Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Wewe uwezo wako wa geography ni mdogo sana ndugu ningekushauri ukabishane Facebook πŸ˜†πŸ˜†....kwa taarifa yako beaches zilizopo Matema Beach ni the best apa Tanzania..kwa urefu na usafi.Na hapo bado sijakutajia long beaches za Msimbati ,Mtwara au Mbaba Bay Nyasa.Tuulize sisi ambao tumesafiri mikoa yote ya Tanzania sio takataka hizo za Mwanza,πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚View attachment 2988699View attachment 2988698
Kweli wewe ni pimbi, Njoo tukuzungushe mwanza na viunga vyake acha kusimuliwa kuku wewe, Huko kuna beach gani ya maana naona mapori tu hapo,, leta beach moja wapo iliyopo mjini, Dodoma,
 
Wewe uwezo wako wa geography ni mdogo sana ndugu ningekushauri ukabishane Facebook πŸ˜†πŸ˜†....kwa taarifa yako beaches zilizopo Matema Beach ni the best apa Tanzania..kwa urefu na usafi.Na hapo bado sijakutajia long beaches za Msimbati ,Mtwara au Mbaba Bay Nyasa.Tuulize sisi ambao tumesafiri mikoa yote ya Tanzania sio takataka hizo za Mwanza,πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚View attachment 2988699View attachment 2988698
Hii mialoo ya kuogelea walala hoi ndio unaita beach, unazijua kweli beach wewe?
 
hizo IFM sijui TIA ni vyuo vikuu vilivyo Kwenye mfumo wa taasisi ndio maana hata wanafunzi wake wanapata mkopo na vinaoffer Hadi masters.. kawadanganye wasiojua
Kama hujui kitu ni bora kuuliza kwa "intellectual" tuliokuzidi IQ sio kuja kujiaibisha humu wewe ni layman hujuiπŸ‘‡
Screenshot_20240512-124347.png
 
Kama hujui kitu ni bora kuuliza kwa "intellectual" tuliokuzidi IQ sio kuja kujiaibisha humu wewe ni layman hujuiπŸ‘‡View attachment 2988716
Ndo ujue hizo institute japo haziitwi university ila Zina sifa za university na hata zisipoitwa university miaka 100 ijayo ..na ndiyo sababu ya kusajiliwa na TANZANIA COMMISSION FOR UNIVERSITY (TCU) .hamna chuo kisicho na sifa ya uni kikasajiliwa TCU ...

Massachusetts institute of technology (MIT) .utasema haijafika vigezo vya university kisa ni non university?
 
Hii mialoo ya kuogelea walala hoi ndio unaita beach, unazijua kweli beach wewe?
πŸ˜†πŸ˜†Natumia nguvu kubishana na MEMKWA ambaye hajawahi kusoma physical geography πŸ‘‡πŸ‘‡

noun-BEACH
a strip of land covered with sand, shingle, or small stones at the edge of a body of water, especially by the sea,lake or river between high- and low-water marks.
"fabulous sandy beaches"

Narudia tena beaches bora apa Tanzania zipo Mtwara Mikindani,Matema Beach na Mbamba Bay huko ndio kuna long,natural and unspoiled beaches kamwe Mwanza msijaribu kujisifia πŸ˜†πŸ˜†mngekua kwenye level ya hizo beach labda ndio mngetambia wa Dodoma πŸ˜‚πŸ˜‚pale Malaika Beach penyewe sio natural beach ni artificial beach wamerundika mchanga ndiomana kuna kibao cha kukataza watu kuogeleaπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†.
Siku Mwanza mkipata longest beach kama hiiπŸ‘‡πŸ‘‡...mimi nitahamia Kanda ya ZiwaπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
DSC01518-300x225.png
 
Ndo ujue hizo institute japo haziitwi university ila Zina sifa za university na hata zisipoitwa university miaka
Hujui kitu wewe layman si ndio wewe ulisema mwanzo eti St John's University Dom wamefutiwa kozi za afyaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ nimekuletea ushahidi wa TCU.
Kwa taarifayako IFM,CBE,Tengeru,ISW,DIT walishaomba TCU kupandishwa hadhi ya University na maombiyao yote yalipigwa chini kwasababu vigezo havikutimia.Ardhi University mwanzo ilikua UCLAS(UDSM university college of Land& Architectural Studies) walipokidhi vigezo wakapewa fully fledged University the same as kwa MUST-Mbeya
 
Hujui kitu wewe layman si ndio wewe ulisema mwanzo eti St John's University Dom wamefutiwa kozi za afyaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ nimekuletea ushahidi wa TCU.
Kwa taarifayako IFM,CBE,Tengeru,ISW,DIT walishaomba TCU kupandishwa hadhi ya University na maombiyao yote yalipigwa chini kwasababu vigezo havikutimia.Ardhi University mwanzo ilikua UCLAS(UDSM university college of Land& Architectural Studies) walipokidhi vigezo wakapewa fully fledged University the same as kwa MUST-Mbeya
Nimekuuliza Massachusetts institute of technology Boston ..haijakidhi vigezo vya university kuliko st John dodoma?
 
Mtakimbia tena kama jana, kwenye apartment soon mabomu yanaanza
Hakuna aliyekimbia maana mlianza kuokoteza kajumba kamoja kamoja na madarasa mnaita apartments,Sasa huo ni ujinga , apartments Huwa haziwi hivyo.
 
Mshaanzq kutafuta excuse .... sengerema ipo mkoa Gani ...tunakoelekea utasema tunataka vya nyamagana tu maana ndio MCC ,vya kwingine hutaki . .kipigo kipo palepale
Kumbe unajua 😁😁

Weka hapa video au picha za ujenzi wa Mwanza University 🀣🀣
 
Mhhhh... chai hii.. Dar yenyewe haina ukubwa huo wa kutembea km hizo ndani ya mji
Anza Safari Chamazi kuelekea Msongola,,,Nyoosha kwenda Mvuti then Ufike Chanika mwisho...km 15

Chanika mwisho nyoosha mpaka Pugu then ufike Gongo la Mboto...km 15

Gongo Mboto nyoosha mpaka Airport, kunja kushoto uingie barabara ya kwenda Segerea,ukifika Segerea nyoosha kuitafuta kinyerezi ,then nyoosha mpaka Mbezi stendi ....km 25

Uktitoka Mbezi ingia barabara ya kwenda Goba, ukifika Goba nyoosha mpaka Mbezi shule....Kunja kushoto nyoosha mpaka Africana, nyoosha mpaka Mbuyuni kunja kulia...km 20

Utaingia Kunduchi,nyoosha mpaka utakarbia na Mtongani,,,kunja kulia...nyoosha mpaka utafika kota za polisi,endelea na safari mpaka Kilongawima....fuatiza njia mpaka Jangwani Beach ,nyoosha mpaka utafika Kawe Maringo...nyoosha mpaka mpaka Mikocheni Tanesco.....Km 20

Endelea na hiyo njia mpaka Msasani shule,kunja kushoto, endele mpaka Capetown fish market ,fuatisha na kunja kushoto utafika Masaki hostel za Muhimbili, kunja kushoto na Unyooshe mpaka Masaki Mwisho,Yatch Club na Sea cliff ...nyoosha mpaka Coco beach daraja la Tanzanite....nyoosha na ufukwe hadi Ikulu....km 17

Panda pantone, fika feri, then nyoosha hadi kibada, nyoosha utapita kituo cha chuo nyoosha hadi waterpark ya Kigamboni, nyoosha mpaka kufika Tuangoma Masaki,ukitoka nyoosha mpaka pale njia panda ya Kongowe,kunja kulia Itafuta Mbagala, kunja kushoto kuitafuta Chamazi...
Km 28

......hapo zaidi ya km 100,,,na Kuna njia zaidi ya 3 za kupita hizo km.
 
Nioneshe progress ya ujenzi wa Mwanza University 🀣🀣🀣🀣

Ardhi University inajengwa maporini huko Sengerema yaani ni sawa na kusema Chuo Cha Serikali za Mitaa Hombolo.

Hadi City College 😁😁😁😁😁
Kwani UDOM ipo CBD mbona unajitoa ufahamu
 
We city college unalichukuliaje unadhani ni kama tu vyuo twenu twa kuokoteleza failure wa mtaani...city college mwanza pamoja na Ile ya dar zinaenda kuwa university..na mwanza wana mradi wa ujenzi wa hospital na kuongeza academic blocks
IMG-20230604-WA0137.jpg
 
Back
Top Bottom