Duh hii miundombinu inaenda kupunguza speed ya ukuwaji wa baadhi ya majiji nchiniLakini sio Mali ya Mkoa wa Mwanza.
Kwa Sasa Serikali Iko mbioni kuanza kujenga Sgr ya Tanga-Arusha-Musoma ,sijui Mwanza mtasalia na nini maana biashara zitahamia Musoma.
Moja ya neighborhood ya ajabu Dodoma ni nyumba 300 aseeUkimwambia alete aerial photography za hiyo mitaa anaanza habari maelezo
Hqdi huruma...πππ
Umefufuka? πππππHiyo Re meridian ni nini kama sio ukumbiπππ
Dom jirani wa Nyanda za Juu Kusini anawakilisha vyema.
Mada ni Dom City vs Mwanza City na sio Vijiji vyenu vya Koromije.Picha za hvi vijiji ziko wapi
Mada ni Dom City vs Mwanza City na sio Vijiji vyenu vya Koromije.
Dom ππ naona uswazi take away πππ... dodoma is a growing trashView attachment 2987384
Nini Sasa,huko si Kwa vile camera haijweza ku zoom,unataka ujifariji kwamba Dom Ina uswazi kama Mwanza si ndio? ππ
Unachekesha sana aisee unataka kulinganisha Mwanza na Dom kwenye suala la apartments mbona ni mbingu na ardhi.Umewahi kujiuliza Mabalozi na Diplomats wote waliopo Dodoma wanaishi kwenye apartments zenye level ganiππ.Hapo bado sijakutajia waturuki wanaojenga SGR.Dodoma ni poor ...mkinileteA apartments zinazopangishwa Kwa zaidi ya milioni 1 Kwa mwezi nitaamini dodoma inaizidi mwanzaView attachment 2987289
ππDom mitaa ambayo unaweza kuona uswazi typical haizidi minne Mkalama Makulu,Chaduru na baadhi ya maeneo ya Changombe basi na licha ya uswazi bado viwanja vyote vimepimwa, vinamilikiwa kwa Hati(legally),mapaa ya nyumba yote yana rangi moja (according to mtaa) na barabara zinafikika huko hata kama yakitokea majanga ya moto sasa ukifika Mwanza kuanzia nyuma ya Nyegezi tu hadi Milimani Nyamagana yote ni full uswazi ,vijumba vimejengwa ovyoovyo yaani pathetic kabisa sijui idara ya mipangomiji inafanya nini pale(kumbuka Mwanza imepewa hadhi ya Jiji tangu mwaka 2000 πππ)Nini Sasa,huko si Kwa vile camera haijweza ku zoom,unataka ujifariji kwamba Dom Ina uswazi kama Mwanza si ndio? ππ
Acha assumption...leta price... apartment yenye gharama ya milioni 1 plus..kama kweli mnajiweza .... MWANZA hatuna porojo Huwa tunapiga kwenye mshonoUnachekesha sana aisee unataka kulinganisha Mwanza na Dom kwenye suala la apartments mbona ni mbingu na ardhi.Umewahi kujiuliza Mabalozi na Diplomats wote waliopo Dodoma wanaishi kwenye apartments zenye level ganiππ.Hapo bado sijakutajia waturuki wanaojenga SGR.
Hakuna mji wowote apa Tanzania unaoisogelea Dom kwa demand ya Apartments especially baada ya serikali kuanza kuhamia rasmi tangu 2016.ππ
https://www.facebook.com/
View: https://m.facebook.com/watch/?v=872046349841773&vanity=EstateLinkTanzaniaHotel apartment, suits, restaurant, lodge on Instagram: "One night for only 100,000 Tsh. (Full apartment)"
8 likes, 2 comments - maravilla_homes on December 13, 2023: "One night for only 100,000 Tsh. (Full apartment)".www.instagram.com KING CITY APARTMENT FOR RENT DODOMA| Kupatana.com
A new well furnished apartment in Area C And kilimani,three&Two bedrooms,all are master, a very nice sitting room,kitchen,dinning and public washroom,with ...www.google.com
Haya zoom ili tucheke hayo mabanda ya nguruwe ...Dom slumNini Sasa,huko si Kwa vile camera haijweza ku zoom,unataka ujifariji kwamba Dom Ina uswazi kama Mwanza si ndio? ππ
ππππ¨Haya zoom ili tucheke hayo mabanda ya nguruwe ...Dom slum
Vya dodoma vimeisha .. umeanza kukopa mbeya ...unganeni majiji yote ili mpambane na the mighty MWANZA
Dodoma ni tawi la Nyanda za Juu Kusini,wanaoendesha uchumi hapo Dom ni wakazi wa Njombe,Iringa na MbeyaVya dodoma vimeisha .. umeanza kukopa mbeya ...unganeni majiji yote ili mpambane na the mighty MWANZA
Mwaka lazima useme ..ππππ eti tawi la nyanda za juuu....Dodoma ni tawi la Nyanda za Juu Kusini,wanaoendesha uchumi hapo Dom ni wakazi wa Njombe,Iringa na Mbeya
Dodoma ni tawi la Nyanda za Juu Kusini,wanaoendesha uchumi hapo Dom ni wakazi wa Njombe na MbeyaVya dodoma vimeisha .. umeanza kukopa mbeya ...unganeni majiji yote ili mpambane na the mighty MWANZA
Kumbe hutaki au? πππMwaka lazima useme ..ππππ eti tawi la nyanda za juuu....