ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Mwanza hata habari za ujenzi wa jengo la abiria sisikii, sijui wanampango gani au Mwanza ni very threatening region.Ukubwa wowote wa ndege utatua hapa Msalato-Dodoma Airport
View: https://youtu.be/JDw6g4h5i_M?si=fyvlrVfuo4jn8ch0
Huu uongo siwez kuhamini hapa hakuna vivuko vya hiyo hela songoro anatengeneza kivuko kimoja kwa wastan wa bilion 1, pia hizo pesa ni bora wangeziingiza kwenye barabara kuliko kuliwa na watu.
Una matatizo sio bureHuu uongo siwez kuhamini hapa hakuna vivuko vya hiyo hela songoro anatengeneza kivuko kimoja kwa wastan wa bilion 1, pia hizo pesa ni bora wangeziingiza kwenye barabara kuliko kuliwa na watu.
πππIacha mwanza kama ilivyo,huwezi linganisha mwanza na hako ka mji.Kwanza mwanza ushafika? Au kelele tu
Mkuu mbona unanilazimisha nikubali bilion 67 zimetumika kwenye tuvivuko, je wamejenga vingapi? Na je thamani ya hiyo pesa inaenda na hivyo vivuko?
Jnamuuliza nani wamejenga vingapi kwani wewe hujui kusoma?Mkuu mbona unanilazimisha nikubali bilion 67 zimetumika kwenye tuvivuko, je wamejenga vingapi? Na je thamani ya hiyo pesa inaenda na hivyo vivuko?
Au mnataka kujifichia kwenye mavivuko baada ya kuona hakuna mambo ya msingi mlioyafanya mwanza kwa hawamu hii.
Naona usanii tu japo hawajataja ni vingapi watajenga na wanakarabati vivuko vingapi na vivuko gani? Na gharama kwa kila kivuko ni shilingi ngapi? Hiyo nguvu ya mavivuko muipekeke na kwenye ujenzi wa barabara muhimu ya kenyatta hapo ndio tutaona kweli mpo serious na kutuinua.Jnamuuliza nani wamejenga vingapi kwani wewe hujui kusoma?
Wewe ni kenge,wameandika Juu hapo vivuko 4 unasema hawajatajaNaona usanii tu japo hawajataja ni vingapi watajenga na wanakarabati vivuko vingapi na vivuko gani? Na gharama kwa kila kivuko ni shilingi ngapi? Hiyo nguvu ya mavivuko muipekeke na kwenye ujenzi wa barabara muhimu ya kenyatta hapo ndio tutaona kweli mpo serious na kutuinua.
Punguza jaziba kwahiyo vivuko vinne vinagharimu bilioni 61?Wewe ni kenge,wameandika Juu hapo vivuko 4 unasema hawajataja
Unadhani kivuko ni boxer?Punguza jaziba kwahiyo vivuko vinne vinagharimu bilioni 61?
Kivuko kimoja wastani wa kukijenga ni shilingi ngap? Kwa mkandarasi marine songoro?Unadhani kivuko ni boxer?
Kivuko kimoja wastani wa kukijenga ni shilingi ngap? Kwa mkandarasi marine songoro?