πππ..amkeni amkeni ...Kuna porojo zingine huku....kama hotel nyota Tano ni vile vijumba vya pale mipango miyuji jirani na maisha plus ..bas Ryan bay au tilapia ni nyota 10Kusanyeni takataka zenu zote ila Hamtakaa mfikie level hizi za Dom.
Another 5 Star Hotel in Dodoma City π
View: https://www.instagram.com/reel/C608BPmMMRQ/?igsh=MWk5MjNvMTQzZGk0dQ==
Wenzio tunaongea Kwa ushahidi wewe unasema uchizi hapqNarudia tena Mwanza inachozidi Dom ni population tu(wasukuma hawanaga uzazi wa mpango wanazaliana sanaπππ).Hotels,Apartments,Conference Centers,recreational centers Mwanza haifiki hata nusu ya Dom ya sasa(na bado Dom inaendelea kupaa kwa kasi ya kimbunga).
Onyesha vijumba vya Mwanza acha upuuziπππ..amkeni amkeni ...Kuna porojo zingine huku....kama hotel nyota Tano ni vile vijumba vya pale mipango miyuji jirani na maisha plus ..bas Ryan bay au tilapia ni nyota 10
Mwanza ni lini mtafikia level hizi? ππWenzio tunaongea Kwa ushahidi wewe unasema uchizi hapq
Karakana zinajengwa Kila mkoa acha ujingaMwanza ni lini mtafikia level hizi? ππ
View: https://www.instagram.com/p/C6zFITitluy/?igsh=MW12ZHJsMDVoaWE2cw==
Kusanyeni takataka zenu zote ila Hamtakaa mfikie level hizi za Dom.
Another 5 Star Hotel in Dodoma City π
View: https://www.instagram.com/reel/C608BPmMMRQ/?igsh=MWk5MjNvMTQzZGk0dQ==
Ziko wapi? Mzee wa facts unabwabwaja bila ushahidi?. Eti apartments mara hotel mbona mnaota mchanaNarudia tena Mwanza inachozidi Dom ni population tu(wasukuma hawanaga uzazi wa mpango wanazaliana sanaπππ).Hotels,Apartments,Conference Centers,recreational centers Mwanza haifiki hata nusu ya Dom ya sasa(na bado Dom inaendelea kupaa kwa kasi ya kimbunga).
Hii ni hotel au apartments πππππ *****. 5 star hotel kudadekiππππππ..amkeni amkeni ...Kuna porojo zingine huku....kama hotel nyota Tano ni vile vijumba vya pale mipango miyuji jirani na maisha plus ..bas Ryan bay au tilapia ni nyota 10
Leyshoff hotel π₯π₯π₯
View attachment 2988259
Unatuletea story ambazo kila mahala zipo. Hatushindanishi maneno humu.Mwanza ni lini mtafikia level hizi? ππ
View: https://www.instagram.com/p/C6zFITitluy/?igsh=MW12ZHJsMDVoaWE2cw==
Watu wa dodoma ni washamba kuanzia raia mpaka media zao ...ukikiona hicho kieneo anachosema nyota Tano .. unaweza zimia Kwa kicheko ...Hii ni hotel au apartments πππππ *****. 5 star hotel kudadekiπππ
Wao ndio wameanzisha hotel ..ngoja tutulie kwanzaView attachment 2988278View attachment 2988279View attachment 2988280
Waongezee hizo picha za leyshof hotel japo sikupenda tuingie kwenye hotel ihali apartments tu hatujamaliza. Kwenye hotel waichukue mbeya na njombe tuwachape mapema tu.
πβ¨οΈmkuu mji una vumbi balaaaa
Tutawachakaza vibaya mno. Wafiche aibu zao huko kama Wana ubavu tunawakaribishaWao ndio wameanzisha hotel ..ngoja tutulie kwanza
Hivi wewe jamaa umewahi kukanyaga hata maramoja Dom au tunabishana na mtu anayetegemea google na pichaππ.Unataka kuniambia hata huko ulipo hujawahi kuzisikia hoteli hizi maarufu DomππZiko wapi? Mzee wa facts unabwabwaja bila ushahidi?. Eti apartments mara hotel mbona mnaota mchana
Mwanza kuna media zipi zinazoizidi DodomaπππWatu wa dodoma ni washamba kuanzia raia mpaka media zao ...ukikiona hicho kieneo anachosema nyota .. unaweza zimia Kwa kicheko ...
Nyota wanadhani ni makalio
Hujasema kwa idadi hii tu mtatapika damuHivi wewe jamaa umewahi kukanyaga hata maramoja Dom au tunabishana na mtu anayetegemea google na pichaππ.Unataka kuniambia hata huko ulipo hujawahi kuzisikia hoteli hizi maarufu Domππ
-St Gaspar
-Best Western City Hotel
-Morena
-Royal Village
-Esperanza
-Ambassadors
-Midlands
-African Dreams
-Golden Crown
-DS
-Dm
-Dodoma Grand
-Dodoma Hotel
- Rafiki Dodoma Hotel
-Verde View
-Nasheera
-Vizzano