kukosa kabisa na miaka inaenda, kama umenielewa sawa usiponielewa najua kilaza kama wewe ni vigumu kunielewa.
Kati ya Mwanza na huko kwenu mashambani wapi kuna wapiga kura wa ccm, acha vijana waolewe na wengine waingie migodini kutafuta moja na mbili wakipata ndio hao wakina msukuma wabadae, nyie endeleeni kusoma logarithm na historia za mali, songhai na ghana empire ambazo hazina msaada wowote.Endeleeni kuongeza idadi ya wapiga kura wa ccm ππ
Kanda ya Ziwa ndio Ina mbumbumbu wengi.Kati ya Mwanza na huko kwenu mashambani wapi kuna wapiga kura wa ccm, acha vijana waolewe na wengine waingie migodini kutafuta moja na mbili wakipata ndio hao wakina msukuma wabadae, nyie endeleeni kusoma logarithm na historia za mali, songhai na ghana empire ambazo hazina msaada wowote.
Kwamba Hujui kuwa Moshi Kuna viwanda vya Magari?! Au hujui kuwa Arusha Kuna viwanda vya Magari hivi Yale Magari ya Tours unajuaga yanakopimpiwa?! Na sasaivi kuna Magari ya Umeme unajua yanatengenezwa wapi?Acha matusi bhana na ubishi usio kuwa na tija! Hivi huko Kilimanjaro na Arusha mna viwanda vya magari? Mbona hata kwenye biashara mnazofanya hata Wasukuma wanafanya! Kwenu mna mji mmoja tu wa kibiashra ni Arusha wakati Kanda ya ziwa ina mji mikubwa ya kibiashara kama Mwanza na Kahama na wengi wawekezaji ni hao unaowaita kichwani zero!
Wewe hujawahi kuwa serous na maisha mtu yeyote mpambanaji chi hii hawezi kubeza upambanaji wa Wasukuma!
Utakuta Haters wanakwambia eti Dom hakuna maghorofaππ...Udom pekee maghorofa yanaweza kuzidi 100,bado maghorofa ya Magufuli City,bado yale ya karibu na Makulu,bado ya mjini kati,bado ya nje ya mji.
Robo tatu ya pesa zote zinatoka Dodoma Mjini.Alafu mtu anakuja kusema Mwanza ni mkoa mdogo kwa dodoma
Kwani ukitoa Majiji, Mji gani unafua dafu kwa kahama?ππππ Ati kahama?? Hv kwann huwa watu wana-overrate hichi kijiji kilichoc
Morogoro,Iringa,Moshi,Songea, Sumbawanga, Tunduma na Ifakara.Kwani ukitoa Majiji, Mji gani unafua dafu kwa kahama?