ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Unatoa mapovu badala ya kujibu maswali yangu.Huyu mama na watu wake wameshaanza kutuona sisi ni mambuzi ya kufugwa huu upumbavu si wa kufumbia macho, uwepo wa chelezo unatosha kutengenezea meli, Mwanza hakuna kiwanda cha meli na bado kila siku meli na vivuko vikubwa vinajengwa, leo hii wanataka kuiibia serikali zaidi ya bilion 300 eti kujenga kiwanda cha meli, tunaomba kama mnataka kujenga kiwanda mjenge kiwanda cha magari tuwaone.
Dar imekuwa Dodoma, dodoma ina water bodies siku hiziUnatoa mapovu badala ya kujibu maswali yangu.
Si ajabu Dom inawanywea π₯π₯π₯View attachment 2779676
Acha kuropoka bila ushahidi.Hiyo ni private sector inafanyaHuyu mama na watu wake wameshaanza kutuona sisi ni mambuzi ya kufugwa huu upumbavu si wa kufumbia macho, uwepo wa chelezo unatosha kutengenezea meli, Mwanza hakuna kiwanda cha meli na bado kila siku meli na vivuko vikubwa vinajengwa, leo hii wanataka kuiibia serikali zaidi ya bilion 300 eti kujenga kiwanda cha meli, tunaomba kama mnataka kujenga kiwanda mjenge kiwanda cha magari tuwaone.
Naongelea ujenzi wa kiwanda cha meli unaleta habari za ujenzi wa meliAcha kuropoka bila ushahidi.Hiyo ni private sector inafanya
View: https://www.instagram.com/p/CyTjsydo2D3/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
Umesoma hiyo taarifa? Shipyard unaijua?Naongelea ujenzi wa kiwanda cha meli unaleta habari za ujenzi wa meli
Shipyard ya bilion 300+ bado unachekelea, nini umuhimu wake?Umesoma hiyo taarifa? Shipyard unaijua?
Kamuulize muwekezajiShipyard ya bilion 300+ bado unachekelea, nini umuhimu wake?
Ni pesa za mwekezaji au ni pesa zetu sisi wenyewe, hakuna mwekezaji mpumbavu wa kujenga ligodown la Meli la thamani ya 300+ bilion.Kamuulize muwekezaji
Nidhamu iwepo,Unatoa mapovu badala ya kujibu maswali yangu.
Si ajabu Dom inawanywea π₯π₯π₯
View attachment 2779712View attachment 2779713View attachment 2779714
Jifunze kupostππππNidhamu iwepo,
Dodoma ni makao makuu ya nchi,,
Mwanza ni jiji la pili la kibiashara baada ya Dar es Salaam,,
Arusha ni jiji kuu la kitalii Tanzania.
Hapa ni jiji la Mwanza,
SGR inapita juu kama Dar es Salaam.
Km kadhaa juu kwa juu mpaka station.
Hizi picha tumezichika ,leteni MpyaJifunze kupostππππ
View attachment 2783491View attachment 2783492View attachment 2783493
View attachment 2784939Hizi picha tumezichika ,leteni Mpya
Unatoa mapovu badala ya kujibu maswali yangu.
Si ajabu Dom inawanywea π₯π₯π₯
View attachment 2779712View attachment 2779713View attachment 2779714
Mwaka wa 3 huu Bado mnaleta renders π€ͺπ€ͺView attachment 2784939
View attachment 2784958
Mpya ndo hii sasa, kwani hamkujua kua kuna hii project ya SGR ya juu kwa juu hapa Rock city?View attachment 2784962Mwanza ni juu kwa juu kama Dar tu
Ujenzi umeanza Mwaka huu wa ilo daraja namba mbili kwa urefu ukiacha lile la sgr DarMwaka wa 3 huu Bado mnaleta renders π€ͺπ€ͺ
Picha za ujenzi ziko wapi?Ujenzi umeanza Mwaka huu wa ilo daraja namba mbili kwa urefu ukiacha lile la sgr Dar
Unataka ukazitambikie ili mradi usiishe?Picha za ujenzi ziko wapi?