Ukiweza kujibu hili swali bila kuhamisha magoli ..nalog off JF πππHujajibu swali...umesema ili hoteli iwe na hadhi ya nyota tano inatakiwa iwe na parking kubwa,garden kubwa na comfortability sio ππsasa niambie hizi hoteli za ghorofa apa Posta kwamfano Holiday Inn,Johari Rotana,Golden Tulip,New Afrika n.k parking kubwa na garden kubwa ipo wapiππππ
Sijawahi rudia picha Wala video za Dodoma wewe punda wa bujora.
Dodoma Ina kumbi kubwa 5 za zaidi ya watu 1,000 itakosaje Hoteli?Acha kujidanganya.. dodoma hamna hotel hata ya level ya 4 star
Swali Gani ...Hilo la kijinga Sina muda wa kujibu ....Ukiweza kujibu hili swali bila kuhamisha magoli ..nalog off JF [emoji3][emoji3][emoji3]
Kumbi za harusi au [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Dodoma Ina kumbi kubwa 5 za zaidi ya watu 1,000 itakosaje Hoteli?
Mwanza mna Ukumbi 1 tuu [emoji16][emoji16]
Oh ..kama hizo ni slum ....bas kunywa paracetamol maana maumivu ni makali mno ..na wakati huu sitawaacha mpumueSijawahi rudia picha Wala video za Dodoma wewe punda wa bujora.
Mbona hakuna mitaa naona slums pekee?
Mitaa au Barabara ziko wapi? Mbona za Dom zinaonekana wazi? Toka huko kwenye slums ndio maana unazeeka harakaOh ..kama hizo ni slum ....bas kunywa paracetamol maana maumivu ni makali mno ..na wakati huu sitawaacha mpumue
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Kama hamna barabara vifaa vya ujenzi vilifikaje huko ..... Mwanza raia wana kasi ya ujenzi kuliko serikali kujenga miundombinu..Mitaa au Barabara ziko wapi? Mbona za Dom zinaonekana wazi? Toka huko kwenye slums ndio maana unazeeka haraka
Taja kumbi za watu zaidi ya 1000 hapo Mwanza Nje ya Rocky City Mall,Dodoma ziko 4.Kumbi za harusi au [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Huko Dom ilishavuka kitambo ππNew ilemela porshy neighborhood
Dodoma huwezi pata watu wanajenga mansion na apartment za kifahari .ila wakija hapa wanasema DODOMA Inakua na kupendeza Kwa kasi .. kupendeza manyoya au [emoji2][emoji2][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 2981311
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Dodoma ilishavuka huko kitambo sana,Mwanza kazaneni mtakaribia kufika hizi level hapa πKama hamna barabara vifaa vya ujenzi vilifikaje huko ..... Mwanza raia wana kasi ya ujenzi kuliko serikali kujenga miundombinu..
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
This is failure, Mwanza na ukubwa wote huo mapato ya hivyo tuπ€π€π€Mwanza yaichakaza dodoma.. mapato ya ndani
Mwanza city council -bilioni 21
Ilemela -bilioni 17
Jumla =bilioni 39
Ilihali dodoma imekusanya bilion 37View attachment 2980734View attachment 2980735
endelea kukariri matango pori ..Taja kumbi za watu zaidi ya 1000 hapo Mwanza Nje ya Rocky City Mall,Dodoma ziko 4.
Kila Hoteli Ina conference,nataka conferences za watu 1,000 and aboveendelea kukariri matango pori ..
Malaika beach conference center
Meridian park
Kwa tunza beach convention View attachment 2981317View attachment 2981316
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
ππHuna uwezo wa kujibu bora umekiri IQ yako ni ndogo na inawezekana hujawahi kufika Posta...eti elevated parking za ghorofaniππ hoteli kwamfano ya Golden Tulip-City Centre maghorofa pale yamebanana hiyo elevated parking itoke wapi πππSwali Gani ...Hilo la kijinga Sina muda wa kujibu ....
Unless you bring enough evidence ya kuwa hilo chaka ni hotel ya 5star ..
Hizo hotel za posta Zina underground parking na zingine Zina elevated parking za ghorofani...
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Aliyekuambia re meridian ni hotel nani .au aliyekuambia Kwa tunza beach ni hotel naniKila Hoteli Ina conference,nataka conferences za watu 1,000 and above
Kwa hyo golden tulip na Holliday inn five star.. jitahidi kuficha ujinga wakoππHuna uwezo wa kujibu bora umekiri IQ yako ni ndogo na inawezekana hujawahi kufika Posta...eti elevated parking za ghorofaniππ hoteli kwamfano ya Golden Tulip-City Centre maghorofa pale yamebanana hiyo elevated parking itoke wapi πππ
Kwa hyo tukusaidiejeThis is failure, Mwanza na ukubwa wote huo mapato ya hivyo tuπ€π€π€
Kwa hiyo hamna kumbi kubwa ππAliyekuambia re meridian ni hotel nani .au aliyekuambia Kwa tunza beach ni hotel nani