ππMwanza waitoe wapi mitaa yote uchochoro mtupu. Hapo Itega Dom ni balaa asilimia 99 ni maghorofa tupu tena yale wanayaita "new fashion"...nyumba ambayo siyo ya ghorofa unaitafuta kwa tochiHivi Kwa nini Mwanza hakunaga mitaa mikali ka hii ya Dom hapa π
View attachment 2990498
Yawezekana hujawahi kufika Dodoma labda ππ...hakuna biashara ya maana ya ku trigger uchumi wa Dodoma....ndiyo maana wafanyabiashara wakubwa wanawekeza roborobo....uchumi unaendeshwa na watumishi wa Umma unategemea nini? ambao weekend zote wanakimbilia Town
Mahotel yapi Dodoma??Yawezekana hujawahi kufika Dodoma labda ππ...
-unajua ni kwa jinsi gani "service industry" ilivyo "hot" Dom kuanzia mahoteli,sehemu za starehe,migahawa,maduka,vyakula n.k
-Sio kweli kwamba watumishi wa umma kila weekend wanarudi mikoani kwao hizo ni stori za vijiweni kwa idadi ya watumishi wa umma waliohamia Dom nadhani yangehitajika mabasi yote Tanzania kwenda kuwabeba na kuwarudisha huku Dar kila weekend kama ingekua kweliππ
-Uchumi wa Dodoma unachagizwa na makundi mbalimbali sio watumishi wa umma pekee kwamfano sekta moja tu Elimu(vyuo vikuu na vyuo vya kati) kuna wanavyuo na staffs karibia lakimbili ambapo hii ni karibia robo ya wakaazi wote wa Jiji .
-Sekta nyingine ni kilimo kwamfano ikifika msimu wa zao la Zabibu utakuta Wakenya wamejazana Dom kununua na kusafirisha Zabibu kwenda Kenya. Infact Dodoma ndio "only" supplier wa Zabibu na Wine sio tu Kenya bali ukanda wote wa East and Central Africa.
Viwanda vya nyama ya punda kama hapo Kwa wachinaππsubiri waje kukwambia Dodoma ni kukame,hakuna malisho,hakuna mvua,mifugo haina afya,hakuna greenishπππ.
Cha ajabu sasa Dodoma ndio mkoa pekee wenye viwanda vingi vya Nyama East and Central Africa yoteππ
-TAN MEAT
-KIZOTA
-KWA WACHINA
-NARCO KONGWA
-VETA
Hivi nyie watu wa Mwanza.mna akili kweli? Sasa hapo.kuna tofauti gani na Uyole? ππ
Upuuzi,high density plots ni slums zilizochangamka π€£π€£Twendeni kwa Mtindo huu unatupia Mtaa Dom mnalipa , Akitupia Dom Mwanza wanalipa Maneno mengi wekeni pembeni
NB Slum zipo Kate hivyo tuangalie nani atatoboa kwa maeneo yaliyopangwa vizuliView attachment 2990997View attachment 2991003View attachment 2991004
Ni viwanda pia ,Mwanza hakuna kituViwanda vya nyama ya punda kama hapo Kwa wachina
Huko Mwanza kwenye biashara za maana nileteeni Mitaa yenye Majumba makali kama Dom hapa ππhakuna biashara ya maana ya ku trigger uchumi wa Dodoma....ndiyo maana wafanyabiashara wakubwa wanawekeza roborobo....uchumi unaendeshwa na watumishi wa Umma unategemea nini? ambao weekend zote wanakimbilia Town
Wewe nawe kichwa Kina shida, majumba yako wapi wakati unamuona dalali anahangaika kulitafutia wateja Hilo eneo. Yaani video zako ni za madalali tu halafu unasema eti Kuna majumba.Huko Mwanza kwenye biashara za maana nileteeni Mitaa yenye Majumba makali kama Dom hapa ππ
View attachment 2991866
ππππ¨ Ukisikia hii ujue imepenya.Wewe nawe kichwa Kina shida, majumba yako wapi wakati unamuona dalali anahangaika kulitafutia wateja Hilo eneo. Yaani video zako ni za madalali tu halafu unasema eti Kuna majumba.
Hapa Kuna nyumba zipi Kali sasaππππ¨ Ukisikia hii ujue imepenya.
Onyesha mitaa yenye Majumba makali kama hii ya Dodoma Wacha longolongo maana mumetujazia slums tuu ππ
View: https://youtu.be/g6CjIuAv_2Y?feature=sharedView attachment 2992064View attachment 2992065View attachment 2992066View attachment 2992067View attachment 2992068View attachment 2992069View attachment 2992070View attachment 2992071View attachment 2992072View attachment 2992073View attachment 2992074View attachment 2992075
ππππ¨ Ukisikia hii ujue imepenya.
Onyesha mitaa yenye Majumba makali kama hii ya Dodoma Wacha longolongo maana mumetujazia slums tuu ππ
View: https://youtu.be/g6CjIuAv_2Y?feature=sharedView attachment 2992064View attachment 2992065View attachment 2992066View attachment 2992067View attachment 2992068View attachment 2992069View attachment 2992070View attachment 2992071View attachment 2992072View attachment 2992073View attachment 2992074View attachment 2992075
π€£π€£π€£hawawezi na haitatokea wakaonesha picha ya mtaa mzima kwamfano huo uliopangiliwa wa Iyumbu....wanachoweza ni kupost Ziwa Victoria au nyumba moja moja za watu ππππππ¨ Ukisikia hii ujue imepenya.
Onyesha mitaa yenye Majumba makali kama hii ya Dodoma Wacha longolongo maana mumetujazia slums tuu ππ
View: https://youtu.be/g6CjIuAv_2Y?feature=sharedView attachment 2992064View attachment 2992065View attachment 2992066View attachment 2992067View attachment 2992068View attachment 2992069View attachment 2992070View attachment 2992071View attachment 2992072View attachment 2992073View attachment 2992074View attachment 2992075
Unaokoteza kajumba kamoja kamoja kutoka huko uswazi kwani badala uweke mtaa mzima tuone ππView attachment 2992132
Tafuten nyumba za milioni 4 Kwa mwezi kwanza